ebola

  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali yasema hakutakuwa na Public Participation kuhusu Ebola Facility: Je, Sauti ya Mwananchi inasikika?

    Health CS Aden Duale amesema kuwa serikali haitafanya public participation kuhusu mpango wa kuanzisha Ebola quarantine facility katika Laikipia Air Base, Nanyuki. Kulingana na CS, sheria za afya ya umma zinairuhusu serikali kuchukua hatua za haraka wakati wa tishio la afya bila kushauriana na...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Duale Defends Kenya's Ebola Preparedness Plan Amid Growing Public Concern

    Health Cabinet Secretary Aden Duale has sought to reassure Kenyans over the country's Ebola preparedness measures, insisting that isolation, quarantine, and treatment facilities being established across the country are not intended solely for foreign nationals. Appearing before Parliament...
  3. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania FALSE Museveni confirms 74 new ebola cases, closes down places of worship

  4. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Deputy RDC Warns School Administrators Against Overlooking Ebola Guideliness

    The Deputy Resident District Commissioner (RDC) for Mityana District, Prossy Mwanjuzi, has issued a stern warning to school administrators who fail to implement government directives aimed at preventing the spread of Ebola, saying those found neglecting the guidelines risk arrest and...
  5. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Kenya haipaswi kuwa “eneo la kuzuia virusi vya Ebola” kwa Marekani

    Mwezi Juni kwa kawaida huwa ni msimu wa baridi na wa kupendeza katika maeneo ya uwanda wa juu wa Afrika Mashariki. Lakini wakazi wa Nanyuki katikati mwa Kenya siku hizi wana hasira kubwa. Wamekusanyika katika malango ya Kituo cha Anga cha Laikipia, wakifanya maandamano ili kupinga kuanzishwa kwa...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Atetea Kituo cha Maandalizi ya Ebola Kinachofadhiliwa na Marekani Laikipia

    Rais William Ruto ametetea mpango wa ujenzi wa kituo cha maandalizi na kukabiliana na ugonjwa wa Ebola katika Kaunti ya Laikipia, akisema kuwa Kenya lazima iwe tayari kukabiliana na milipuko ya magonjwa hatari yanayoweza kutokea wakati wowote. Akizungumza baada ya sherehe za Madaraka Day...
  7. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KDF Soldier addresses protesters: 'Tumewaskia, na hatuko hapa kuumiza yeyote. Nyinyi ni watoto wetu, our brothers, mothers and sisters

    My take This is exactly how Security Forces should address Citizens, at least huyu anajitambua, and should be an example to others to follow, If the Tanzania Police had used this kind of peaceful approach during the October 29, 2025 demonstrations, the country could have avoided losing so...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NANYUKI YACHEMKA! Residents Protest Proposed Ebola Quarantine Facility

    Nanyuki town imekuwa hot spot leo after hundreds of residents and youth groups took to the streets kupinga plans za serikali za kuweka Ebola quarantine facility ndani ya Laikipia Air Base. Waandamanaji walitembea katika mji wakibeba placards na chanting slogans, wakisema wana hofu kuwa facility...
  9. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Ugandans push back against Ebola report linking country DRC

    Ugandans have expressed concern over international media reports that combined the country's Ebola figures with those of the Democratic Republic of Congo (DRC), arguing that the reporting risks damaging Uganda's tourism sector and undermining confidence in the country's public health response...
  10. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Health CS Aden Duale Summoned By National Assembly Committee On Health Over Ebola Agreement

    Health CS Aden Duale has been summoned by the National Assembly Departmental Committee on Health to explain the reported agreement between Kenya and the US on quarantining Americans exposed to the Ebola. Duale is expected to appear before the committee on Tuesday, June 2, alongside senior...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya, Ebola Deal Sparks Anger as Kenyans Question Why Their Country Should Carry the Risk

    A photo circulating online has ignited heated debate among Kenyans after reports emerged that the United States is supporting the establishment of Ebola containment facilities in Kenya as part of efforts to prevent the deadly virus from reaching American soil. What has angered many wananchi is...
  12. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USA Government Deploys Ebola Specialists To Kenya

    The U.S. Public Health Service Commissioned Corps is deploying a team of highly trained officers to Kenya to support the care, monitoring, and quarantine of American citizens departing the Democratic Republic of the Congo as part of a coordinated interagency effort with the State Department and...
  13. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Wakenya wakipokea wagonjwa wa ebola kutokea Marekani katika uwanja wa ndege wa Jomo kenyata

    Kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mtandao wa Instagram likidai kuwaonyesha baadhi ya raia wa Kenya wakiwapokea wageni wanaodhaniwa kuwa na ugonjwa wa Ebola. Katika chapisho hilo imeomekana kuwa na jumbe ufuatao” Marekani itaipatia Kenya USD milioni 13.5 [TZS bilioni 35.5] kwa...
  14. Chachu Ombara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Reports Confirm U.S. Ebola Specialists En Route to Kenya Despite Court Order

    The United States Public Health Service Commissioned Corps has announced that it is deploying a specialised Ebola response team to Kenya to support the care, monitoring and quarantine of American citizens returning from the Democratic Republic of the Congo (DRC) amid a court suspension. In a...
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania LSK President Charles Kanjama Opposes Proposed US Ebola Treatment Centre in Kenya

    Law Society of Kenya (LSK) President Charles Kanjama has called on Kenyans to reject a reported proposal by the United States to establish an Ebola treatment centre in the country. Speaking amid growing public debate, Kanjama questioned the transparency and public participation surrounding the...
  16. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania DR Congo yaiomba FIFA kurejesha Fedha za Tiketi za Kombe la Dunia 2026 kutokana na Vikwazo vya Ebola vilivyowekwa na Marekani

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeiomba FIFA kurejesha pesa za tiketi za Kombe la Dunia la 2026 zilizonunuliwa na mashabiki ambao sasa hawawezi kusafiri kwenda Marekani kutokana na vikwazo vya usafiri vinavyohusiana na ugonjwa wa Ebola. Ombi hili linakuja wakati taifa hilo la Afrika ya...
  17. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Kutengwa Kama Ebola Quarantine Hub ya Marekani

    Nchi ya Kenya sasa imeingia kwa mjadala mkubwa baada ya serikali ya Marekani chini ya rais Donald Trump kupendekeza Kenya iwe quarantine na treatment hub ya watu wa Marekani waliopatikana ama kushukiwa kuwa na Ebola. Mpango huo ukipita, Wamarekani waliotoka maeneo kama Democratic Republic of...
  18. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Health Ministry Suspends Concerts, Rallies Amid Rising Ebola Fears

    Health Ministry Suspends Concerts, Public Rallies Over Ebola Concerns The Ministry of Health has announced tougher restrictions on public gatherings as Uganda intensifies efforts to prevent the spread of Ebola following confirmed cases linked to the outbreak in eastern Democratic Republic of...
  19. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda Implements Temporary Border Closure with DRC Amid Escalating Ebola Outbreak

    Permanent Secretary, Dr Diana Atwine. Uganda’s Ministry of Health has announced a temporary closure of the country’s border with the Democratic Republic of Congo (DRC) in response to the ongoing Ebola Virus Disease (EVD) outbreak in the neighboring country and associated cross-border...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Huku Hormuz, Kule Ebola, huku Vikwazo vya Marekani, CCM hawata tawala nchi

    Ni kosa kubwa kuua wananchi wako kisa madaraka, hawatalisaidia Jeshi na taasisi zingine wakati wa majanga... CCM walijijengea tabia mbaya kutosikiliza ushauri watu, sasa wajiandae kutengwa
Back
Top Bottom