Sijui tu viumbe au binadamu wa sasa shida nini, dunia imekuwa ya matukio ya ovyo Kila siku, maadili ni shida kwa Kila upande, siyo Rika au umri au cheo, tuombe tu Mungu maana familia zimejaa shida za malumbano, ubabe na majigambo.
Mungu atupe tu upendo na tuiombee dunia irudi kwenye maadili...