yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,520
- 1,910
Salute wakuu, mie mpaka leo ninakuna kichwa, ni kitu gani JPM alitumia kuzima maandamano yaliyokuwa yameitishwa na CHADEMA baada ya uchaguzi wa 2015 maarufu kwa jina la UKUTA?, kipindi kile JPM ndio tu alikuwa ameapishwa, hata baraza la Mawaziri alikuwa bado hajateua. Je ni nguvu gani ya kiupako huyu mwamba alikuwa nayo?.
Nakumbuka kipindi cha kumalizia utawala wa Jakaya Kikwete ilikuwa ni shida ,pamoja na Kikwete kuzuia maandamano lkn yalikuwa yanafanyika,mpaka ikapelekea watu kufa kwa kulipuliwa kwenye mkutano na maandamano Arusha, pia Mwangosi alikufa kwa kulipuliwa pia kwenye maandamano, je kwanini JPM yeye alitoa tamko tu na ukuta ikanywea?,
Je, ukuta walimwogopa JPM au walikuwa wanatingisha kiberiti ili kuona kama kimejaa?
Lkn pia kwanini tamko lake tu lilinyamazisha majambazi waliokuwa wanavamia mpaka mchana?, mpaka Bank na vituo vya polisi vilikuwa vinavamiwa mchana kweupe?,
Hata mauaji ya albino yalikoma!,
Ajali za ovyo ovyo zilikoma,
Je, Alikuwa na upako wa kiutawala kutoka kwa Mungu!?, au ilikuwa ni nini?!.
KARIBUNI, mapovu yanaruhusiwa kwa wale wenye hilka hiyo,na hata wenye afya mbovu za akili,
Nakumbuka kipindi cha kumalizia utawala wa Jakaya Kikwete ilikuwa ni shida ,pamoja na Kikwete kuzuia maandamano lkn yalikuwa yanafanyika,mpaka ikapelekea watu kufa kwa kulipuliwa kwenye mkutano na maandamano Arusha, pia Mwangosi alikufa kwa kulipuliwa pia kwenye maandamano, je kwanini JPM yeye alitoa tamko tu na ukuta ikanywea?,
Je, ukuta walimwogopa JPM au walikuwa wanatingisha kiberiti ili kuona kama kimejaa?
Lkn pia kwanini tamko lake tu lilinyamazisha majambazi waliokuwa wanavamia mpaka mchana?, mpaka Bank na vituo vya polisi vilikuwa vinavamiwa mchana kweupe?,
Hata mauaji ya albino yalikoma!,
Ajali za ovyo ovyo zilikoma,
Je, Alikuwa na upako wa kiutawala kutoka kwa Mungu!?, au ilikuwa ni nini?!.
KARIBUNI, mapovu yanaruhusiwa kwa wale wenye hilka hiyo,na hata wenye afya mbovu za akili,