Zitto amsifia Hayati Magufuli kuleta nidhamu ya kazi kwa kipindi chake

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,664
Mwangalie alivyomsifia kinafiki baada ya kubanwa maswali na wanahabari.

Amekubali kuwa watanzania walitaka Rais dikteta tangu awali kutokana na ufisadi na uzembe kazini ila kwa unyonge sana.

Zitto anaumia sana kuona watu hata hao wanahabari bado wanamuona Magufuli kama shujaa anakosa amani kabisa hata michango ya wanajf inamuumiza.

Anashauri mazuri ya Magufuli yafanyiwe kazi akiyaita kwa English (gains) anaona sasa uzembe umerejea kwa kasi.

Kiufupi simuoni mwanasiasa wa kupambana na legacy ya Magufuli.

USSR

 
Kauli ya Zittow kumsifu Magu Kwa MAZURI yake itamponza,

Maana walikatazwa kusema MAZURI yake.

Anyway, amesema Kweli, apongezwe.

Bt pia ametabiri AJAYE awe na ka uddictator Fulani Ili KAZI ziende.
 
Jiwe aka Mwamba aka Nzilakende Muyango. Lile jamaa kuna mahala lingeifaa sana hii nchi na huko mbele baada ya yeye nchi ingeenda vizuri sana na wengine Africa wangejifunza kitu

Binadamu anahitaji ukatiri na unyama ili akae kwenye mstari na kufuata mamlaka zinataka nini, Taifa linahitaji maamuzi kwa maslahi ya Taifa na si kufurahisha kikundi cha wati wenye maslahi.. JPM hakuogopa yeyote na alikuwa mtu wa maamuzi hata kama kuna mtu atakufa na maamuzi yake kwake ilikuwa sawa.
 
Ayatolah wa ujiji umezidi unafiki

👇
20230221_103220.jpg
 
Kimetokea nini?

Atuelezee na yale kuhusu "Wanaoweza kudai wana maagizo kutoka juu" waliweza?
 
Huyu jiwe alikuwa mnyama.

Risasi ni kitu cha kawaida. Hata majambazi hupigwa risasi
 
Mwangalie alivyomsifia kinafiki baada ya kubanwa maswali na wanahabari.

Amekubali kuwa watanzania walitaka Rais dikteta tangu awali kutokana na ufisadi na uzembe kazini ila kwa unyonge sana.

Zitto anaumia sana kuona watu hata hao wanahabari bado wanamuona Magufuli kama shujaa anakosa amani kabisa hata michango ya wanajf inamuumiza.

Anashauri mazuri ya Magufuli yafanyiwe kazi akiyaita kwa English (gains) anaona sasa uzembe umerejea kwa kasi.

Kiufupi simuoni mwanasiasa wa kupambana na legacy ya Magufuli.

USSR

View attachment 2523990
J.p.m nikama maji
 
Mwangalie alivyomsifia kinafiki baada ya kubanwa maswali na wanahabari.

Amekubali kuwa watanzania walitaka Rais dikteta tangu awali kutokana na ufisadi na uzembe kazini ila kwa unyonge sana.

Zitto anaumia sana kuona watu hata hao wanahabari bado wanamuona Magufuli kama shujaa anakosa amani kabisa hata michango ya wanajf inamuumiza.

Anashauri mazuri ya Magufuli yafanyiwe kazi akiyaita kwa English (gains) anaona sasa uzembe umerejea kwa kasi.

Kiufupi simuoni mwanasiasa wa kupambana na legacy ya Magufuli.

USSR

View attachment 2523990
Walimhujumu na sasa karma imeanza kuwaumbua taratibu!
Hawa ni baadhi yao....
FB_IMG_1676969937618.jpg
 
Back
Top Bottom