Real Madrid last minutes winner goal not concerned

2 of Amerikaz most wanted

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
1,328
3,692
Real Madrid thought they had scored a late winner but the referee had already called for full time.

Jude Bellingham gets a red card for his reaction.

Valencia 2 vs Real Madrid 2
Hugo Druro. ⚽ Viniciu jr ⚽⚽
Roman yeremchuk⚽

FB_IMG_17094182798128479.jpg

FB_IMG_17094190965915407.jpg
 
Niliona hii gemu refa alipwaya sana hasa kipindi cha kwanza kulikua na faulo nyingi sana ambazo zingine hata kadi hakutoa..
Pana ile penalt iliyochukua zaidi ya dakika tano watu wa VAR wakiangalia kama tuta kweli au laa...
Waliongeza dk 7 Diaz alipokua anajiandaa kupiga Krosi mchezaji wa Valencia alimfata Ref na kumkumbusha amalize mpira alichokifanya ni kupuliza filimbi mpira ukiwa hewani unaelekea kwa Bellingham na baada ya kufunga kwa kichwa hakusikia filimbi ya Ref ikionyesha mpira kati ndio kwanza Ref akawa anaomba mpira kwa kuashiria kuwa kamaliza mpira..
Benchi lote la Ufundi na wachezaji wa Madrid waliamka na kwenda kumfokea Ref kitendo kilichopelekea Bellingham kupewa kadi nyekundu...Mestala ni uwanja mgumu sana kwa Madrid.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom