game

  1. X

    China yaongeza kodi kwa 34% kwenye bidhaa za Marekani kufuatia Marekani kutangaza ongezeko la tariffs kwa mataifa mbalimbali duniani. The game is on!

    Baada ya uongozi wa Trump jana kutangaza kuongeza tariffs kwa mataifa mbalimbali dunia kutia ndani China, leo pia China nayo imetangaza kuongeza tariffs kwa 34% kwa bidhaa zote za Marekani. Mwanzoni China ilikuwa ikiongeza tariffs kwa baadhi tu ya bidhaa za Marekani ila tangazo la leo limegusa...
  2. A

    Simba leo mnaingia uwanjani na Game plan ipi?

    Kama Simba Sc itaingia uwanjani kwa Game plan ya kujihami mwanzo mwisho simply ipo ugenini itaaibika.. Hii Game plan iliwa-cost Simba dhidi ya Constatine kule Algeria.. Ile mechi Simba sc haikustahili kufungwa..ulikuwa ni uzembe.Laiti Simba angekuwa na wazoefu wake wa zamani angeshinda. Mambo...
  3. Let's play halal game

    Take your month and date of your birth and search for Quran verse. Maybe allah is giving some message...! Comment the verses
  4. Sakata la Simba na Yanga, kuna 'Chess game' ilichezwa?

    Mbona kama vile kuna naona hapa ilipangwa long strategy na Simba. 1. [Kama ni kweli] Simba hawakuomba kutumia Uwanja, walifanya kusudi na mtego. 2. Simba wasusie Match ya Tar 8. 3. Bodi ya ligi iifute match. 4. [Kwa usahihi/kwa kutokuwa sahihi—wanaingia kwenye mtego] Yanga wanasusia match...
  5. SIMBA SC: "NO REFORM, NO GAME", KIZAZI CHA MABADILIKO

    Ni masaa kadhaa tangu shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, TFF kutoa taarifa rasmi ya kuahirishwa kwa mchezo na 178 wa ligi kuu Tanzania bara huku mashabiki na wadau wa soka nchini wakiachwa vinywa wazi. Taarifa hii imekuja mara baada ya timu Simba Sc ikidai kuzuiwa kufanya mazoezi yao ya...
  6. M

    Game ya Tarehe 8 March, Simba ina Pressure zaidi kuliko Yanga

    Sababu ni moja tu : Wamefungwa mara nne(4) mfululizo na katika hizo kuna moja kapigwa goli 5. Hivyo hii game inayokuja Simba wameipania kupita kiasi maana ikitokea wakafungwa tena ITAKUWA NI AIBU NA FEDHEHA KUBWA ZAIDI na pale makao makuu ya Simba hakutakalika. Kwa upande wa Yanga wao hawana...
  7. Game theory

    Nadharia ya Mchezo (Game Theory) – Maelezo, Mifano, na Matumizi Nadharia ya Mchezo ni Nini? Nadharia ya mchezo ni tawi la hisabati linalochunguza maamuzi ya kimkakati yanayofanywa na watu au mashirika katika mazingira yenye ushindani au ushirikiano. Inasaidia kuelewa jinsi watu huchagua...
  8. Poor game, Fixing match ,90 minutes Shots on target 0

    Hiyo ndio mechi ya ndugu wawili mechi mbovu kuwahi kushuhudiwa mechi ya mipango mpira unapigwa wanaurudisha kwa mfungaji kipa anajirusha ushahidi bila...krosi inapigwa mabeki wanajitenga mfungaji amewachwa peke yake malengo yametimia msifunge mengi mawili yanatosha wasielewe kama mechi tumepanga...
  9. Kosa la chasambi tumeliona game nzuri tumeshuhudia ila Mpanzu ni habari nyingine

    Hiyo dabi yanga wajipange mpanzu anapasua vichaka jamaa ni mwepesi sana anapiga ma-uturn ya kiulaya yale mapasi kama wenzie watamuelewa vyema tegemeeni Yanga kufa goli nyingi hata kama Refa atakuwa Ramadhani Kayoko au Hersi Saidi..... kifupi Mpanzu hakupaswa kucheza kwenye hii ligi dhaifu ya...
  10. Hawa wachina wa Home City walifanya nimkumbuke Kaburu wa Game Sup. Mark

    Sikumbuki ile siku ilikuwa siku gani kati ya Jumamosi na Jumapili. Nipo na family mwaka jana mwishoni. Tumeenda fanya shopping vitu vya siku kuu. Tukiwa ndani ukafika muda wa kufunga duka kama sikosei ilikuwa saa 12 jioni. Wahudumu walianza ku harass wateja kuwa either wafanye haraka kununua...
  11. Game ya Yanga na Azam itapigwa Chamazi?

