Marekani imeipatia Uganda dozi 647,080 za chanjo ya corona ya Moderna, ambapo dozi hizo zimefika Uganda Jumatatu, Septemba 7
Hadi kufikia Agosti 30, watu 1.37 alipokea chanjo ya Astrazeneca na Sinovac ambapo watu 399,097 wamepata dozi kamili
Uganda ina malengo ya kuwachoma chanjo watu millioni...