Dunia ingeamua kuwasaidia walemavu, watu hawa wasingekuwa na shida

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,960
Hiv ushawai jiukiza sku1 hawa walemavu tunaowapita barabarani kila siku wanaish maisha gani? Kula, kunywa, mavazi, afya nakadhalika.

Unakuta mtu barabaran anaomba hana mikono, miguu; anaendeshwa kwenye wheelchair.

Wapo walemavu wa aina nying ila kuna wale extreme yani. Hiv kweli serikali, well ngoja nitupe lawama kwa serikal maana sote tunachanga pesa zinaingia huko.

Hiv kwel serikal inashindwa kusanya hawa walemavu ambao ni extreme yaan hawajiwez kabisa wale. Wawajengee nyumba waish huko. Kama kuna pesa za tasaf tena zingne zinapigwa. Hivi hawa watu ukihesab idad yao. Sidhan kama wanafika lak1 nchi nzima. Hivi serikal kwel imashindwa weka fungu fulan kwa ajili ya kuwahudumia hawa watu.

Hivi kweli, mbona mapesa meng sana yanapigwa jamani.

Okay, tuachane na serikali. Hivi mbona watu tunafanya masherehe makubwa tunachanga mapesa tunafanya kufuru Kidimbwi nin na nin. Hiiv ushawai waza kilema asie na mikono miguu hana ndugu anaishije

Kijana tu mzima mwenye afya yake anamaliza chuo hana ajira ana haha mpaka wengne wanajiua yaan anakosa had pesa ya kula. Imagine hawa jamaa walemavu wanaishije.

Dah! Naamin kama dunia tungeamua kuwahudumia hawa na kwel kama tungekua na iman hiz tulizonazo tunazonafkiana nazo, makanisan miskitin etc awa watu wasingeish kwa shida

Wanadam tuna roho mbaya sanaaaaaa

Uzi tayar.
 
Wazo zuri hili cha msingi kila mtu apambane na kiongozi wake ngazi ya kata Au Jimbo na mwisho wa siku litawafikia wizara husika na kuweza kuwasaidia hawa ndugu zetu.Haiwezekana watu wazipge tu Pesa za serikali haliyakuwa kuna wadau wanauhitaji wa hizo pesa tena sana .
 
Acha wapambane na hali zao, usihurumie kiumbe usichokizaa, ulishawahi kujiuliza kwanini binadamu wanawachinja wanyama na kuwala wakati ni viumbe wenzao, au ulishawahi kujiuliza viumbe vingine vina mawazo gani juu yako.

Namaanisha kila mtu anajua namna ya kuishi kulingana na alivyo! wewe u mzima lakini pia na wao ni wazima japo unawaona kama walemavu. (Sidhani kama umenielewa)

mfano; Mwehu akikuona wewe atadhani wewe ndiye mwehu, pia wewe ukimuona mwehu huyohuyo utamchukulia kama mwehu. Pengine wewe ndio mwehu kwa wehu wengine ( Nazungumzia difference)

walemavu pia wana uwezo wa kufanya vitu na kujipatia kipato na kuwa matajiri wakubwa mfano; mabondia, wafanyakazi wa serikali na ajira mbalimbali zinazowahusu, usifikirie kuwachukua, kuwatenga na kuwahudumia, ni makosa ( all human beings are equal) .
Wachache mtanielewa.
 
Acha wapambane na hali zao, usihurumie kiumbe usichokizaa, ulishawahi kujiuliza kwanini binadamu wanawachinja wanyama na kuwala wakati ni viumbe wenzao, au ulishawahi kujiuliza viumbe vingine vina mawazo gani juu yako.