    Jee kama inapigwa Chamazi CCTV Camera zitakuwepo? Gemu itaanza saa kumi na Moja. Ikifika saa Moja itabidi taa za uwanjani ziwashwe, jee wataendelea kumzimia taa yule mchezaji aliyelogwa ili asifunge goli? Yale mavitu yatakuwepo ama watajidunga huko huko ili asinaswe na kamera?
  12. Ni yapi maoni yakokuhusu game ijayo ya Simba na Yanga?

    Simba ataendelea kuwa mteja? Kocha mpya wa Yanga naye ataiona Simba?
  13. Life is truly a Numbers Game/ Maisha kiukweli ni mchezo wa namba

    Life is truly a Numbers Game Maisha ni mchezo wa namba Ukiwa unatafuta fursa Fulani , usiweke uhakika wa kuipata hiyo fursa Kwa mtu mmoja peke yake Haijalishi huyo mtu ni nani kwako au unafahamiana nae miaka mingapi. Jaribu kuwa na utamaduni wa kuwatafuta watu wengi kadri ya uwezavyo ...
  14. Beyond the Hype: Real Estate Veteran Mark McMahon on True Wealth, Recession Resilience, and the Long Game

    Beyond the Hype: Real Estate Veteran Mark McMahon on True Wealth, Recession Resilience, and the Long Game The allure of real estate investing is undeniable. Images of passive income, financial freedom, and early retirement flood social media, promising a life of luxury and ease. But what's the...
  15. Ili Yanga Game ya Mwisho Ashinde Goli 3 Na Mc Alger

    HABARI. Ili yanga afuzu game la mwisho inatakiwa ashinde 3 goals game ya Mwisho na Mc Alger. AL hilal mechi 4 point 10 Mc alger mechi 5 point 8 Yanga mechi 4 point 4 Tp mazembe mechi 5 point 2.
  16. Game gani lilikuteka kihisia ukajihisi na wewe ni muhusika ndani ya game

    Hi? DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda kupoteza marafiki zangu niliodumu nao kwa muda mrefu Warning Mission za Horde ni za kuepuka kama hauna...
  17. M

    Yanga kuingia robo fainali inabidi ashinde game zote mbili na si vinginevyo

    MC Alger akishinda game moja tu halafu Yanga atoke sare na Al Hilal (japo 99% Al Hilal atashinda) basi Yanga itajiunga na wachovu wenzao TP Mazembe kuyaaga Mashindano
  18. Njoo utembelee na ujue historia ya Serengeti and Ngorongoro crater safari ya kutwa.

    Hello wana jamii forum! Karibuni sana kwenye majadiliano yetu leo! Leo ningependa kuzungumzia hifadhi mbili maarufu sana hapa Tanzania, ambazo ni Serengeti National Park na Ngorongoro Conservation Area. Serengeti National Park ni moja ya vivutio vikuu vya utalii hapa Tanzania na kimataifa pia...
  19. Aliyetunga Squid Game series ni mwehu kila alieshiriki iyo TV show amechezewa mchezo hadi ukiitazama tu ushachezwa mchezo

    Hii series nasema ndiyo best kabisa imeigiza maisha watu wanavyokimbizana na hatima zao Kwa tamaa ya pesa Ila kinachoniumiza kichwa hii series Kila mtu ALIESHIRIKI amechezewa mchezo 😁hata UKIITAZAMA TU umechezewa mchezo pia Ukimuhadisia mtu ndiyo kabisa utaona tu unahadisia ujinga kila tukio...
  20. Kuahidi hizi teams pesa kunasababisha wapoteze attention. Hii game Singida walikamia sana wakaacha kucheza mpira

    Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa. Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…