Habari wanajamvi,
Kama headline inavyojieleza:
Leseni ya udereva ya
SAIDI ATHUMANI MCHEVU
Yenye namba 4000421056
Yenye madaraja A, A2 , B, D, E
Imeokotwa maeneo ya Zakhiem, karibu na kampuni ya SINO HYDRO inayojenga barabara ya mabasi ya mwendokasi BRT PHASE II.
Kwa yeyote anayemfahamu...
Kampuni ya Apple ina mpango wa kuingia ubia na Kampuni ya Hyundai ya South Korea. Kuanza kutengeneza magari ya umeme yanayojiendesha bila dereva.
Lakini Apple pia bado ipo kwenye mazungumzo na makampuni mengine ya magari jinsi inaweza kuingia ubia nao!
Hii ni big blow kwa kampuni kubwa ya...
Husika na title hapo juu hivi kwa nini shule za udereva wale walimu wasiwe ma trafic (vihicle) maana kuna pamoja na shule kuwa nyingi kila kona lakini bado kuna ajali zinatokea kwa uzembe kabisa na bado unakuta dereva alisomea u driving shule kabisa.
Hii itasaidia angalau uelewa zaidi kwa...
I was a fan of one of these Dar Es Salaam local Radio stations especially listening on my way to the office each morning, But of recent I found my self loosing test in all these redios, Am not sure if its the 100s of adverts aired or what.
Nowadays if am not in a mood to listen to music in my...
Naomba kujua zaidi juu ya wapi napata driving school hapa dodoma na jezi gharama zipo je?
Je, naweza kupata ata kujifunza kwa minimum time ya 2 weeks?
Nisaidieni
Baadhi ya huduma zetu ni darasa lakufuatwa na kufundishiwa ulipo, mafunzo ya mtu mmoja mmoja kwenye gari na mwalimu wake, mafunzo ya jumamosi na jumapili kwa wasio na mda siku za kazi
Tupo wazi kuanzia saa 12:30 asubuhi mpaka saa 12:00 jioni kila siku
Waweza wasiliana nasi kwa 0757930779
Au...
UDEREVA WA KUJIHAMI
KUTOKA HOME OF EXCELLENCE DRIVING SCHOOL
Imeandikwa na Mr. Manala Tabu Mbumba, Mhadhiri Msaidizi na Mshauri wa Magari-Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT)
Home of Excellence Driving School inatoa huduma bora kabisa za udereva pamoja na kusaidia upatikanaji wa leseni kwa...
Baada ya kuona ndege imeachiwa mabeberu wametoa hii 👇...
KWA UFUPI NI...
Rais wa Tanzania John Magufuli anaendelea kuiongoza nchi yake mbali na utawala bora, demokrasia na haki za binadamu.
Hatua yake ya hivi karibuni ilikuwa kuondoa tamko la Tanzania likiruhusu Mtanzania mmoja mmoja...
Hi,
I am eager to get my driving license in Tanzania, however I am 16 years old. The Tanzanian law book says 16 years of age for motorbikes. Even the TRA website says 16 years of age for motorbike. However, when I contacted TRA, they said you are required to be 18.
What is the correct driving...
Hi,
I am eager to get my driving license in Tanzania, however I am 16 years old. The Tanzanian law book says 16 years of age for motorbikes. Even the TRA website says 16 years of age for motorbike. However, when I contacted TRA, they said you are required to be 18.
What is the correct driving...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.