giza

Giza (; sometimes spelled Gizah or Jizah; Arabic: الجيزة‎ al-Jīzah, Egyptian Arabic pronunciation: [el ˈgiːze]) is the second-largest city in Egypt after Cairo and fourth-largest city in Africa after Kinshasa, Lagos and Cairo. It is the capital of Giza Governorate with a total population of 8.8 million as of October 2018. It is located on the west bank of the Nile, 4.9 km (3 mi) southwest of central Cairo, and is a core city of the Greater Cairo metropolis. Giza lies less than 30 km (18.64 mi) north of Memphis (Men-nefer), which was the capital city of the first unified Egyptian state from the days of the first pharaoh, Narmer.
Giza is most famous as the location of the Giza Plateau, the site of some of the most impressive ancient monuments in the world, including a complex of ancient Egyptian royal mortuary and sacred structures, including the Great Sphinx, the Great Pyramid of Giza, and a number of other large pyramids and temples. Giza has always been a focal point in Egypt's history due to its location close to Memphis, the ancient pharaonic capital of the Old Kingdom. Its St. George Cathedral is the episcopal see of the Coptic Catholic Eparchy of Giza.

View More On Wikipedia.org
  1. 888I

    Kifo cha Uaminifu: Madhara ya Kuminya Habari na Mtego wa "Content Creators"

    Mimi ni Mwanahabari na Mtanzania Nasema ... Kuna huzuni nzito inayotanda ndani ya vyumba vya habari nchini,siyo huzuni ya kukosa vifaa au teknolojia, bali ni huzuni ya kuona taaluma yetu ikigeuzwa kuwa "kipaza sauti" cha upande mmoja, huku misingi ya uhuru wa kutoa maoni na kuchambua ukweli...
  2. M

    Mama ananiingiza kwenye shimo la giza bila kujua

    Kuna jambo ambalo linatatiza akili yangu mpaka nahisi kuchanganikiwa Kuna siku moja mwaka jana mimi na mke wangu tulikuwa tumelala ilikuwa mida ya saa tano usiku simu ya mke wangu iliita nikapokea kwasababu yeye alikuwa tayari kwenye usingizi mzito nikasubiri aliyepiga aongee nikaona kimia...
  3. ELI COHEN

    Sishangai mzungu kuita afrika "bara la giza", ni 2026 lakini waafrika wanafanyiana unyama utafikiri sokwe porini, poleni sana wachezaji wa senegal

    Picha linaanza pale tu wametua airport wananchi wakajazana kuwatishis na kuwaita maneno ya kibaguzi
  4. ERTUGRUL BEY

    Upande wa giza wa Tb Joshua

    My people, Tuhuma Zilizoripotiwa, Mijadala ya Kimaadili, na Maswali Kuhusu Unabii wa Kisasa Jina la TB Joshua, aliyekuwa kiongozi wa kanisa la Synagogue Church of All Nations (SCOAN) nchini Nigeria, limewahi kuwa kivutio kikubwa cha waumini kutoka sehemu mbalimbali za dunia. Kwa wengi, alikuwa...
  5. Econometrician

    Ninaona giza mbeleni kwa upande wa kiutawala wa nchi

    Ninaona giza mbeleni kwa upande wa Muungano wetu wa Tanganyika +Zanzibar kimuundo na kiutawala. Tukumbuke kuwa zile zilikuwa zinaitwa kero za Muungano, sasa hivi ni kama hazipo hii ni kutokana na Rais wa Jamhuri kwa sasa ni Mzanzibar-so hope issue nyingi zinashughulikiwa ipasavyo.Ikitokea tena...
  6. EvilSpirit

    Picha chache za kumbukumbu ya siku ile ya giza

    Majambazi yakirandaranda yaliuwa mpaka wale ndugu zetu wenye matatizo ya akili hili roli kwenye picha ya kwanza ndio lilikuwa ambulance yao ya majeruhi na marehemu. Gladhabu ya waandamanaji 1.Moja ya vituo vya ubagazaji kura kikiwa kimebaki gofu.Hii sehemu ilitumika kufanyia uwizi wa kura...
  7. Prof_Adventure_guide

    PostGE2025 Nguvu ya Wananchi Kwenye Giza la Uchumi: Tumaini la Tanzania Mpya

    Hali ya sasa imefika mahali ambapo moyo wa kawaida umeshindwa kubeba. Tumekuwa tukipambana, tukitafuta angalau mwanga mdogo ili tuendelee kuishi, lakini ukweli mchungu ni kwamba hatuoni huo mwanga tena. Kwa sisi tunaoishi kwa kutegemea utalii maisha yamekuwa kama kupita kwenye jangwa bila hata...
  8. Beira Boy

    Tarehe 17 kunani kwani, naona Giza siku hiyo

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Giza kubwa sana siku hiyo SAYUNI BOY
  9. Genius Man

    Ni Usiku wa manane nchi ikiwa kwenye majozi na giza nene kuhusiana na matukio ya kutisha

    Ni Usiku wa manane nchi ikiwa kwenye majozi na giza nene kuhusiana na matukio ya kutisha.
  10. comrade_kipepe

