dini

  1. H

    Wanaoua Asili ya Mwafrika ni wasomi na wafia dini za kuja wa kiafrika!!

    Habarini, Wasomi na wafia dini za kuja wa kiafrika ni watu wanaotumia nafasi zao kuharibu ASILI YA MWAFRIKA kwa kukumbatia na kuamini kilichoandikwa kwenye biblia na quruan pasipo kutafakari na kupembua kama vilivyoandikwa ndani ni kweli uongo ktk vitabu walivyoletewa na kulisha ujinga uliomo...
  2. JanguKamaJangu

    Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu Mkoani Tanga waswali Swala ya Eid el Fitr

    Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wanaofuata mwezi mwandamo wa kimataifa, leo Jumapili Machi 30, 2025, wameswali Swala ya Eid el Fitr, baada ya kuhitimisha siku 29 za mfungo wa Ramadhan. Pichani baadhi ya waumini hao wakiwa katika Uwanja wa Ramole jijini Tanga wakihudhuria swala hiyo leo...
  3. Mhaya

    Mdau anahoji "kwanini Vitabu vya dini vimetafsiriwa kila lugha, lakini sio vitabu vya maarifa ya dunia"

    Mdau ahoji imekuwaje watu wamefanikiwa kutafsiri vitabu vya dini kuja kwenye lugha mbalimbali hili kila mtu allowe, lakini vitabu vya maarifa ya dunia kama Vya kijeshi, kiuchumi, kimatibabu, kisayansi na viinginevyo vyenye kumsaidia mwanadamu kuishi na mazingira havijatafsiriwa, yani vimebaki...
  4. Deejay nasmile

    Zawadi ya Jumapili! Sikiliza na download playlist hii ya nyimbo za dini

    huyu kuna nyimbo kama vile picha ya mama -bahati bukuku nina siri-israel moyo wangu-rose muhando kunyata nyata- christina shusho-ningare martha mwiaapaya godluck gozbet joel n.k https://hearthis.at/ignas-ndimbo/dvj-nasmiletz-gospal-vol-4-nina-siripicha-ya-mamaherikijitonyamamartha-mwaipayamgendi/
  5. H

    Dini Asilia za Kiafrika

    Dini asilia za Kiafrika ni kati ya dini za jadi ambazo zinadumu hata leo, ingawa wafuasi wake walipungua mwaka hadi mwaka kulingana na dini zilizotokea Mashariki ya Kati, hasa Ukristo na Uislamu, ambazo zilienea Afrika, bara kubwa lenye jamii na tamaduni nyingi ila kwa sasa Dini za Asili za...
  6. The redemeer

    Wengi hawajui siri zilizopo ndani ya vitabu hivi vya dini, yaani Biblia, Quran na Tanakh

    Niongee machache kuhusu vitabu vya dini. Tuna dini kubwa tatu maarufu duniani ambazo ni Ukristo (Christianity), Uislamu (Islamic) na Uyahudi (Judaism) Dini hizo zote zina vitabu vyake vitakatifu. Biblia Takatifu kwa Wakristo, Quran Tukufu kwa Waislamu na Tanakh kwa Wayahudi. Tanakh ni Biblia...
  7. M

    Dini na uchawi ni Simba na Yanga, Mungu na shetani ni Tom and Jerry

    Dini na uchawi ni Simba na Yanga, Mungu na shetani ni Tom and Jerry. mmojawapo akiwa hayupo mwingine nae anakufa. na movie inaisha
  8. A

    Kesi Dhidi ya Dini: Mtazamo wa Kiakili

    1. Uvumbuzi wa Dini na Wanadamu Dini imekuwepo kwa maelfu ya miaka, lakini hakuna dini moja ambayo imewahi kutawala imani za wanadamu wote kwa ujumla. Kila jamii imeunda miungu, hadithi, na maandiko yake matakatifu, jambo linaloonyesha kuwa dini ni uvumbuzi wa binadamu badala ya ukweli wa...
  9. Dr Matola PhD

    Nimefikia Conclusion Kanisa Katoliki ni waungwana, na wavumilivu, dini zote zina ibada za sanamu ukiwemo Uislamu

    Hili kanisa katoliki lipewe mauwa yake, unajuwa utandawazi unakuja na mengi sana na kuyafahamu hata yaliyojificha. Kwa muda mrefu Kanisa katoliki limekuwa likishambuliwa na madhehebu mengine ya kikristo hasa Wasabato na waislamu kwamba wanaabudu sanamu, kumbe hizi rituals zinafanywa na dini...
  10. Ojuolegbha

    PreGE2025 Rais Samia Suluhu Hassan akijumuika na Viongozi wa Siasa, Serikali, dini na makundi maalum kwenye Iftar

