foleni

  1. Iwensanto

    Serikali atafute ufumbuzi wa foleni ya Temeke

    Kwa wakazi wa Temeke na maeneo yanayozunguka kumekuwa na shida ya usafiri kwa takribani mwezi sasa. Ndugu wana jamvi kwa wale wanaoishi wilaya ya Temeke kumekuwa na shida kubwa ya foleni ya magari. Kwa sasa kukaa barabarani kwa muda wa masaa 3 mpaka 4 ni kitu cha kawaida kabisa. Tunaomba...
  2. FRANCIS DA DON

    Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

    Napendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
  3. FRANCIS DA DON

    Hivi kuna foleni mbaya mida ya jioni zaidi ya hii ya Airport hapa duniani?

    Sikuwahi kudhani kama hapa duniani panaweza pakawa na sehemu yenye foleni ya kikatili namna hii, masaa mtu hujasogea??!!!!
  4. goroko77

    Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

    Sasa najiuliza ikiwa ripoti ya CAG imeonesha madudu je, ni jinsi gani sasa kama taifa tumeingiaje uchumi wa Kati? Ikiwa tumeibiwa Sana namna hii. Kuna bandiko linatembea nazani ni kutoka timu Sukuma Gang kujibu tuhuma za Msoga gang. ===== MWAMBIENI CAG, SISI TUMERIDHIKA! 1. Mwambieni CAG...
  5. funaku

    Hakutakuwa na foleni Dar iwapo yafuatayo yatafanyika...

    Opinion ya CAG iliangazia miradi hii iliyopo ya kupunguza foleni Dar? KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
  6. J

    CAG: Stendi ya Magufuli, Kibamba itaongeza foleni ya magari

    CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha. Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni...
  7. M

    Taa, Polisi na adha ya foleni barabara ya Sam Nujoma

    Kwanza nianze kwa kuipongeza Serikali kwa kukamilisha interchange ya Kijazi, (Dar kama New York). Sasa kuna hizi taa zimewekwa mpya kuingia kituo cha mawasiliano, naona zinaenda kurudisha foleni ambayo ilishaisha, naomba Tanroads wafanye utafiti tena wa hizi taa isije ikawa tunarudisha tatizo...
  8. S

    Ubungo interchange, imepunguza foleni au imepunguza msongamona kwenye eneo la daraja yaani katika mataa ya Ubungo?

    Hilo ndio swali langu kwani ninachokiona ni kupunguza kwa foleni katika eneo la mataa pale Ubungo ila mita chache kutoka hapo unakuta na foleni. Kwa mfano, ukitoka Ubungo Interchange mida ya jioni hasa kuanzia saa moja kasoro usiku mpaka saa mbili, ukifika maeneo ya Mlimani City basi ni mwendo...
  9. Millionaire Mindset

    Tusidanganyane; njia ya foleni kuelekea kwenye mafanikio na utajiri haina “future” kwa watoto wetu wala kizazi kijacho!

    Unafikiri ninapozungumzia habari za kuondoka kwenye njia ya foleni na kuhamia mwendokasi ninazungumzia ubinafsi wako na kupenda sifa kwako? Eti umesoma, una cheo, mtaa mzima wanakujua, kampuni yote wewe ndo wewe, na una vyeti kama vyote! Ninazungumzia habari za watoto wako na mamilioni ya kizazi...
  10. Millionaire Mindset

    Usikae sana kwenye njia ya foleni katika safari ya kuelekea mafanikio au utajiri, utachelewa!

    NJIA YA FOLENI (POLE POLE NDIYO MWENDO) Njia ya foleni ni njia ya wazee wa “polepole ndiyo mwendo”, wao huamini kuwa ili kuelekea mafanikio au umilionea inakulazimu kuwa na mvumilivu sana na mwenye subira. Watu hawa wana maarifa na wengi wao wamesoma sana, kiasi kwamba wanashindwa kujichunguza...
  11. Nyankurungu2020

    Je, foleni Dar es Salaam imepungua?

