Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Mabaai ya mikoani yanachosha sana, maana Km 1000+ unatembea kwenye basi. Tofauti na SGR itayokuwa na kasi ya Km 200+/hr.
Gharama za usafirishaji zitapungua sana. Maisha ya wananchi yatapata ahueni. Fikiria mfuko wa saruji kwa kanda ya ziwa ni Tsh 20,000/= kwa sasa.
JPM alichukiwa na mafisadi kwa kulipenda taifa lake.
Gharama za usafirishaji zitapungua sana. Maisha ya wananchi yatapata ahueni. Fikiria mfuko wa saruji kwa kanda ya ziwa ni Tsh 20,000/= kwa sasa.
JPM alichukiwa na mafisadi kwa kulipenda taifa lake.