Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,803
- 4,463
Itilima yamaliza dozi za corona ilizopewa.
Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, imefanikiwa kumaliza dozi zote za chanjo 3,320 za Covid -19 ambazo ilipewa na Serikali kwa ajili ya kuwachanga wananchi wa wilaya hiyo ili kujikinga na ugonjwa huo.
Mkuu wa Wilaya hiyo, Faidha Salim amethibitisha hayo leo Jumatatu Oktoba 4, huku akieleza kuwa walitumia mbinu ya kutoa elimu kwa makundi hasa Waganga wa tiba asili ambao wamekuwa wakiaminika zaidi kwa wananchi wa wilaya hiyo.
Nini maoni yako unafikiri mbinu hii inapaswa kuigwa na maeneo mengine?
Credit: Mtanzania
Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, imefanikiwa kumaliza dozi zote za chanjo 3,320 za Covid -19 ambazo ilipewa na Serikali kwa ajili ya kuwachanga wananchi wa wilaya hiyo ili kujikinga na ugonjwa huo.
Mkuu wa Wilaya hiyo, Faidha Salim amethibitisha hayo leo Jumatatu Oktoba 4, huku akieleza kuwa walitumia mbinu ya kutoa elimu kwa makundi hasa Waganga wa tiba asili ambao wamekuwa wakiaminika zaidi kwa wananchi wa wilaya hiyo.
Nini maoni yako unafikiri mbinu hii inapaswa kuigwa na maeneo mengine?
Credit: Mtanzania