    Wadau naomba kuuliza hili swali kwa wakazi wa Dar, nataka kufahamu kama kuna improvemet yoyote kwenye kupunguza foleni hapa Dar. Mimi binafsi naona kama kuna ahueni tofauti na Zamani, maana unaweza kutoka Buza Sigara kwenda Kariakoo na ukatumia Dk 20. Lakini zamani ilikuwa unatumia kama saa...
  12. Replica

    Lori lagonga treni, foleni ndefu mataa ya Chang'ombe

    Lori aina ya fuso limegonga treni kwenye njia yake baada ya mataa ya Chang'ombe, Dar uelekeo wa Magomeni. Ajali hiyo imesababisha foleni barabara ya Nyerere kutoka mataa ya Veta Chang'ombe kuvuka daraja la Mfugale, Tazara. Pia imesababisha foleni Kubwa barabara ya Chang'ombe. Watumiaji wa...
  13. J

    Hali ya foleni ikoje na hizi mvua, naelekea Mbweni nikitokea Posta!

    Kwa wale ambao mko barabarani muda huu tupeane taarifa ya hali ya foleni tusije kulala barabarani kama juzi. Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani. Ahsanteni in advance. Maendeleo hayana vyama!
  14. DISPLEI

    Nini Suluhu ya tatizo la foleni barabarani mvua zikinyesha

    Tatizo la foleni barabarani limekuwa likijirudiarudia kila mvua kubwa zikinyesha. Ukiangalia, chanzo kikubwa ni baadhi ya njia za kuingia na kutoka maeneo mengi hasa mjini kutopitika kutokana na kujaa maji hivyo kufanya magari kutegemea njia chache. Ikishakuwa hivyo kila mtu anakuwa na uharaka...
  15. Shark

    GE2020 Tuliokwama Kwenye Foleni Sababu ya Miundombinu Mibovu tuna Jambo Letu tarehe 28 Oktoba 2020

    Dah, Muda huu Saa Nane na Nusu usiku ndo naingia home. Nimetoka Stesheni saa kumi na moja jioni, gari ilikua nusu tank but kufika Victoria imeisha mafuta Sababu ya Foleni. Nimeingia hasara kununua tena mafuta Sababu tu ya kifoleni-mshenzi cha Palm Beach. Nimeshinda na Njaa muda wote huo...
  16. FRANCIS DA DON

    Chang’ombe flyover ni moto wa kuotea mbali, foleni ya gari zinazotoka Kamata na Karume kuwa historia jijini Dar es Salaam

    Jana baada ya kupewa taarifa na mmoja wa wadau humu kwamba ujenzi wa Chang’ombe flyover umeshaanza nilishtuka kidogo, nikaona nifunge safari kwenda kushuhudia mwenyewe anachozungumzia kama ni kweli, maana sikuwahi kuona wala kusikia kwenye vyombo vya habari. Sasa kwakuwa vyombo vya habari...
  17. maroon7

    Kwanini flyover Ubungo haimalizi tatizo la foleni?

    Naipongeza Serikali yetu kwa juhudi kubwa za kutuletea maendeleo ikiwemo kuboresha miundombinu yetu. Leo daraja la juu pia limefunguliwa kwa magari yanayotokea mwenge kuelekea Riverside lakini kinachonishangaza ni kwanini foleni bado ni kubwa sana kwa magari yanayotokea Kimara? Huenda...
  18. mgt software

    Mwenge pawekwe mzunguko, ulipowekwa Ubungo foleni ilikwisha

    Habari WanaJF Ujenzi unaokaribia kukamilika mwakani wa barabara Mwenge to Morocco itakuwa vyema wakiweka round about badala ya taa. Hii itapunguza foleni na itaweka nakshi ya mji. Itaondoa na rushwa ndogo ndogo za matrafiki kuvizia wanaowahi taa. Itaongeza umakini na kupunguza ajali.
  19. 2019

    Gari ya Dangote yaacha njia na kuparamia nyumba, imesababisha foleni sana

    imeziba barabara ya Kilwa. Ni katikati ya Kipati na saba saba kwa Mpili Inasemekana lilimshinda dereva na kuhama barabara na kuparamia nyumba na kuharibu mali za watu. Kuna foleni kubwa sana. UPDATES Eneo ambalo gari liliaribu jana
  20. Hazchem plate

    Foleni kubwa Morogoro road

    Ebwanaaa kuna folen balaaaaa. Nimekaa kwenye folen kwa masaa 4. nipo maeneo ya mbezi mwisho. Nilikua na safari ya Arusha usiku huu sasa inabidi nilale tuu Nikimbizane na tochi asubuhi. Sijui shida ipo wapi
Back
Top Bottom