Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Kuna masuala kadha wa kadha ambayo yameibuka na kukatisha tamaa wananchi wa kawaida. Tozo ambazo kiuhalisia ni makandamizo kwa wananchi wa kawaida.
Wamachinga kuondolewa kimabavu kwenye miji mikubwa na mafisadi kuavhiwa huru kana kwamba hawakuliibia taifa. Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanaonyesha kuwa CCM haienzi yale hayati JPM aliyasimamia.
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Chato itatangazwa kuwa mkoa. Na hii sio justification kuwa Ccm ya awamu ya sita inamuenzi hayati JPM.
Hii ni danganya toto na siasa za kinafiki . Maana CCM hii chini ya rais Samia haisimamii yale ambayo hayati JPM aliyasimamia.
Wamachinga kuondolewa kimabavu kwenye miji mikubwa na mafisadi kuavhiwa huru kana kwamba hawakuliibia taifa. Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanaonyesha kuwa CCM haienzi yale hayati JPM aliyasimamia.
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Chato itatangazwa kuwa mkoa. Na hii sio justification kuwa Ccm ya awamu ya sita inamuenzi hayati JPM.
Hii ni danganya toto na siasa za kinafiki . Maana CCM hii chini ya rais Samia haisimamii yale ambayo hayati JPM aliyasimamia.