fundi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Msaana fundi wa kufunga milango

    Habari ya sahivi, Natafuta fundi wa kufitisha milango ya mbao,milango tayari ninayo ,iko miwili. Site iko kigamboni. Naombeni namba ya mtaalamu wa kazi. Sio dalali.
  2. JamiiForums Tanzania Kama unahitaji fundi mitambo / mechanical technician ( magari, ac, lathe machine,milling machine, freezer, fridges)

    Kama unahitaji fundi mitambo / mechanical technician ( magari, ac, lathe machine,milling machine, freezer, fridges) nipo funding full set natengeneza vitu hivyo magari, kuendesha machine za lathe na air conditioning (HISENSE) nicheki WhatsAp/sms/piga 0756704145 (kwa ajira/kazi)
  3. JamiiForums Tanzania Usiwe fundi garage kupokea wanawake walioharibika huko.

    USIWE FUNDI GARAGE KUPOKEA WANAWAKE WALIOHARIBIKA HUKO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Nitaendelea kuwamezesha Doctrines kilazima lazima mpaka wenye vichwa ngumu muelewe. Usijikute Fundi Mechanics, Fundi garage wa wanawake wabovu, waliojiharibu, kuharibiwa au kuharibika. Hiyo kazi sio...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wenye biashara za hotspot mnapoteza wateja na pesa kwa kununua vifaa feki au kuwapa kazi kina fundi Maiko, Hii wifi ya 3 nakutana na shida ile ile

  5. M

    JamiiForums Tanzania Alijidai fundi jikoni, akaaibika mbele ya wageni wake. Umewahi pika chakula kibaya?

    Siku moja shangazi yetu alituambia kuwa atakuwa na wageni wa muhimu wanakuja kumtembelea nyumbani ivyo tuweke mazingira sawa kwenye kila kitu kusiwe na dosari kama mjuavyo nyumba ikiwa na watu wengine inakuwa na hekaheka inahitaji kurekebishwa mpangilio. Basi tukafanya hivyo huku yeye akienda...
  6. JamiiForums Tanzania Nje ya Sanaa ya muziki, Civilian-Coin pia ni fundi ujenzi.

    Msanii wa muziki kutoka Tanzania anaye ghani mashairi yake kwa lugha ya kiingereza pia ni fundi ujenzi wa majengo na mbunifu wa kutengeneza vifaa mbalimbali vya ujenzi, hujishughulisha na shughuli za ujenzi ambazo humusaidia kukamilisha mipango yake ya Sanaa ya muziki na maswala ya kiuandishi wa...
  7. JamiiForums Tanzania Kisa cha jamaa anaetembea na mke wa fundi kinyozi

    Jamaa mmoja aliingia saluni akakuta Pana watu kama watano na kinyozi wa sita. Akauliza kama kuna foleni kubwa akajibiwa kwamba wanao nyoa ni watatu tu yaani aliyekuwa ananyoa kwa muda ule na wengine wawili waliokuwa wameketi kwenye sofa, hawa wawili wengine walikuwa washkaji zake kinyozi...
  8. JamiiForums Tanzania Natafuta fundi wa nguo za kiume mwenye ujuzi wa msingi

    Natafuta fundi wa nguo za kiume mwenye ujuzi wa msingi. Nitakufunza na kukuongezea ujuzi zaidi wa ushonaji wa kisasa. Ofisi ipo Dar es salaam, kinondoni. Kama upo tayari kujifunza na kufanya kazi, nitafute kwa namba +255719377649.
  9. JamiiForums Tanzania Kama wewe ni fundi Umeme wa viwandani Jaribu hii nafasi ya kazi........

  10. M

    JamiiForums Tanzania Fundi anataka milioni 1.2 kuezeka nyumba ya vyumba vitatu

    Hapa wazee napigwa? Nyumba ina vyumba vitatu na iko mstatili ameniambia milioni moja na laki mbili, vifaa vyote ni vyangu maeneo ya Dar iko sawa? Na mwingine kaniambia laki nane na nusu lakini ananiambia ninunue mbao buguruni eti mbao moja 18,000/= hapo vipi?😀 Ukubwa wa nyumba mita urefu mita...
  11. JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya fundi mechanic magari makubwa

    Tunatafuta Fundi Magari Makubwa mwenye uzoefu wa kutengeneza Engine na Gearbox za malori na magari makubwa, hususan yale ya Kichina. Sifa zinazohitajika:
• Uwe na uzoefu wa kutengeneza engine za malori na magari makubwa.
• Uwe na uwezo wa kufanya matengenezo na overhaul za gearbox.
• Uwe...
  12. JamiiForums Tanzania Nassoro Techtz: Mabingwa wa Vifaa vya Kompyuta, Accessories & Vifaa vya Ufundi Madishi – Mapinga Mtambani, Bagamoyo!

