Umesoma vizuri, mambo hayaendi maana yake akili imekungusha, sasa jaribu nguvu,
potelea porini, fyeka miti, lima kwa mkono wako, fuga, jenga hata kijumba cha nyasi, anzisha maisha huko bila kujihurumia,
potelea huko kwa miaka mitatu, minne, utaanza kuvuna mazao, ya mikono yako, pata pesa...