    Wanamtandao pia wanatumia nguvu za giza

    Nimeshtuka hapa usingizini sasahivi natoa jasho mbaya, nimeota nipo chini ya ulinzi nmezungukwa na watu 6 nikiwa nimepiga magoti, mmoja amekaa kwenye kiti ananiuliza "ULE UJINGA WAKO ULIOKUA UNAANDIKA KULE JAMIIFORAM UMEONA ULIPOKUFIKISHA!" hivi hawa jamaa ni mashetani kiasi hiki aisee wanakuja...
  11. comrade_kipepe

    Naliona giza baada ya mwezi wa 10

    Kinachoenda kutokea ni kama tumejifungia chumba kimoja na chui halafu tunatumia vibaya risasi zinaelekea kuisha halafu chui bado hajafa, last bullet Yani kuanzia hapo mwezi wa11 katikat mambo yatakua magumu sana kama tutashindwa kummaliza maana chui aliejeruhiwa nae atataka kuwakomesha...
  12. R

    Giza totoro Cuba nzima kwa Kukosa umeme Septemba 10, 2025

    Kwa mara nyengine, Cuba imekosa umeme nchi nzima kutokana na uchakavu wa miundombinu na uhaba wa mafuta kwenye mitambo ya nishati katika taifa hilo la Karibiki. Tukio hilo la jana ni la pili kwa mwaka huu, likitanguliwa na matukio ya aina hiyo mwaka jana. Wizara ya Nishati na Madini imeandika...
  13. Allen Kilewella

    Rangi ya viti kwa Mkapa imeleta giza uwanjani

    Mpangilio wa rangi za viti na rangi zenyewe umeleta giza ndani ya uwanja wa Mkapa. Hata Mpira unapooneshwa na kamera kuelekezwa kwenye maeneo ya vitu visivyo na watu au watu wachache unaona kabisa ule mvuto wa uwanja umepungua kabisa. Inawezekana lengo la kuweka rangi za bendera yetu ya Taifa...
  14. kavulata

    Baba Levo ahutubia wajumbe akiwa na miwani ya giza, ni sawa?

    Ni sawa kuwahutubia wajumbe ukiwa umevaa miwana kama hii? https://youtu.be/JbhL8mwx67c?si=v0ogSQY26ydWrzV8
  15. ELI COHEN

    JF STORY TIME: Ugaidi katika Westgate; Moja ya Siku ya Giza zaidi jijini Nairobi

    Jumamosi yenye shughuli nyingi, Septemba 21, 2013, Mall ya Westgate lilikuwa imeshamili wanunuzi, familia, marafiki, na wafanyakazi. Majira ya saa 12:30 jioni, watu wanne wenye silaha waliojifunika nyuso zao kutoka kwa kundi la wanamgambo wa Kisomali al-Shabaab walivamia jumba hilo la maduka...
  16. The redemeer

    Nguvu za giza: Jinsi zinavyofanya kazi na kupenya kudhuru mtu au vitu

    Nguvu za giza (dark forces / evil spiritual forces) zinajumuisha roho chafu, mapepo, wachawi, mizimu ya giza, na mitandao ya kiroho inayotumika kwa madhara. Hapa chini naeleza mfumo wao wa kazi, mbinu, na upenyaji: --- 1. Asili yao ni nini? Ni nguvu za kiroho zilizo kinyume na Nuru ya Mungu...
  17. Yoda

    Marekani yazidi kusogelea katika giza la udikteta, Trump atishia kuvifuta vyombo vya habari vinavyomkosoa.

    Yale mambo ya ulimwengu wa tatu ya banana republics ya mtawala hakoselewi sasa yameanza kushika kasi Marekani katika awamu ya pili ya Trump, tayari ameshamfukuzisha kazi comedian mmoja mkubwa maarufu Stephen Colbert wa CBS ambaye ni mmojawapo wa wakosoaji wake wakubwa, ameshavuna mabilioni ya...
  18. wasumu

    Siku Tatu za Giza [Three days of darkness]

    Ujumbe Muhimu wa Onyo ICYMI (Kama Hukufahamu): Giza la Siku 3 Halikughairiwa, Bali Lilizuiliwa. Mwenyezi Mungu yuko kimwili hapa duniani na Ufalme Wake huru. Vifaa vya Hukumu vinazunguka duniani kote. Huu ni onyo kwa wakaazi wote wa dunia, likionyesha kuwa hakuna muda tena kwa uovu duniani kwani...
  19. Surya

    Kanisa kuzidiwa na Uchawi (Giza)

    Sitaweka vifungu vya biblia lakini kwa atakayetaka apewe na vifungu wapi imeandikwa Tutampa. Mada ni Taifa la Mungu Israel na Taifa la Mungu Tanzania. Ushindani kati ya nguvu ya Uchawi (giza) na nguvu ya Nuru umeanza tangu Binadamu alipoumbwa hapa duniani. Na sehemu nyingi kuonekana Nguvu ya...
  20. Prof_Adventure_guide

    CCM na Ukatili wa Kimfumo: Taifa Linalozama Katika Giza la Haki Kukanyagwa, Raia Kudhalilishwa na Demokrasia Kugeuzwa Kichekesho

    TUMECHOKA! Kwa herufi kubwa kabisa. Tumechoka kunyanyaswa, tumechoka kuonewa, tumechoka kuishi kama watumwa kwenye nchi yetu wenyewe ilhali tunaambiwa tuna Uhuru wa kuishi, kuongea, na kuamua. Kwani ninyi wa CCM, mko made of what? Si ni binadamu kama sisi? Au damu yenu ni dhahabu na yetu ni...
Back
Top Bottom