    Habari za majukumu wana-JamiiForums!Je, wewe ni mkazi wa Mapinga, Bunju, Boko, Tegeta, au maeneo ya Bagamoyo na unatafuta vifaa bora vya kompyuta na accessories? Au wewe ni fundi wa madishi ya TV (Azam, DStv, Zuku, StarTimes) unayetaka vifaa imara vya kazi bila kusafiri umbali mrefu hadi mjini...
  13. JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi, Plasta

    Habari wanna jukwaa. Asanteni kwa muda wenu. Nipo Goba, Dar es Salaam. Nahitaji fundi Ujenzi mwenye uzoefu mzuri wa kujenga fence ndefu katika ardhi ya Dar es Salaam. Pia nahitaji fundi mzuri wa plasta mwenye uzoefu wa kunyoosha kuta za majengo marefu kwenda juu. Unaweza kunicheki inbox...
  14. JamiiForums Tanzania Fundi wa mahaba

    Ni yupi anayebisha ? Siambi kujipa sifa, tena ambazo sinazo Hunifuata sharafa, mahali penye mzozo Wanijua makhalifa, nawachangia mawazo Kunao wengi magwiji, tena watajika haswa Kuna mafundi bobezi, vyuoni wamemaizi Ila kwa wangu ujuzi, hawawezi piga mbizi Kidogo labda miluzi, na hapo...
  15. JamiiForums Tanzania Anahitajika fundi Bomba(Plumber)

    Anahitajika fundi Bomba(Plumber) mwenye ujuzi, mahiri na uzoefu wa kutosha katika:- - Awe na cheti cha taaluma ya Plumbing kutoka VETA au NACTEVET - Awe na uzoefu wa vitendo (miaka 2–5) kwenye miradi mikubwa au ya kati Awe na uelewa wa ramani za ujenzi (technical drawings) na michoro ya...
  16. JamiiForums Tanzania Fundi wa kukarabati nyumba ya zamani iwe ya kisasa

    Habari. Nina nyumba ina vyumba vitatu vta kulala, dining, siting room na public toilet. Nahitaji fundi anayeweza Kuikarabati iwe ya kisasa kidogo maana lengo langu ni kupata master na jiko moja upande mwingine anitengenezee master jiko na sebule kama itawezekana. Ahsante. Eneo liko Dar es...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mchawi wa kwanza wa matatizo ya gari lako ni wewe mwenyewe, ni kitu gani huwa unakitatua mwenyewe au kumpa fundi maelekezo asilete ujuaji

    Kwenye oili ya usukani huwa nipo strict sana kuiweka mwenyewe, na nikipeleka kwa fundi huwa nampa maelekezo asiweke oili ya gearbox kama walivyozoea. Air filter – hii huwa naibadilisha mwenyewe au nikiwa kwa fundi namsisitiza aweke original, si zile za bei rahisi zinazoziba haraka. Engine oil...
  18. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta fundi anayejua vizuri Auto electrical au aliyesomea hii kozi ngazi ya cheti au diploma

    Habari wakuu! Nina shida na fundi mzuri wa auto electrical mwenye cheti kwa ngazi ya diploma sio lazima awe vizuri kwa upande wa practical, uzoefu ataupata kazini!! Kama unamjua mtu wa namna hiyo au ni wewe mwenyewe unaweza Kuja dm au comment namba ya simu, nitakupigia
  19. JamiiForums Tanzania Natafuta fundi ujenzi wakuu, anayeweza kazi vizuri

    Nina plot yangu nataka nitoe kitu kikali Sasa ninaomba humu kama Kuna fundi mzuri.
  20. C

    JamiiForums Tanzania Nimetapeliwa na fundi wa kutengeneza SAUNA kiasi cha TZS 3,500,000

    Habari wakuu, fundi wa kutengeneza sauna , hyu niliingia nae makubaliano anitengenezee sauna na nikamlipa tzs 3,500,000 lakini toka wakati huo mwaka Jana mwezi October anapiga chenga na hajawahi kufanya lolote. Nimetumia njia nyingi kudai pesa yangu lakini haijawahi kuleta mafanikio Zaid ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…