Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) afariki dunia
Thursday January 21 2021
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Manyara, Martha Umbulla amefariki dunia Januari 21, 2021 katika Hospitali ya HCG Mumbai, India alikokuwa akipatiwa matibabu.
Martha Jachi Umbulla (amezaliwa 10 Novemba 1955) ni mwanasiasa...