Hivi duniani kuna starehe kama hii?

Hivi duniani kuna starehe kama hii?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
8,235
Reaction score
16,513
Upo zako mahali, unakunywa pombe Kali na vichanganyo vya baridi, wakati huo nnje huko Kuna jua Kali sana linawaka 🔥🔥

Wakati unakula vimiminika wanapita walimbwende wewe kazi Yako ni kuwapiga makofi ya 🍑

Oyaaa ndio maana CCM wanakuwa wabishi kutoka mana kama Mimi naenjoy hivi hao wakina sigwa boy inakuaje?? Ni sawa na kumtoa mwanaume anae 💦 kitawaka

20260727_140913.jpg
 
Mshahara ukishaingia ndiyo tabia zako. Baada ya siku mbili hao mademu huwapati tena unaishia kupiga nyeto pale ofisini kwenye korido.
😂😂😂😂 Kuajiriwa niliacha kazi 2016, tena ni baada ya kuona ninachowaza na kazi nnayofanya haviendani, nshaacha kazi 3, Mimi mshahara wangu nauhesabu sa 5 na dk 45 usku, hata kama ni buku ten fresh tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom