fidia

  1. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Mali yadai fidia ili kuwaachia huru wanajeshi wa Ivory Coast

    Rais wa mpito, Assimi Goita amesema anatazamia suluhu ya kidiplomasia itakayonufaisha pande zote mbili ili kuwaachia huru wanajeshi hao huku akiweka wazi kuwa Ivory Coast imewapa hifadhi wanasiasa wanaotafutwa na utawala wake. Mnamo Julai 10, wanajeshi 49 Ivory Coast walizuiliwa katika uwanja...
  2. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda imeanza kuilipa DRC fidia kutokana na uvamizi wa miaka 20 iliyopita

    Waziri wa Sheria wa Jamhuri ya Kidemkorasia ya Kongo anasema Uganda imeanza kuilipa Kinshasa fidia ya dola milioni 65 kati ya 325 kama ilivyoamriwa na Mahakama ya Sheria ya Kimataifa ICJ. Kulingana na maafisa wa serikali mjini Kinshasa waliozungumza Jumamosi, ni kwamba waziri wa sheria Rose...
  3. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Rwanda: Serikali kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 2.3 kwa kuuza shopping mall ya mfanyabiashara Tribert Rujugiro

    Mahakama ya Afrika Mashariki imeamuru mfanyabiashara Tribert Rujugiro anayeishi uhamishoni, kulipwa fedha hizo baada ya kubaini kuwa serikali ya Rwanda ilikiuka Mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kujipa mamlaka na kuuza jumba lake la maduka "Shopping Mall". Uamuzi huo unajumuisha riba...
  4. BARD AI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya waitaka Uingereza kulipa Tsh. Tril 466 kama fidia ya Ukoloni

    Jopo la raia wa Kenya wamefungua kesi Mahakama ya Ulaya ya Haki za Binadamu (ECHR) dhidi ya serikali ya Uingereza wakiituhumu kwa unyanyasaji wa kikoloni Kati ya madai yaliyotajwa ni pamoja na wizi wa ardhi ambayo wamedai bado inatumiwa na makampuni ya chai, pia jopo hilo limeilaumu serikali ya...
  5. Statics

    JamiiForums Tanzania Madai ya kulipwa fidia kwa usumbufu wanaonifanyia benki ya DTB

    Wakuu , Wiki iliyopita Ijumaa kwenye moja ya ATM ya DTB hapa mjini nilienda kutoa pesa laki moja... Kilichotokea pesa haikutoka na kwenye account yangu wamekata pesa.. nikawafata customer care mda huohuo wakaniambia mtandao unasumbua pesa yako utarudishiwa baadae... hawakurudisha Kesho yake...
  6. Stroke

    JamiiForums Tanzania Li Jinglan Mkalimani wa Nyerere aliyefariki akisubiria malipo ya fidia dhidi ya NHC kwa miaka 19

    Mkalimani wa Mwalimu Nyerere Bi. Li Jinglan amefariki Agosti 5 huku akisotea malipo ya Tsh. 1. Bilioni alizoshinda kama fidia dhidi ya NHC. Baada ya kushinda kesi mwaka 2003 dhidi ya NHC na Nyingine mbili, Mkalimani huyo wa Mwalimu Nyerere hakuwahi pata malipo yake. Pole Bi. Li Jinglan.
  7. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Uingereza: Walioambukizwa VVU kimakosa kulipwa fidia ya Tsh. Milioni 281

    Serikali ya Uingereza imetangaza kuwalipa fidia ya Tsh. 281,800,046 watu zaidi ya 4000 walioambukizwa Virusi Vya UKIMWI kwa uzembe wakati wakiongezewa Damu. Watu hao waliambukizwa VVU na Homa ya Ini kupitia bidhaa chafu za Damu zilizoingizwa kutoka Marekani ambapo takriban watu 2,400 wanadaiwa...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Makambako: Mbunge alia fidia za wananchi mbele ya Rais Samia, Waziri amjibu

    Mbunge wa Jimbo la Makambako, Deo Sanga amemuomba Rais Samia Suluhu amuagize Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kulipa fidia kwa wananchi ambao maeneo yao yalichukuliwa. Mbunge huyo ametoa malalamiko hayo leo hii katika ziara ya Rais jimbo la Makambako. Kwa mujibu wa mbunge huyo, kuna maeneo...
  9. feyzal

    JamiiForums Tanzania Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Dar es Salaam. Mfanyakazi wa Wizara ya Kilimo, Frorence Samwel anadai fidia ya Sh500 milioni Hospitali za TMJ na Hindu Mandal za jijini Dar es Salaam na daktari Moirice Mavura kwa kile anachodai kuwa ni uzembe katika kumtibu. Pia amedai alipwe Sh53 milioni kwa ajili ya gharama mbalimbali...
  10. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa Mwanza walalamikia kuondolewa kwenye maeneo bila kulipwa fidia na kuuzwa kwa Vigogo wa Serikali

