Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 129,572
- 249,151
Haiwezekani mtu mmoja anaoa na kuacha kila kukicha, halafu haogopi maradhi yaliyozagaa kila mahali?
Atavuna anachopanda, halafu eti ndio muandaa Kaswida!Huyu bwana huwa anafanyia harusi biashara akishaoa uwapiga chini anavuta mpunga bank anatumbua kesho ataomba tena mchango
HakikaMwanaume akiacha mara tatu yye ndo mwenye shida
Aliruka stage shuleni mademu walikuwa hawamtakiAtavuna anachopanda, halafu eti ndio muandaa Kaswida!
Kuna mdau aliwahi kunisanua ila nilimpingaHuyu mtu ni mjasiliandoa
Ifike mahali hii takataka ikubali sasa umri umeenda na hauendani na hayo matendo!Haiwezekani mtu mmoja anaoa na kuacha kila kukicha, halafu haogopi maradhi yaliyozagaa kila mahali?
View attachment 3305595
Yeye mwenyewe huwa anatamka kaswaida watu wana mbwembwe hii TZ🤣Atavuna anachopanda, halafu eti ndio muandaa Kaswida!