je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,874
- 3,611
Leo katika historia.
Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.
Rais aliekuwa wa wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi
Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi kukubalika na wote hata uwe nani. Kwahiyo sishangai wanaobeza alichokifanya bwana mkubwa yule kwakuwa ni katika maumbile kubeza vitu usivyotambua thamani yake mana hata mama na yeye Kuna kundi la Wala ugoro na mirungi wanambeza. Hao ni watu wasio jua wanataka nini.
Haya mada ipo hivi. Katika ule ufadhili wa msikiti wa Bakwata pale Kinondoni, wale wafadhili walitaka kutoa Hela cash au cheque ya thamani ya huo msikiti ujengwe. Kama sikosei zilikuwa dolar Milion 12 wapewe Bakwata wajenge wenyewe.
Mufti mkuu akasema hapana Hela ni fitna sana kwahiyo sisi msitupe Hela hata cent Tano. Nyie jengeni wenyewe halafu mtukabidhi funguo tu msikiti kwa maana hizo hela zisije kufanyiwa ubadhirifu halafu tukaanza kutupiana lawama kuonekana uongozi wa Bakwata umefanya ufujaji wa pesa za Waislamu. Kwahiyo mufti kazikataa hizi pesa kwa style hiyo.
Bwana mkubwa akasikia hiki kisa kuna mtu huko kakataa hela cash. Eti anasema anaogopa fitna ya pesa. Bwana mkubwa akasema muiteni huyo mtu, inawezekana akawa muadilifu sana, hii kitu sio ya kawaida unakataaje dolar milion 12?
Basi kuanzia hapo ikawa ndio mwanzo wa kuiva sana baina ya bwana JPM ba mufti Aboubakar Zuberi.
Ramadhani makbul ndugu zangu.
Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.
Rais aliekuwa wa wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi
Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi kukubalika na wote hata uwe nani. Kwahiyo sishangai wanaobeza alichokifanya bwana mkubwa yule kwakuwa ni katika maumbile kubeza vitu usivyotambua thamani yake mana hata mama na yeye Kuna kundi la Wala ugoro na mirungi wanambeza. Hao ni watu wasio jua wanataka nini.
Haya mada ipo hivi. Katika ule ufadhili wa msikiti wa Bakwata pale Kinondoni, wale wafadhili walitaka kutoa Hela cash au cheque ya thamani ya huo msikiti ujengwe. Kama sikosei zilikuwa dolar Milion 12 wapewe Bakwata wajenge wenyewe.
Mufti mkuu akasema hapana Hela ni fitna sana kwahiyo sisi msitupe Hela hata cent Tano. Nyie jengeni wenyewe halafu mtukabidhi funguo tu msikiti kwa maana hizo hela zisije kufanyiwa ubadhirifu halafu tukaanza kutupiana lawama kuonekana uongozi wa Bakwata umefanya ufujaji wa pesa za Waislamu. Kwahiyo mufti kazikataa hizi pesa kwa style hiyo.
Bwana mkubwa akasikia hiki kisa kuna mtu huko kakataa hela cash. Eti anasema anaogopa fitna ya pesa. Bwana mkubwa akasema muiteni huyo mtu, inawezekana akawa muadilifu sana, hii kitu sio ya kawaida unakataaje dolar milion 12?
Basi kuanzia hapo ikawa ndio mwanzo wa kuiva sana baina ya bwana JPM ba mufti Aboubakar Zuberi.
Ramadhani makbul ndugu zangu.