Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.
Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya...