Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,115
Reaction score
2,446
Kuna ripoti ya uchunguzi imetolewa (BIBI FILES) wakati vita ikiendelea kati ya Iran na Israel. Ripoti hiyo ni video inayomuonyesha Netanyahu akifanyiwa mahojiano na vyombo vya usalama kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha.

Katika ripoti hiyo, Netanyahu anakiri kuwa alitoa ufadhili wa kifedha kwa Hamas ijiimarisha , kwa lengo la kufanya Gaza ibaki katika hali ya kutokua na utulivu na hivyo kuzuia Wapalestina wa Gaza na West Bank wasiungane.


Kama mnakumbuka, Qatar ilianza kutoa misaada kwa watu wa Gaza kwa madai ya kusaidia mishahara ya wafanyakazi, mafuta, na mahitaji ya kibinadamu. Kuanzia mwaka 2018, Israel (chini ya uongozi wa Netanyahu) iliidhinisha misaada hiyo iingie Gaza.

Kilicholikuwa kinafanyika nyuma ya pazia ni kwamba Netanyahu alikuwa anaruhusu fedha ziende kwa Hamas kupitia Qatar kwa kivuli cha misaada. zaidi ya dola bilioni 1 zilitolewa, kwa kiwango cha takriban dola milioni 35 kila mwezi. Netanyahu aliruhusu pesa hizo kupita katika mipaka ya Israel, na wakati mwingine zililetwa hata kwenye mabegi

Fedha hizo zinadaiwa kusaidia kuimarisha uwezo wa kijeshi wa Hamas, ikiwa ni pamoja na kujenga mahandaki na kununua silaha. Wengi walikuwa wanajiuliza Hamas wanapata wapi fedha za kuendelea kupigana dhidi ya nchi yenye nguvu kama Israel, huku wengi wakiamini kuwa Iran ndiyo mfadhili mkuu. Hatimaye ukweli unaanza kujitokeza.

Hata tukio la Oktoba 7 lilikuwa limeandaliwa kimkakati, Mossad ndio imetengeneza mazingira litokee,wiki chache kabla ya Oktoba 7, 2023, Israel iliomba Qatar kuongeza msaada huo.

Hio hapa chini video fully ya netanyahu akifanyiwa interrogation

View: https://x.com/i/status/2037699139685814299
 

Attachments

  • tweeload_0ad34aec.mp4
    17.3 MB
Ukipata muda check hizi documentary zero days 2016 na hostage s 2022 ndo ujue bwana bibi ni mastermind.
1000224269.jpg
 

Attachments

  • 1000210557.webp
    1000210557.webp
    33 KB · Views: 21
Usipotafakari juu ya kifo unaweza kuwatendea wenzio vyovyote utakavyo. Ukawateka, ukawaua, ukawazika kama mizoga, bila kujali maumivu yao wala hisia zao
Kama vile utaishi milele.

Lakini ukitafakari juu ya kifo, na ukajua kwamba siku moja utalala mauti, utawapenda wenzio, utawalinda, utawaheshimu, na ukiwa kiongozi utaongoza kwa HAKI. Tuache kiburi cha uzima, kifo kipo. Na hilo ndilo neno la leo.
Tumsifu Yesu Kristo 🙏🏽
 
Makundi ya kigaidi duniani yanayohusishwa na uislamu mojakwamoja ni propaganda za us na Israel hao ndo wenye hyo miradi...
Ni kweli kabisa mfano Taliban liliibuka wakati wa uvam8zi wa soviet , marekani ndio alikua mfandhili,mtoa mafunzo na silaha , baada ya kumfurumusha soviet marekani kamgeukia talban

Hamasi ndio kama hivi tunaambiwa funded by Israel,kitu cha kushangaza zaidi ISIS haijawah kushambulia Israel badala yake imekua ikiipiga HAMAS ,hazbollah etc

Hauko Syria ISIS na Hazbollah walikua wanapigana ,Israel alikua aikitoa matibabu kwa majeuhi wa pande zote mbili
 
Usipotafakari juu ya kifo unaweza kuwatendea wenzio vyovyote utakavyo. Ukawateka, ukawaua, ukawazika kama mizoga, bila kujali maumivu yao wala hisia zao
Kama vile utaishi milele.

