Habari ndugu zangu, poleni na makali ya tozo.
Niende kwenye mada moja kwa moja, baada ya kuondoka mpendwa wetu JPM kwa hakika moja ya swali zito lililokuwa liko kwa waombolezaji wote ni kuwa, je, Nani atavaa VIATU VYA baba na vimuenee?
Kwa kuwa Mungu ndiye mpangaji basi ikampendeza Mungu kuwa...