giza

Giza (; sometimes spelled Gizah or Jizah; Arabic: الجيزة‎ al-Jīzah, Egyptian Arabic pronunciation: [el ˈgiːze]) is the second-largest city in Egypt after Cairo and fourth-largest city in Africa after Kinshasa, Lagos and Cairo. It is the capital of Giza Governorate with a total population of 8.8 million as of October 2018. It is located on the west bank of the Nile, 4.9 km (3 mi) southwest of central Cairo, and is a core city of the Greater Cairo metropolis. Giza lies less than 30 km (18.64 mi) north of Memphis (Men-nefer), which was the capital city of the first unified Egyptian state from the days of the first pharaoh, Narmer.
Giza is most famous as the location of the Giza Plateau, the site of some of the most impressive ancient monuments in the world, including a complex of ancient Egyptian royal mortuary and sacred structures, including the Great Sphinx, the Great Pyramid of Giza, and a number of other large pyramids and temples. Giza has always been a focal point in Egypt's history due to its location close to Memphis, the ancient pharaonic capital of the Old Kingdom. Its St. George Cathedral is the episcopal see of the Coptic Catholic Eparchy of Giza.

View More On Wikipedia.org
  1. kyagata

    JamiiForums Tanzania Saa 1 na dakika 11 usiku hapa Mbeya jua bado linawaka

    Niko Mbeya, hapa ni saa moja usiku kwa mujibu wa saa yangu ila bado jua linawaka. Nimewasiliana na mtu yuko Dar ananiambia wao huko giza tayari na wako wanakula supper. Kwanini kuna tofauti hii ya kuzama kwa jua kati ya mikoa hii miwili?
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini waumini wengi wa Dini ya Kikristo wanaamini mkristo aliyefanikiwa ni mchawi au anatumia nguvu za Giza?

    Wakristo wengi wanamwomba Mungu awape maarifa ya kutafuta Mali.Wengi wanafanikiwa; wakifanikiwa Tu wenzao uacha kumtukuza Mungu Kwa kumpa utajiri mwenzao badala yake umwita freemason. Wachungaji wote waliofanikiwa nchini wanaitwa freemason. Wafanyabiashara nao freemason. Je, Mungu wa wakristo...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Amewasha Moto Wa Maendeleo Usiozimika.

    Ndugu zangu watanzania,
  4. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kuhonga ni sawa na kutupa fedha ndani ya shimo refu lenye giza, utapoteza zaidi na zaidi

    Kuna shimo moja liko katika kijiji kimoja mkoani Lindi ambalo sio man made ila ni shimo ambalo hakuna mtu amewahi kuingia. Ni giza tupu, inasemekana ndilo Wajurumani walilitumia kuwatumbukiza watu waliokuwa wasumbufu kwenye utawala wao. Ni shimo refu sana kiasi kwamba hata anayekutumbukiza...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nyakati za giza nisizotaka zijirudie tena nchi hii

    Sitaki, sitamani na sitarajii kumuona kiongozi yeyote; (a) Anaharibu mahusiano baina ya nchi yetu na nchi nyingine. (b) Anaharibu mahusiano baina ya wanachama wa tawala na wale wa vyama vya upinzani. (c) Anahubiri majukwaani kwamba mkichagua upinzani sitaleta maji. (d) Anapora fedha za watu...
  6. Ali Nassor Px

    JamiiForums Tanzania SoC02 Elimu ni mwanga ila kwa upande huu ni giza

    UTANGULIZI Elimu ni nini ? Ni ujuzi wa utambuzi wa jambo na uwezo wa kuwa na maarifa juu ya jambo fulani na kuwa na mbinu stahiki ya kuhamisha maarifa hayo katika utendaji yakaleta matokeo chanya kwa jamii. Sera ya elimu ya mwaka 2014 inaeleza katika Dira yake ni pamoja na kuwa na Mtanzania...
  7. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Mo Salah atoa Pounds 3,000,000 za Misri ($156,664) kujenga upya Kanisa lililoungua Giza

    Jamaa kafanya jambo kubwa sana huko kwao. --- Egyptian Liverpool forward Mohamed Salah has donated three million Egyptian pounds ($156,664) to help rebuild a church in Giza where a fire on Sunday killed 41 people and left several others injured. Social media channels in Egypt were full of...
  8. AREA 255

    JamiiForums Tanzania SoC02 Giza la NHIF

    Hapana shaka mfuko wa taifa wa Bima ya afya ni hitaji la msingi la ulinzi wa afya kwa wananchi wote, katika kujenga taifa lenye siha linaloweza kupambambana na adui maradhi ili kujenga jamii iliotayari katika kujenga uchumi endelevu kuelekea uchumi wa kati kamilifu kama maelekezo ya dira ya...
  9. A

    JamiiForums Tanzania SoC02 Hili la madarasa ya giza, tufanye kitu kunusuru watoto wetu

    Abeid Abubakar Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu katika habari iliyochapishwa na gazeti la Mwananchi la Julai 23, 2022 ukurasa wa 23, alinukuliwa akisema kuwa Watanzania wapo hatarini kupata upofu kwa kukosa huduma za macho, huku akiweka bayana kuwa ni watu milioni moja pekee wanaopata huduma hiyo...
  10. my nation