Lakini ukitafakari juu ya kifo, na ukajua kwamba siku moja utalala mauti, utawapenda wenzio, utawalinda, utawaheshimu, na ukiwa kiongozi utaongoza kwa HAKI. Tuache kiburi cha uzima, kifo kipo. Na hilo ndilo neno la leo.
Tumsifu Yesu Kristo 🙏🏽
Milele Amina 😎.
 
Usipotafakari juu ya kifo unaweza kuwatendea wenzio vyovyote utakavyo. Ukawateka, ukawaua, ukawazika kama mizoga, bila kujali maumivu yao wala hisia zao
Kama vile utaishi milele.

Lakini ukitafakari juu ya kifo, na ukajua kwamba siku moja utalala mauti, utawapenda wenzio, utawalinda, utawaheshimu, na ukiwa kiongozi utaongoza kwa HAKI. Tuache kiburi cha uzima, kifo kipo. Na hilo ndilo neno la leo.
Tumsifu Yesu Kristo 🙏🏽
Huh ujumbe umfikie SaaaAAAmiaAa
 
Kuna ripoti ya uchunguzi imetolewa (BIBI FILES) wakati vita ikiendelea kati ya Iran na Israel. Ripoti hiyo ni video inayomuonyesha Netanyahu akifanyiwa mahojiano na vyombo vya usalama kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha.

Katika ripoti hiyo, Netanyahu anakiri kuwa alitoa ufadhili wa kifedha kwa Hamas ijiimarisha , kwa lengo la kufanya Gaza ibaki katika hali ya kutokua na utulivu na hivyo kuzuia Wapalestina wa Gaza na West Bank wasiungane.


Kama mnakumbuka, Qatar ilianza kutoa misaada kwa watu wa Gaza kwa madai ya kusaidia mishahara ya wafanyakazi, mafuta, na mahitaji ya kibinadamu. Kuanzia mwaka 2018, Israel (chini ya uongozi wa Netanyahu) iliidhinisha misaada hiyo iingie Gaza.

Kilicholikuwa kinafanyika nyuma ya pazia ni kwamba Netanyahu alikuwa anaruhusu fedha ziende kwa Hamas kupitia Qatar kwa kivuli cha misaada. zaidi ya dola bilioni 1 zilitolewa, kwa kiwango cha takriban dola milioni 35 kila mwezi. Netanyahu aliruhusu pesa hizo kupita katika mipaka ya Israel, na wakati mwingine zililetwa hata kwenye mabegi

Fedha hizo zinadaiwa kusaidia kuimarisha uwezo wa kijeshi wa Hamas, ikiwa ni pamoja na kujenga mahandaki na kununua silaha. Wengi walikuwa wanajiuliza Hamas wanapata wapi fedha za kuendelea kupigana dhidi ya nchi yenye nguvu kama Israel, huku wengi wakiamini kuwa Iran ndiyo mfadhili mkuu. Hatimaye ukweli unaanza kujitokeza.

Hata tukio la Oktoba 7 lilikuwa limeandaliwa kimkakati, Mossad ndio imetengeneza mazingira litokee,wiki chache kabla ya Oktoba 7, 2023, Israel iliomba Qatar kuongeza msaada huo.

Hio hapa chini video fully ya netanyahu akifanyiwa interrogation

View: https://x.com/i/status/2037699139685814299


Wenye kumbukumbu mtakumbuka nilisema siku sio nyingi Netanyahu watamtaftia Sababu ili tuambiwe Netanyahu kujiuzulu ndio imetoka🤠🤠

nilisema 1week tu imepita ndio aya sasa!!!!!🤠🤠🤠

Lengo nini ndugu zangu!!

sikia Netanyahu KAFARIKI tangu March 8. Kwaiyo kinafanyika apo ni funika kombe watu wasijue chochote🤠🤠

Netanyahu hakishajiudhulu ndio imekwisha kuhusu Netanyahu utosikia popote tena.!!!

tutakuja kujua miaka kadhaaa mbele uko.✍️
 
Narudia tena. NETANYAHU KAFA AU KAFARIKI tangu tarehe 8 mwezi huu.