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na Viongozi wa Siasa, Serikali, dini na makundi maalum kwenye Iftar aliyowaandalia katika viwanja vya kufurahisha watoto vya Tibirinzi, Wilaya ya Chake chake mkoa wa Kusini Pemba, Zanzibar tarehe 24 Machi, 2025...
  11. upupu255

    PreGE2025 Viongozi wa dini watoa elimu ya Uraia kuhamasisha ushiriki wa Uchaguzi 2025

    Viongozi wa dini Tanzania wamefanya semina elekezi kwa viongozi wa dini mbalimbali pamoja na wananchi kuhusu Elimu ya Uraia nchini Tanzania. Akizungumza na vyombo vya habari Padri Charles Kitima ambaye ni Katibu Mkuu TEC amesema lengo kuu la semina hiyo ni kuwapa elimu wananchi hasa kipindi...
  12. Influenza

    BoT: Zanzibar yaanzisha Hati Fungani Isiyokuwa na Riba, inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu

    Zanzibar Yaanzisha Hati Fungani Isiyokuwa na Riba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefungua dirisha la uwekezaji katika hati fungani inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu, Zanzibar Sukuk, ambayo inalenga kusaidia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo visiwani humo. Akizungumza...
  13. ELI COHEN

    Namkubali sana huyu jamaa anaeitwa "Imam of Peace". Ni mtu ambae ana hamasisha itikadi kali isiendane respectively na dini ya kiheshima ya Kiislam

    Hapa ilikuwa ana expose utapeli wa khomenei mtu ambae anatumia uislam kuhamasisha machafuko. Katika historia tunakumbushwa kuwa jinsi waislam walivyokuwa wanafanyiwa machafuko, mohameed, aliwaambia wakimbilie katika ufalme wa kikristo uliokuwa ethiopia na walipokelewa vizuri Kuwa muislam...
  14. Setfree

    Onyo kali kwa wanaozisema vibaya dini za wengine

    Kuisema vibaya dini ya jirani yako kunaweza kuleta madhara makubwa, sio tu kwa yule anayehusika na dini hiyo, bali pia kwa jamii na hata kwa mzungumzaji mwenyewe. Madhara hayo ni pamoja na kuchochea uhasama na migogoro. Maneno mabaya kuhusu dini ya mtu mwingine yanaweza kusababisha chuki na...
  15. David Harvey

    Bora kuoa wa dini yako,mchana wa leo nimenyimwa mzigo

    Kazi zangu za chaka natumia nguvu nyingi sana lazima nile tena nipate msosi wa kutosha usiniulize mambo ya kwaresma. Wife ni wa dini ya upande wa pili ,mwezi mzima sipo nyumbani leo nimerudi nataka nipunguze uzito yeye hataki anasema yupo kwenye thwaumuuuu. Daaah inauma sana chakula unakiona...
  16. hamis77

    Dini ni utapeli mkubwa

    TOFAUTI KATI YA DINI NA WOKOVU Watu wengi wamefungwa na dini wakiamini kuwa ndio njia ya kufika mbinguni, lakini hawajagundua kuwa dini na wokovu ni vitu viwili tofauti. Yesu alipokuwa duniani, alishindana sana na viongozi wa dini kama Masadukayo na Mafarisayo kwa sababu walitumia dini kama...
  17. tpaul

    Ni kwanini mafundisho ya viongozi wa dini yamejikita zaidi kwenye ngono?

    Takwimu zinathibitisha na ukweli unajidhihirisha wazi na kila mahali. Sina shaka hata wewe mwanaJF unayesoma munakasha huu umewahi kusililiza clips za viongozi wa dini ambazo nyingi zinahusu masuala ya ngono na kujamiiana. Hebu pia msikilize na huyu kiongozi wa dini jinsi mafundisho yake...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    Maisha baada ya kifo, dini, filosofia na sayansi vinasemaje?

    Swali kuhusu "maisha baada ya kifo" ni swali la kifalsafa na kidini ambalo limekuwa likijadiliwa kwa karne nyingi. Jibu linategemea sana imani na msimamo wa kila mtu. Hapa kuna baadhi ya mitazamo kuu: 1. Dini za Kikristo: Zinasisitiza kuwa kuna maisha baada ya kifo, ambapo watu wanaweza kuishi...
  19. aise

    Mtazamo walionao watu wa Dini juu ya watu wasioamini uwepo wa Mungu

    Kuna mtazamo potofu wanao watu wa dini, wanaamini mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu basi ni mtenda maovu, hana maadili n.k Mtazamo huu ni potofu. Maadili ya mtu hayaamuliwi na imani yake ya kidini, bali misingi yake ya utu, malezi na jamii inayomzunguka. Kuna sehemu tulikuwa tunafanya kazi...
Back
Top Bottom