Ile kampuni pendwa ya USAFIRISHAJI nchini inapumulia Mashine baada ya Mama wa familia ambae alikua msimamizi Mkuu wa biashara kutangulia mbele ya Haki (RIP) Miaka kadhaa iliyopita.
1. Mabasi chakavu,
2. Hotel Korogwe, huduma mbovu,
3.Ofisi ya Kisutu kufungwa.
**Wazee wa Kichaga kwann...