Namaanisha kila mtu anajua namna ya kuishi kulingana na alivyo! wewe u mzima lakini pia na wao ni wazima japo unawaona kama walemavu. (Sidhani kama umenielewa)

mfano; Mwehu akikuona wewe atadhani wewe ndiye mwehu, pia wewe ukimuona mwehu huyohuyo utamchukulia kama mwehu. Pengine wewe ndio mwehu kwa wehu wengine ( Nazungumzia difference)

walemavu pia wana uwezo wa kufanya vitu na kujipatia kipato na kuwa matajiri wakubwa mfano; mabondia, wafanyakazi wa serikali na ajira mbalimbali zinazowahusu, usifikirie kuwachukua, kuwatenga na kuwahudumia, ni makosa ( all human beings are equal) .
Wachache mtanielewa.
Kama ambapo hujanielewa mim namim sijakuelewa pia...mifano yako sio relevant...mtu ambae ni half human unasema ni sawa nawew uliye mzima..."kwa muktadha wako"

Na ndio maana jamii ikawaita walemavu..jamii sio wajinga...waZungu wanaita disability..nadhan inamana kubwa kuliko yetu ya swahili.
 
Acha wapambane na hali zao, usihurumie kiumbe usichokizaa, ulishawahi kujiuliza kwanini binadamu wanawachinja wanyama na kuwala wakati ni viumbe wenzao, au ulishawahi kujiuliza viumbe vingine vina mawazo gani juu yako.

Namaanisha kila mtu anajua namna ya kuishi kulingana na alivyo! wewe u mzima lakini pia na wao ni wazima japo unawaona kama walemavu. (Sidhani kama umenielewa)

mfano; Mwehu akikuona wewe atadhani wewe ndiye mwehu, pia wewe ukimuona mwehu huyohuyo utamchukulia kama mwehu. Pengine wewe ndio mwehu kwa wehu wengine ( Nazungumzia difference)

walemavu pia wana uwezo wa kufanya vitu na kujipatia kipato na kuwa matajiri wakubwa mfano; mabondia, wafanyakazi wa serikali na ajira mbalimbali zinazowahusu, usifikirie kuwachukua, kuwatenga na kuwahudumia, ni makosa ( all human beings are equal) .
Wachache mtanielewa.

Hizi ndio aina za fikra zilizotufikisha hapa tulipo.

Binadamu tumekua viumbe wabinafsi sana. Wataalamu wanakuambia hapa duniani kuna utajiri wa kutosha kuwafanya watu wote waishi maisha decent. Lakini 1% tu ya wanadamu wanamiliki karibu 99% ya utajiri wote. Watu wame focus kwenye kujilimbikizia mali ambazo mwisho wa siku wala hawana cha kuzifanyia wanakufa wanaziacha.

Huku kila siku iendayo kwa Mungu watu 25,000 wanakufa kwa njaa duniani ikiwemo watoto zaidi ya 10,000. Halafu wewe unakuja hapa unasema tuwaache wapambane na hali zao. Una maanisha hao watoto 10,000 wanaokufa kwa njaa kila siku wana hali gani za kupambana nazo kama jamii isipojitolea kuwasaidia?

Angalia kiasi cha pesa watu wanazotumia kila siku kwenye starehe, pombe, umalaya, sherehe na anasa mbalimbali nk. Wakati huo kuna binadamu wenzetu hawajui hata mlo ujao wataupata lini! Na wengi wanaostarehe unakuta kwa namna moja au nyingine wamewaibia wale wanaotaabika!

Lakini ndio akili zetu binadamu zilipoishia, pengine makosa yapo kwa alietuumba na kutupa aina hii ya akili.
 
Kama ambapo hujanielewa mim namim sijakuelewa pia...mifano yako sio relevant...mtu ambae ni half human unasema ni sawa nawew uliye mzima..."kwa muktadha wako"
Na ndio maana jamii ikawaita walemavu..jamii sio wajinga...waZungu wanaita disability..nadhan inamana kubwa kuliko yetu ya swahili.
Tuliza akili yakoRudia kusoma tena utaelewa main point yangu ni ipi
 
Kama ambapo hujanielewa mim namim sijakuelewa pia...mifano yako sio relevant...mtu ambae ni half human unasema ni sawa nawew uliye mzima..."kwa muktadha wako"
Na ndio maana jamii ikawaita walemavu..jamii sio wajinga...waZungu wanaita disability..nadhan inamana kubwa kuliko yetu ya swahili.
Kwahiyo ulitaka tuwafanyaje?

Tuwapeleke makwetu?
 
Kama serikali ikija kusema huduma bure kwa walemavu tegemea wengi ya wenye maisha magumu kujikata viungo vyao nao kuwa walemavu.

Lunatic
 
Back
Top Bottom