Hayati Magufuli Mungu amlaze mahali pema peponi. Amekufa na siri nzito za Taifa hili na ameacha cheche za mapinduzi ndani ya watanzania na cheche hizi hazito waacha watu salama wanao dhani kifo cha Hayati Magufuli ni fursa kwao. Hili ni kama ndoto Magufuli atafufuka na atakapo fufuka kila mtu atasema kweli Magufuli alikuwa nabii.
Ukiwa kiongozi hutopendwa na watu wote na hasa kiti alikalia Hayati Magufuli. Wengi hawakupenda ila wachache walisena awe Rais hata kwa mwaka mmoja Mungu akampa miaka sita. Mungu alimpa Magufuli nafasi kulitawala taifa hili kama alivyo wanyima nafasi watu wengi kulitawala taifa hili.
Jitihada zakumuona Magufuli alikuwa sio kiongozi mzuri ni jitihada za wanadam. Ila Mungu amemaliza kazi na Magufuli ole kwa walio baki.
Mimi natabiri wengi wao hawatokikalia hiko kiti nawaona wanajitahidi sana kuwa underground wakidhani watakalia kiti nawaapia Rais ajaye hakuna anaye mjuwa japo wachache wanamdhania.
Nikiongozi alie na moyo uliopondeka hana makuu wala wengi hawamdhanii na hao vijana watazima wakidhani watakuwa marais wa Taifa hili mbona watoto wa Nyerere wametulia why vijana ambao hata hawapo kwenye List wanasumbuwa?
Fungueni macho na muone jitihada zenu zitakutana na shimo refu nakamwe hamtotoka salama.
Mungu ibariki Tanzania.
Ukiwa kiongozi hutopendwa na watu wote na hasa kiti alikalia Hayati Magufuli. Wengi hawakupenda ila wachache walisena awe Rais hata kwa mwaka mmoja Mungu akampa miaka sita. Mungu alimpa Magufuli nafasi kulitawala taifa hili kama alivyo wanyima nafasi watu wengi kulitawala taifa hili.
Jitihada zakumuona Magufuli alikuwa sio kiongozi mzuri ni jitihada za wanadam. Ila Mungu amemaliza kazi na Magufuli ole kwa walio baki.
Mimi natabiri wengi wao hawatokikalia hiko kiti nawaona wanajitahidi sana kuwa underground wakidhani watakalia kiti nawaapia Rais ajaye hakuna anaye mjuwa japo wachache wanamdhania.
Nikiongozi alie na moyo uliopondeka hana makuu wala wengi hawamdhanii na hao vijana watazima wakidhani watakuwa marais wa Taifa hili mbona watoto wa Nyerere wametulia why vijana ambao hata hawapo kwenye List wanasumbuwa?
Fungueni macho na muone jitihada zenu zitakutana na shimo refu nakamwe hamtotoka salama.
Mungu ibariki Tanzania.