This is a list of events held and scheduled by the Ultimate Fighting Championship (UFC), a mixed martial arts promotion based in the United States. UFC's first event, UFC 1, took place on November 12, 1993. Each UFC event contains several fights. Traditionally, every event starts off with a preliminary card followed by a main card, with the last fight being known as the main event.
Habari, Nahitaji kujifunza kuhusu kupamba kumbi za sherehe Kama zile za Maharusi etc.
1. Kwa Mwenye abcd kuhusu hii Biashara ya Mapambo anipe ushauri na changamoto zake .
2. Naomba anijuze pia sehemu wanayofundishwa hasa short course pia naomba aniambie nataka nikajifunze.
Nikiwa Rais katika mambo ambayo ntafanya ni kutengeneza miundombinu ambayo itarahisisha mega-events kufanyikia Tanzania
Mfano wa hizo mega-events ni kama
FIFA WORLD CUP- Maboresho makubwa sana yatafanyika kwenye viwanja vya kisasa na vile vya mazoezi
OLYMPIC-Huku miaka ya mbeleni tutahost...
Samia music festival
Samia comedy
Samia jogging
Samia kalamu awards
Samia nyama choma
Samia film awards
Samia cup
Samia media awards
Nimechoka kutaja...
Mpaka kufikia mwezi wa 10 walah wabilah kazi itakuwepo
Hello, JF Members,
Kama wewe ni shabiki mkubwa na number one die hard fan wa Hilary Swank na Alan Ritchson basi hii movie ya Ordinary Angels (Malaika wa Kawaida) sio ya kukosa.
Ordinary Angels, 2024 ni filamu yenye mguso wa kihisia, inayoelezea maisha ya Sharon (Hilary Swank), mwanamke jasiri...
1. Gara B achana na events za kujazana ujinga. Nyoosha kiingereza chako ingia dimba za kimataifa (level za Energy Summit).
2. Jifunze kwa moderators wa sessions za huu Mkutano. Kama kichwa si kizito, pambana platforms za kimataifa atatoboa.
In the times of AI, Times of Technology, Times of Hardships and Out of Touch Politicians, Times of Environmental Threats, Times of Disproportionate division of wealthy, Times of Unemployment and Poverty....; Times of when the World has So Much and Yet some People have so Little.
Yet we seem to...
JARIDA LA AFRICA EVENTS KUTOKA MAKTABA LIPO KATIKA KAVAZI LA DR. SALIM AHMED SALIM
Hiki kisa nimepata kukieleza siku za nyuma na hivi karibuni nilipokuwa naandika kuhusu uzinduzi wa Kavazi la Dr. Salim.
Mke wangu alikuwa katika Tume ya Warioba ya Katiba pamoja na Dr. Salim Ahmed Salim.
Siku...
Mwanariadha wa kimataifa, Gabriel Gerald Geay anogesha mashindano ya majaribio ya Uwanjani leo 8/7/2023 kwa kutoa zawadi ya pesa kwa baadhi ya wanariadha washindi na wenye muda mzuri kwa baadhi ya michezo hiyo.
Mashindano hayo yamefanyika kwa mara ya pili mfululizo na kushirikisha wanariadha...
December 25 2021 NASA kwa kushirikiana na shirika la anga la Canada na Ulaya wamerushe Telescope yenye thamani ya $10 Million yenye Tekinolojia ya hali ya juu sana kwenda kumulika anga za mbali na kutupa data za anga za Mbali kuona matukia ya Miaka 13 Billion iliyo pita.
Ina onesha kama upuuzi...
Wiki iliyopita nlikua kwenye sherehe ya harusi. Well wanaooana wote nawafahamu. Bi harusi nilimfahamu kupitia bwana harusi. Bwana harusi nlimfahamu kupitia mzee wangu. I was very happy kwa bi harusi maana najua namna anavompenda mumewe. Ila namhurumia pia maana najua ubazazi wa bwana harusi...
ENZI ZA AFRICA EVENTS
Msomaji wangu mmoja kaniandikia maneno hayo hapo chini baada ya kusoma makala yangu niliyomtaja Prof. Hamza Njozi:
"Makala ya Prof.Hamza Njozi katika jarida la Africa Events ilihusu nini?
Sikujua kama Prof.Njozi alikuwa akiandika katika Africa Events, ingependeza kama...
Lets put negativities pembeni tucheki kidogo positive side
Sisi ni watani toka long time sema tu utani unavuka mipaka kila moja anavutia kamba kwake na ndio hapo sasa it turns out to be a battle and many think we are enemies kumbe ni watani
Tulichinacho Tz - Ke i doubt kama kuna nchi nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.