google

  1. donlucchese

    Kushindwa kuinstall apps kwenye Google play store....!!!

    Salama wakuu, Habari za jioni wakuu? Naomba niende straight kwenye point, Nimemnunulia mtoto wangu tablet aina ya Atouch ambayo inatumia android version 13. Sasa bwana hii tablet changamoto kubwa ni kufanya installation ya apps. Ukiingia kwenye play store ukachagua app ya kudownload, inafanya...
  2. Netfasta - Web Hosting

    Mwenye adsense akaunti nanunua

    Natafuta adsense akaunti, kama unayo nicheki 0718474600 ili tufanye biashara
  3. stakehigh

    Ni muda wa TCRA kulazimisha (apple na google) waruhusu malipo nje ya app store (Marekani wameweza)

    Hatimae mahakama za marekani zimeamuru apple kutolazimisha wateja wake kufanya malipo kwa lazima kutumia mifumo yao ya in app payments ambayo wanakata 30% kwa kila mwamala, hivo basi kwa tanzania tuna njia zetu bora sana za malipo za mitandao ya simu, ni muda mwafaka sasa wa TCRA kufikiria hili...
  4. Madwari Madwari

    BADILI PASSORD ZAKO SASA HIVI: Password bilioni 16 zimedukuuliwa katika uvujaji wa data uliovunja rekodi, Facebook, Google, Apple,

    Data kadhaa za ID vya kuingia hufichua mojawapo ya ukiukaji mkubwa zaidi wa data katika historia, ukiwa na jumla ya ID cha kuingia cha bilioni 16 kilichofichuliwa. Data ina uwezekano mkubwa zaidi kutoka kwa watoa taarifa mbalimbali. HaBARI hii, kulingana na matokeo ya kipekee ya Cybernews na...
  5. W

    Nywila Bilioni 16 za Apple, Facebook, Google na Mitandao Mengine Zavuja

    Watafiti wamethibitisha kuwa hili ni tukio kubwa zaidi la uvujaji wa taarifa kuwahi kutokea baada ya nywila bilioni 16 pamoja na taarifa za watumiaji wa mitandao mbalimbali kuvuja kuanzia Januari 2025 Wataalamu hao wamedai kuwa taarifa na nywila hizo zilikusanywa kwa kutumia programu hatari...
  6. Epateletech

    Google pixel battery replacement

    Ushindwe wewe karibu ubadilishe betri original za pixel kwa bei nafuu Betri ni original Pixel 3 zote bei 25k Pixel 4 zote bei 40k Pixel 5 bei 40k pixel 6 zote bei 45k Pixel 7 bei 55k Pixel 8 bei 55k Epateletech tupo kukupa kilicho bora Unaweza kuulizq chochote kuhusu simu nitakujibu 0757937196...
  7. Fbn

    Kampuni ya TTP yagundua makumi ya VPN kwenye Apple na Google Store yanayomilikiwa kwa siri na kampuni za Kichina – Hatari kwa Faragha na Usalama USA

    Katika uchunguzi wa hivi karibuni uliofanywa na kampuni ya Top10VPN Threat Prevention Team (TTP), imebainika kuwa zaidi ya dozens ya VPN apps (programu za mitandao binafsi ya faragha) zinazopatikana kwenye Apple App Store na Google Play Store zinamilikiwa kwa siri na makampuni ya Kichina, licha...
  8. A

    Tunanunua google Play console account

    Ikiwa kuna mtu ana account ya google play console iliyoundwa kuanzia mwaka 2023 kurudi nyuma, na yuko tayari kuiuza Naomba tuwasiliane kwa namba: 0710445448
  9. Teknolojia ni Yetu sote

    Google play store sasa inaweza kujibu maswali yako yote kuhusu app unayotaka kudownload

    Kampuni ya Google kupitia program yao ya Google play store imefanikiwa kuzindua feature mpya inayotumia muundo wa akili bandia (AI), kwa kuweza kumruhusu mtumiaji wa play store kuweza kuuliza app wanayotaka kuipakua ikoje kama hajaamua kuwa nayo kwenye simu yake. Feature hii inatumia...
  10. stabilityman

    Kama wewe ni mfanyabiashara una taasisi yako unataka iwe inaonekana kwenye Google map yaani raman ya dunia nichek

    Kama wewe ni mfanyabiashara una biashara yako unataka iwe inaonekana kwenye Google map yaaani mtu ata aki request a Afike hadi dukani kwako yaani duka linaonekana kwenye raman Ya dunia kama unataka iyo nicheki 0743 257 669 nikusaidie
  11. Barnaba Fumbo

