To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,212
- 65,818
Kwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani?
Nashauri hivi, tembelea ndoto yako, usiforce mambo kwa sababu fulani.
Maisha ni wewe, ukiumia ni wewe, ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu, siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.
Je,hapo ulipo unaamani? Au uliingia tu uonekane umeolewa, umeoa? Ulifuata pesa? Ulifuata kazi yake ili Msaidiane kiuchumi? Pesa zipo ila huna furaha ya mapenz? Fanya maamuzi sasa au subiri kifo furaha ukapatie mbinguni.
Mwenyezi Mungu akaponye kila roho siku ya Leo.
NB: Kumbuka mchozi ni dawa pia, lia pale inapobidi kupunguza mzigo wa maumivu moyoni.
NAWAPENDA SANA NDUGU MEMBERS!😍😘
Nashauri hivi, tembelea ndoto yako, usiforce mambo kwa sababu fulani.
Maisha ni wewe, ukiumia ni wewe, ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu, siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.
Je,hapo ulipo unaamani? Au uliingia tu uonekane umeolewa, umeoa? Ulifuata pesa? Ulifuata kazi yake ili Msaidiane kiuchumi? Pesa zipo ila huna furaha ya mapenz? Fanya maamuzi sasa au subiri kifo furaha ukapatie mbinguni.
Mwenyezi Mungu akaponye kila roho siku ya Leo.
NB: Kumbuka mchozi ni dawa pia, lia pale inapobidi kupunguza mzigo wa maumivu moyoni.
NAWAPENDA SANA NDUGU MEMBERS!😍😘