Hivi ni kwanini Walimu wa 'Driving Schools' wasiwe ni Askari wa Usalama Barabarani?

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,795
Husika na title hapo juu hivi kwa nini shule za udereva wale walimu wasiwe ma trafic (vihicle) maana kuna pamoja na shule kuwa nyingi kila kona lakini bado kuna ajali zinatokea kwa uzembe kabisa na bado unakuta dereva alisomea u driving shule kabisa.

Hii itasaidia angalau uelewa zaidi kwa mwanafunzi maana kuna shule nyingine hata hao walimu sheria/alama hata wao hawazijui. Kingine ingezaidia hata dereva akimaliza kozi yake anapewa tuu leseni bila kusumbuka tena kwenda kwa vehicle kutestiwa ili apewe leseni, hii itaondoa huo usumbufu.

Ni hayo tuu maoni yangu au nyie mnaonaje wadau.
 
Polisi kazi yao kukukagua na kuidhinisha upewe leseni. Nenda kajifunze kokote unakojua wewe.
 
Ukajifunze gari popote ukitaka leseni wakakugua na kuthibitisha ili upate
Ilitakiwa huko huko shule ndio wawepo ili kurahisisha kupata hiyo leseni maana inaletaga usumbufu sana hadi uende tena wa vihicle sasa uhonge tena
 
Husika na title hapo juu hivi kwa nini shule za udereva wale walimu wasiwe ma trafic (vihicle) maana kuna pamoja na shule kuwa nyingi kila kona lakini bado kuna ajali zinatokea kwa uzembe kabisa na bado unakuta dereva alisomea u driving shule kabisa.

Hii itasaidia angalau uelewa zaidi kwa mwanafunzi maana kuna shule nyingine hata hao walimu sheria/alama hata wao hawazijui. Kingine ingezaidia hata dereva akimaliza kozi yake anapewa tuu leseni bila kusumbuka tena kwenda kwa vehicle kutestiwa ili apewe leseni, hii itaondoa huo usumbufu.

Ni hayo tuu maoni yangu au nyie mnaonaje wadau.
Umetaja vitu viwili.alama za barabarani na kuendesha gari.nadhani hata trafiki mwenyewe huwa anakwenda driving school akinunua gari
 
Polisi kazi yao kukukagua na kuidhinisha upewe leseni. Nenda kajifunze kokote unakojua wewe.
kokote, leseni wanataka cheti cha Driving school.

Lumumba driving school iliyopo kariakoo lumumba ina madereva wazuri sana, yaani wacha kabisa
 
Husika na title hapo juu hivi kwa nini shule za udereva wale walimu wasiwe ma trafic (vihicle) maana kuna pamoja na shule kuwa nyingi kila kona lakini bado kuna ajali zinatokea kwa uzembe kabisa na bado unakuta dereva alisomea u driving shule kabisa.

Hii itasaidia angalau uelewa zaidi kwa mwanafunzi maana kuna shule nyingine hata hao walimu sheria/alama hata wao hawazijui. Kingine ingezaidia hata dereva akimaliza kozi yake anapewa tuu leseni bila kusumbuka tena kwenda kwa vehicle kutestiwa ili apewe leseni, hii itaondoa huo usumbufu.

Ni hayo tuu maoni yangu au nyie mnaonaje wadau.
Nikuuliza kwanini wasiwe walimu wa Ufundi magari wa VETA utajibu nini? Maana magari yanaharibika sana kwa madereva wasio jua utunzaji wa magari na hivyo kuyaharibu
 
kokote, leseni wanataka cheti cha Driving school.

Lumumba driving school iliyopo kariakoo lumumba ina madereva wazuri sana, yaani wacha kabisa
Kwani wewe kokote unaelewaje?

Naona umeleta tangazo. Enhe, gharama zikoje nikuletee wanafunzi?
 
Nafikiri hao waalimu wafundishwe na kupewa vyeti na kitengo cha askari /usalama wa barabarani.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwa askari sizani,

Naona bora jukumu hilo liwe chini ya Chuo cha usafirishaji (NIT) au VETA .
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kuna muda huwa wanatoa kozi zao za udereva reflesher wiki moja wanatoa na vyeti kabisa. muda waliokuja eneo nililopo ilikua dereva wapikipiki baada yakumaliza hiyo kozi unapata nacheti kwagharama ya shikingi elf 40 upande wamadereva wamagari gharama zacheti sikumbuki ilikua shngap
 
Back
Top Bottom