    Nauza Google Pixel 6. Kuna Free Delivery

    Storage 128GB Used Dubai Clean Condition Tsh. 460,000/= Free delivery dar es salaam, mikoani na wilaya zote za Tanzania tunatuma mizigo bila changamoto Whatsapp_0623771079 Normal call_0778863227
  12. Jerry001

    Google walipa wamevunja rekodi ya kulipa faini kubwa kwa kukusanya na kufuatilia taarifa za watu bila idhini. Hatupo salama

    Google Yalipa Dola Bilioni 1.375 kwa Jimbo la Texas kwa Kufuatilia na Kukusanya Taarifa za Biometria Bila Idhini Google imekubali kulipa jimbo la Texas nchini Marekani kiasi cha dola bilioni 1.375 ili kumaliza mashitaka mawili yaliyokuwa yanaituhumu kampuni hiyo kwa kufuatilia mahali walipo...
  13. I

    JE, UNAJUA UNAWEZA KUONDOA TAARIFA ZAKO BINAFSI KWENYE GOOGLE NDANI YA DAKIKA 1 TU?

    🔒 JE, UNAJUA UNAWEZA KUONDOA TAARIFA ZAKO BINAFSI KWENYE GOOGLE NDANI YA DAKIKA 1 TU? Watu wengi hawajui kuwa Google inatoa njia ya kujilinda dhidi ya watu wanaotafuta jina lako, namba yako ya simu, email au anwani ya nyumbani mtandaoni. Kwa ulimwengu wa sasa ambapo taarifa zako zinaweza...
  14. FestoKaguo

    App tano unazotakiwa kuwa nazo kama mfanya biashara

    Kama wewe ni mmiliki wa biashara ndogo, kuna apps ambazo ni lazima uwe nazo kwenye simu yako. App hizi zinaweza kukuokolea muda, kukuongeza ufanisi wa kazi pamoja na kukurahisishia maisha ya kila siku kwenye biashara yako. Nakuwekea list ya app hizi tano ambazo hautakiwi kuzikosa kabisa...
  15. Nangose 1

    Bajeti ya 500,000 - 600,000 Google Google pixel ipi itanifaa

    Wakuu, niko na bajeti hii ya 500,000 hadi 600,000 nahitaji nipate Simu(Google pixel) ya ipi itanifaa..? Kama una ushauri kwa brand nyingine tofauti na hiyo yenye ubora unaweza kunisanua/kunipa ushauri la isiwe Tecno au infinix
  16. Metronidazole 400mg

    Naomba kueleweshwa kuhusu tofauti kati ya Google na chrome ni ipi?

    Naomba mtu anieleweshe kuhusu hili, tena kwa ukali na ikiwezekana kunifokea kama mtoto mdog naweza mwelewa labda Tofauti kati ya Google na chrome ni nini??
  17. Fbn

    Mnamo tarehe 1-April-2004 kampuni ya google ili zindua barua pepe ya Gmail kutumika rasmi.

    Gmail ilianza kutumika rasmi tarehe 1 Aprili 2004 kama huduma ya majaribio (beta). Ilitolewa kwa watumiaji wachache kwa mwaliko kabla ya kufunguliwa kwa umma mnamo 7 Februari 2007.
  18. U

    Google, kuinunua kampuni ya mayahudi ya WIZ inayohusika na usalama mitandaoni cybersecurity kwa rekodi ya kushangaza ya Dola bilioni 32

    Wadau hamjamboni nyote? Tukisema mayahudi wanazuoni akili kubwa sana msibishe Kampuni mama ya Google, Alphabet, imekubali kununua kampuni ya usalama wa mtandao Wiz, iliyoanzishwa Israel, kwa kiasi cha dola bilioni 32, kwa mujibu wa ripoti ya Financial Times. Hii ni dili kubwa zaidi katika...
  19. Mr Mjs

    Zifahamu Sababu Tano Kwanini Utumie Google Workspace Kuendesha Biashara Zako

    Google Workspace, zamani ikijulikana kama G Suite, ni seti ya zana za kidijitali zilizotengenezwa na Google kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa biashara na taasisi. Ikiwa unatafuta njia ya kufanya kazi kwa ufanisi zaidi, kushirikiana kwa urahisi, na kuokoa gharama, Google Workspace ni suluhisho...
  20. Mr Mjs

    Sababu Tano Kwanini Utumie Google Workspace Kuendesha Biashara Zako

    Google Workspace, zamani ikijulikana kama G Suite, ni seti ya zana za kidijitali zilizotengenezwa na Google kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa biashara na taasisi. Ikiwa unatafuta njia ya kufanya kazi kwa ufanisi zaidi, kushirikiana kwa urahisi, na kuokoa gharama, Google Workspace ni suluhisho...
Back
Top Bottom