Nini chanzo cha foleni ndefu toka Kimara hadi Shekilango?

Faana

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
31,834
33,226
Nimepita muda huu kutoka Kimara kuja mjini kati nimekuta foleni ndefu sana kutoka Kimara ha Shekilango na uvunguni mwa Kijazi Bridge ni vurumai tupu kupishana kwa shida balaa, naamini kuna mashuhuda humu.
 
Daraja la ubungo naona bado halijatatua tatizo, hapo chini kila Mara ninapopita lazima gari isimame kusubiri zamu ya kupita.

Kwanini waliondoa ile round about maana ilisaidia tofauti na sasa
 
Daraja la ubungo naona bado halijatatua tatizo, hapo chini kila Mara ninapopita lazima gari isimame kusubiri zamu ya kupita.

Kwanini waliondoa ile round about maana ilisaidia tofauti na sasa
Pale kwakweli ni changamoto sijaona tofauti kubwa na enzi zile,
 
Chini hakukupaswa kuwe na mataa, ilipaswa round about iboreshwe ibaki milele.

Yaani Mchina kaondoka foleni chini imerudi.
 
Kuna siku nilitumia zaidiya 1hr toka kimara mwisho mpka kuvuka ubungo.

Kuna foleni ya kijinga sana hapo hata sijui sababu ni nini!
 
Folen inasababishwa sana pale kimara mwsho darajani.

Daladala pale Zina fanya kama stend kupakia abiria na lile eneo ni dogo hivyo usababisha kuziba NJIA ilo tatzo nime liona kwa muda, na ni Mala nyingi huwa hivyo kingine ni zile u turn za pale bucha nabaruti zinachangia kwa kiasi.
 
Folen inasababishwa sana pale kimara mwsho darajan

Daladala pale Zina fanya kama stend kupakia abiria na lile eneo ni dogo hivyo usababisha kuziba NJIA ilo tatzo nime liona kwa muda, na ni Mala nyingi huwa hivyo kingine ni zile u turn za pale bucha nabaruti zinachangia kwa kiasi
Wasipoangalia hizi desing zao hazittamaliza shida ya foleni jijini, alternatively waweke madaraja ya juu tena kama Kibamba.
 
Kuna siku nilitumia zaidiya 1hr toka kimara mwisho mpka kuvuka ubungo..
Kuna foleni ya kijinga sana hapo hata sijui sababu ni nini!
Nadhani kuna watu hawajatimiza wajibu wao vizuri, kimsingi naona ipo haja kuweka round abouts nyingi kama maraja ni gharama kuyajenga
 
Nimepita muda huu Kutoka Kimara kuja mjini kati nimekuta foleni ndefu sana kutoka Kimara ha Shekilango na uvunguni mwa Kijazi Bridge ni vurumai tupu kupishana kwa shida balaa, naamini kuna mashuhuda humu.
Jion kulikuwa na daladara limedondoka nyuma kidogo na kituo cha mwendo kasi. Kama halijaondoswa hapo na malori yakaanza pita..basi lazima shida iendelee, maana njia ya kupita kuelekea kimara, ilikuwa finyu sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom