Engineers, as practitioners of engineering, are professionals who invent, design, analyze, build and test machines, complex systems, structures, gadgets and materials to fulfill functional objectives and requirements while considering the limitations imposed by practicality, regulation, safety and cost. The word engineer (Latin ingeniator) is derived from the Latin words ingeniare ("to create, generate, contrive, devise") and ingenium ("cleverness"). The foundational qualifications of an engineer typically include a four-year bachelor's degree in an engineering discipline, or in some jurisdictions, a master's degree in an engineering discipline plus four to six years of peer-reviewed professional practice (culminating in a project report or thesis) and passage of engineering board examinations.
The work of engineers forms the link between scientific discoveries and their subsequent applications to human and business needs and quality of life.
Mange Kimambi, ambaye serikali kupitia Mwanasheria Mkuu ilisema ame "engineer" maandamano, amekataa maridhiano kwa kauli kali.
Kwa ushauri wangu, ujumbe wa serikali kuongea na Mange ujumuishe watu wenye heshma na credibility kutoka nje ya serikali. Uwe wa watu wasionuka damu. Hapo panaweza...
Join our TotalEnergies EP Tanzania subsidiary based in Dar-Es-Salaam!
The East African Crude Oil Pipeline (EACOP) is a major infrastructure project intended to transport crude oil from the oil fields of Uganda to the Tanzanian port of Tanga on the Indian Ocean for export.
We are looking for a...
Job Opportunity at Taifa Gas: Electrical and Instrumental Engineer (KTE)
Taifa Gas is seeking a qualified Electrical and Instrumental Engineer (KTE) to join our team at our Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania location. This role offers an opportunity to contribute to our operations with your...
Hakuna haja ya kuomba radhi—swali lako ni la msingi kabisa!
Tofauti ya gharama kati ya “hidden roofing” (paa lililofichwa) na paa la kawaida (linaloonekana) inategemea mambo kadhaa, lakini hapa kuna muhtasari wa tofauti kuu:
* Hidden Roofing (Paa lililofichwa)*
Faida za gharama:
Hupunguza...
Habari wakuu, Nina digrii ya uhandisi wa uchimbaji madini (BSc Mining Engineering).
Nina uzoefu katika;
-kufuatilia utendaji wa mitambo
-kuhakikisha usalama kazini
-Nina uelewa mzuri wa matumizi ya programu kama Surpac, Datamine, na AutoCAD
-Stadi za uchambuzi na uandaaji wa taarifa za kila...
Hizi stori ziko mtaani,kuwa injinia aliyepewaga kazi ya kusimamia uwanja wa mkapa alinyongwa,
Ni baada yakupiga hela fulani kwa kuchakachua BOQ.
Ndumbaro na Mwana FA na katibu mkuu wake wangekuwa China wasingeliona jua la kesho
TRA Tanzania
Matokeo ya Written Interview TRA Engineer II yanapaswa kupangwa kwa kada tano tofauti.
Mitihani ya usaili wa kuandika (Written Interview) kwa nafasi ya Engineer II ilikuwa tofauti kwa kila kada, lakini matokeo yake yamechanganywa.
Kwa mtazamo wangu, hali hii inaweza kusababisha...
Job Description
Project location : Dar es salaam
Nature of project : Substation
Responsibilities
Design and develop electrical substation layouts and specifications.
Perform engineering calculations for equipment sizing and system performance.
Oversee construction, installation, and...
Position: Electrical Engineer
Unit: Projects & Property
Reporting to: Project Engineer
Duty Station: Dar es Salaam
KEY JOB PURPOSE
The role is responsible for the design, implementation, and maintenance of electrical systems within various properties and projects. The role will ensure that all...
Habari wadau
Mimi kama mwanayanga usajili wa israel mwenda umeniumiza sana.
Mwanzo wa msimu tulikuwa tunawaza kutwaa ubingwa wa africa. ila engineer katugeuka mapema sana
Engineer amebadilika kama zuwena
Nawaza wale wa Brazil wa Esperence kweli ndio wakakabwe na israel mwenda.
Nawazaa...
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu...
Huyu Ni Mdogo wangu Mtoto wa Mjomba.
Alikiwa Injinia wa ujenzi akifanya kazi Nchini Kenya kwa miaka 10 sasa.
Akiwa huko alikuwa akilipia ada ya usajiri na leseni kama kawaida.
Sasa amerudi Nchini miezi miwili iliyopita. Kwa kuwa amepata kazi shirika lingine la kimataifa la Ujenzi ametakiwa...
We are looking for a software developer and a data engineer who can perform the following functions
*Design and implemented ETL pipelines for processing low-resource language data(Yoruba)
● Develop data cleaning and transformation scripts to prepare datasets for machine translation models
●...
Founded in 2006, One Acre Fund supplies 1 million smallholder farmers with the agricultural services they need to make their farms vastly more productive. Our 8,000+ team is drawn from diverse backgrounds and professions.
With operations across six core countries in Africa, we make farmers...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.