Lkn chezo linachezwa wenye akili tu ndio wataelewa utasikia kalamizishwa kujiuzulu sababu ya kesi yake 🤠🤠🤠
 
Makundi ya kigaidi duniani yanayohusishwa na uislamu mojakwamoja ni propaganda za us na Israel hao ndo wenye hyo miradi...
Naam wanatumia Ujinga wa itikadi uliopo ktk dini kama kivuli na kuwa brain washed watu
 
Ni kweli kabisa mfano Taliban liliibuka wakati wa uvam8zi wa soviet , marekani ndio alikua mfandhili,mtoa mafunzo na silaha , baada ya kumfurumusha soviet marekani kamgeukia talban

Hamasi ndio kama hivi tunaambiwa funded by Israel,kitu cha kushangaza zaidi ISIS haijawah kushambulia Israel badala yake imekua ikiipiga HAMAS ,hazbollah etc

Hauko Syria ISIS na Hazbollah walikua wanapigana ,Israel alikua aikitoa matibabu kwa majeuhi wa pande zote mbili
Kuna documentary niliwahi kuisikiliza jamaa wanasema kwamba netanyahu Huwa anaitumia vita ya Palestine na Israel kwaajili ya kujiimarisha kisiasa so hiyo vita ni mradi wake ,

Now naona mambo yameanza kuwa hadharani niliisikia muda kidogo yapata miaka 2 nyuma
 
Kuna ripoti ya uchunguzi imetolewa (BIBI FILES) wakati vita ikiendelea kati ya Iran na Israel. Ripoti hiyo ni video inayomuonyesha Netanyahu akifanyiwa mahojiano na vyombo vya usalama kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha.

Katika ripoti hiyo, Netanyahu anakiri kuwa alitoa ufadhili wa kifedha kwa Hamas ijiimarisha , kwa lengo la kufanya Gaza ibaki katika hali ya kutokua na utulivu na hivyo kuzuia Wapalestina wa Gaza na West Bank wasiungane.


Kama mnakumbuka, Qatar ilianza kutoa misaada kwa watu wa Gaza kwa madai ya kusaidia mishahara ya wafanyakazi, mafuta, na mahitaji ya kibinadamu. Kuanzia mwaka 2018, Israel (chini ya uongozi wa Netanyahu) iliidhinisha misaada hiyo iingie Gaza.

Kilicholikuwa kinafanyika nyuma ya pazia ni kwamba Netanyahu alikuwa anaruhusu fedha ziende kwa Hamas kupitia Qatar kwa kivuli cha misaada. zaidi ya dola bilioni 1 zilitolewa, kwa kiwango cha takriban dola milioni 35 kila mwezi. Netanyahu aliruhusu pesa hizo kupita katika mipaka ya Israel, na wakati mwingine zililetwa hata kwenye mabegi

Fedha hizo zinadaiwa kusaidia kuimarisha uwezo wa kijeshi wa Hamas, ikiwa ni pamoja na kujenga mahandaki na kununua silaha. Wengi walikuwa wanajiuliza Hamas wanapata wapi fedha za kuendelea kupigana dhidi ya nchi yenye nguvu kama Israel, huku wengi wakiamini kuwa Iran ndiyo mfadhili mkuu. Hatimaye ukweli unaanza kujitokeza.

Hata tukio la Oktoba 7 lilikuwa limeandaliwa kimkakati, Mossad ndio imetengeneza mazingira litokee,wiki chache kabla ya Oktoba 7, 2023, Israel iliomba Qatar kuongeza msaada huo.

Hio hapa chini video fully ya netanyahu akifanyiwa interrogation

View: https://x.com/i/status/2037699139685814299


Nimeona hii taarifa jana kwenye chanzo tofauti (sikumbuki kipi lakini reputable).

Qatar wanaushahidi wa makubaliano na Netanyahu kuruhusu Hamas wapokee msaada wa $37 million (kama nakumbuka vizuri) kila mwezi.

Makubaliano ambayo Watar walimtaka Netanyahu aweke sign yake huko mbele asijawakana na kuwageuka.
 
Kuna documentary niliwahi kuisikiliza jamaa wanasema kwamba netanyahu Huwa anaitumia vita ya Palestine na Israel kwaajili ya kujiimarisha kisiasa so hiyo vita ni mradi wake ,

Now naona mambo yameanza kuwa hadharani niliisikia muda kidogo yapata miaka 2 nyuma
Netanyahu anahitaji uwepo wa HAMAS na vita ku survive kwenye nafasi yake, ndio maana Kila mara yeye ndio mvunjaji mkuu wa peace deal. No peace deal means endless war, means he stays Mr. Security.

Ametengenza mazingira Israel iwe kwenye vita Muda wote na yeye ndio Mtu pekee could handle it
Lakini safari mambo yamempalia hesabu alizopiga zimemkataa
 
Back
Top Bottom