    Eneo hilo lenye viwanja 39, linalalamikiwa na wananchi kuwa lilichukuliwa bila wao kulipwa fidia na kuuzwa kwa vigogo hao wa serikali. Dk. Mabula pia amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Allan Kijazi, kuunda tume huru ambayo itafanya uchunguzi wa kina...
  11. BigTall

    JamiiForums Tanzania Wazazi wadai fidia ya Tsh bilioni 1.5 kwa mtoto wao kama asipoleta mjukuu

    Familia moja ya wazazi Nchini India imefungua kesi kwa mtoto wao wa kiume na mkwe wao wakitaka waletewe mjukuu ndani ya mwaka mmoja au walipwe Rupia milioni 50 (Rupia milioni 25 kutoka kwa kila mmoja) sawa na Tsh bilioni 1.5. “Mwanangu amekuwa kwenye ndoa kwa miaka sita lakini bado hawajapata...
  12. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Nehemia Mchechu adai fidia Tsh. billioni 3 kwa kuchafuliwa na Gazeti la The Citizen

    Kesi hiyo ilianza kusikilizwa Ijumaa iliyopita jijini Dar es Salaam mbele ya Jaji Leila Mgonya wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Katika kesi hiyo, Mchechu anawakilishwa na mawakili wa kujitegemea Aliko Mwamanenge ma Vitalis Peter. Mchechu anadai kuwa gazeti hilo katika toleo lake la Machi...
  13. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Nigeria yaharamisha malipo ya fidia kwa watekaji nyara

    Bunge la Seneti la Nigeria limepitisha mswada wa kifungo cha miaka 15 jela kwa kulipa fidia ili kumwachilia huru mtu ambaye ametekwa nyara, na adhabu ya kifo kwa uhalifu wa utekaji nyara ambapo mwathirika hufariki Muswada huo, ambao unarekebisha sheria ya ugaidi ya Nigeria, unaamuru hukumu ya...
  14. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mbaroni kwa kusambaza uzushi Mtandaoni kwamba Rais Magufuli ni Mgonjwa. Kigogo wa Twitter naye anasakwa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa. Pia, Kingai amesema wanamsaka mwanaharakati anayejiita...
  15. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

    Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha. Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili...
  16. C

    JamiiForums Tanzania Waliompiga mawe Askofu Gwajima kuhusu sintofahamu ya chanjo, njooni hapa. Mtalipa fidia gani kwa waathirika wa chanjo?

    Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu. Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile. Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine...
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Wadukuzi wanadai fidia ili kufungua tovuti za Serikali Msumbiji

    Wadukuzi wamepata tena udhibiti wa tovuti zaidi ya 30 za Msumbiji, saa chache baada ya serikali kusema kuwa imezima shambulio la Jumatatu. Kundi linaloitwa "Yemen Hackers" limedai kuhusika na shambulio hilo la hivi punde. Baadhi ya tovutizilizolengwa ni pamoja na mamlaka ya usimamizi wa majanga...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe, nakushauri, DPP akiweka Nolle prosequi na ukaachiwa, fungua malicious prosecution ulipwe fidia

    Naona kama kuna Nolle prosequi inapigiwa chapuo ili Mbowe awe nje na kuachiliwa huru. Hii ni wazi kabisa kuwa atakuwa amekutwa bila hatia. Atakuwa amepata hasara za kiuchumi na hata heshima yake kuvunjika katika jamii maana ugaidi ni shitaka baya sana. Becket vs New southwales [2013]17
  19. Noel france

    JamiiForums Tanzania Sheria ya kutokudai fidia pale Unapopata kesi ya kusingiziwa, haipo poa. Itakulinda leo wewe mtawala ila kesho itakugeukia wewe ama wakaribu yako

    Kwa mara nyingine mungu wetu ametupa nafasi hadimu na hadhimu katika hii Dunia, hatuna budi kumshukuru. Nikienda moja Kwa moja kwenye hoja yangu ya msingi. Kiukweli nimetafakari vya kutosha kuhusiana na hoja ya kuto kudai fidia pale inapptokea umeshtakiwa kimakosa,haijalishi itakuwa umeonewa...
  20. beth

    JamiiForums Tanzania Wakimbizi wa Rohingya wafungua mashtaka dhidi ya Facebook, wadai fidia ya Dola Bilioni 150

    Wakimbizi kadhaa wa Rohingya waliopo Uingereza na Marekani wamefungua Mashtaka dhidi Facebook ambao wanaushutumu kuruhusu maneno ya chuki dhidi yao kusambaa Wanadai Fidia ya Dola za Marekani Bilioni 150 wakisema Mitandao ya Kijamii ya Kampuni hiyo ilichochea ghasia dhidi yao. Pia Facebook...
Back
Top Bottom