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mtoto ndani ya giza jeusi

    MTOTO NDANI YA GIZA JEUSI. Mimi ndio taifa la kesho kweli kwa haya uliyonitendea? Nikifiwa na wazazi wangu sina amani tena ya kesho, wazazi wakinipeleka shule za hosteli nikiwa bado mdogo sina raha kwa vitendo vya ulawiti na ubakaji ninavyofanyiwa na kaka zangu, nikiwa nyumbani na babu yangu...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mbele kuna Giza nene, Kulia na kusaga Meno

    MBELE KUNA GIZA NENE, KULIA NA KUSAGA MENO! Anaandika, Robert Heriel. Njia imesonga, nuru inazidi kufifia, Kurudi nyuma haiwezekani, mbele nako giza limetanda, twajua tulipotoka lakini hatuna uhakika wa hatma yetu. Pale nguvu zitakapotuisha, akili itakapo poteza uwezo wake wa kufikiri. Nini...
  12. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Giza totoro: Kyombo Alikuwa Mbao fc ikashuka daraja, akahamia Ihefu ikashuka daraja, singida united na Mbeya Kwanza kachezea nazo zikashuka.

    Giza limekuwa jeusi tiiii... Huenda msimu ujao ukawa mgumu zaidi kwa simba kiasi cha kutokuwepo hata top 10 😂😂 Msimu ujao ninachoona historia huenda ikajirudia kwa Simba kurudia lile tukio la kuweka mpira kwapani na kukimbia uwanjani kipindi cha kwanza wakiwa wameshakula goli za kutosha...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Iko siku nchi nzima itakuwa giza kwa sababu ya kukumbatia walamba asali kina January Makamba

    Nasema hivi! Haiwezekani kuwa matatizo ya Tanesco yalikuwa sugu kiasi hiki Ni mwaka sasa na miezi tangu tuambiwe Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) linaundwa upya na mitambo yake kufanyiwa ukarabati muda wa miezi miwili kwamba hatutaona tena kukatika kwa Umeme wala mtandao wa manunuzi ya...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Giza totoro kituo cha mabasi ya mwendo kasi Kimara, je serikali imeshindwa kuweka backup power?

    Muda huu giza limetamalaki kwenye kituo cha mabasi ya mwendo kasi Kimara. Msongamano wa abiria ni mkubwa mno, magari ni kama vile yamegoma. Hii ni aibu kwa taifa , yaani mama aite wageni wake kupitia Royal Tour, halafu wageni wapande mwendo kasi uliojaa kunguni na huduma mbovu, sijui kwenye...
  15. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Sabaya ole Lengai dawa ya Mafisadi, karibu tuwatibu wagonjwa wenye ugonjwa wa ufisadi, wizi na wauza madawa ya kulevya

    Welcome back hero. Uliipigania nchi yako, ulisimama kizalendo kudeal na wauza madawa ya kulevya, waiba magari ya watanzania na kuyapeleka kwa jirani, wahujumu uchumi na wakwepa kodi. Uliipigania nchi yako ili mapato ya serikali yako yaongezeke Taifa lako litekeleze miradi yake kwa fedha za...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Kwa nini naona Watanzania Bara tumenufaika sana na Muungano zaidi sana wa Wazanzibar - wametuokoa mara mbili kutoka shimo lenye giza nene!

    Mimi ni Mtanzania bara. Nimetafakari sana juu ya kile watu wa Tanzania bara wanaita kero za Muunganom au kupendelewa kwa Wazanzibar katika muungano. Utaona kwamba ni mambo madogodogo sana, vitu kama fedha za misaada sijui, Wazanzibar kuwekeza bara na kununua ardhi tofauti na watu wa bara...
  17. Pist_Sr

    JamiiForums Tanzania Kama unaamini uwepo wa Mungu, usiipite hii!

    Hello! Kuna jibu huwa najibiwa sana na washika-dini kila ninapowauliza kwanini wao wanaamini uwepo wa Mungu. They are like, "Unaamini uchawi upo?" Nikimjibu, anakuja na hii, "Kama unaamini uchawi upo, kwanini huamini Mungu yupo?". Yaani hapo huwa wana nadharia yao kuwa, everything is two...
  18. Kalamu Yangu

    JamiiForums Tanzania Shairi: Nuru imeshinda giza

    SHAIRI: NURU IMESHINDA GIZA MTUNZI: Kalamu Yangu Nuru ndogo ya kurunzi, 'meshinda giza totoro, Tena mbele ya viunzi, vyenye miba na chochoro, Wameshinda wanagenzi, si zana siyo michoro, Giza halikuwatisha, bali nguvu kuwatia. Tuliwaambia mwanzo, kina Siro na wenzake, Mkajivunia mafunzo...
  19. Jack Wabukoba

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuna utajiri wa nguvu za giza?

    Hi ndugu, Naambiwa sana na kusoma simulizi kuwa mganga wa kienyeji anaweza kumuwezesha mtu kupata utajiri. Utajiri tena wa pesa taslimu (CASH) noti tupu. Kwamba unaenda kwa mganga na ukitoka tayari unazo, unatoka na maburungutu ya kutosha kwenye mfuko (begi). NAOMBA anayejua anijuze kwamba JE...
  20. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Giza na Nuru havitangamani

    Nianze kwa kukiri, naamini katika Ukristo na hivyo mifano yangu itaegemea kwenye kitabu chao Biblia. Katika Waraka wa pili wa Paulo kwa Wakorintho 6:14, Mtume Paulo anawaasa Waamini wa Kanisa la Korintho kwamba hakuna Ushirika kati ya Giza na Nuru. Akimaanisha huwezi kuwa mtu wa haki kama...
Back
Top Bottom