Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Kwakweli hii stendi kwa ubora ni zaidi ya Airport za nchi fulani fulani hapa Afrika mashariki. Hata Lissu akifika atashangaa shangaa kama alivyoshangaa barabara ya njia nane ya Ubungo - Kibaha alipopita wakati anafanya kampeni.
CAG aliitaja stendi hii kuwa inasababisha foleni kwa hiyo waua legacy ya Magufuli wanatakiwa wakaivunje, kuendelea kuwepo kwa stendi hii ni aibu kubwa sana kwao na nafsi zitakuwa zinawasuta kila wakifika hapo kuitumia.
Ngoja tuone wanavyovunja ndege, flyover, SGR, etc.
CAG aliitaja stendi hii kuwa inasababisha foleni kwa hiyo waua legacy ya Magufuli wanatakiwa wakaivunje, kuendelea kuwepo kwa stendi hii ni aibu kubwa sana kwao na nafsi zitakuwa zinawasuta kila wakifika hapo kuitumia.
Ngoja tuone wanavyovunja ndege, flyover, SGR, etc.