Kwahiyo Manara ataoa tena na atataka tumchangie? Safari hii hatutachanga, kama ni biashara basi itamdodea

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
129,572
249,151
Haiwezekani mtu mmoja anaoa na kuacha kila kukicha, halafu haogopi maradhi yaliyozagaa kila mahali?

Screenshot_2025-04-12-10-54-50-1.png
 
😂😂 wtz Mna ujinga sana... Amewahi kuja na bastola kukulazimisha uchange?, Mwache na maisha yake. Kwani akioa tena wewe kuna mahali una athiriwa?.
 
Back
Top Bottom