Viongozi wa Chama na Serikali wakiendelea na kauli hizi za kishetani tutawaka wafanye yafuatayo:-
1. Waagize kwenye ibada kusiwepo na kuwaombea viongozi wa Serikali sababu ni kuchanganya DINI na SIASA.
2. Serikali wanapofanya mikutano, vikao, sherehe wasialike viongozi wa DINI kwa ajili ya...
Niwashukuru sana Kwa dhati Viongozi wote wa DINI ambao wameamua kutoka hadharani na kusema juu ya HAKI.
Kwa Tanzania ,HAKI imegeuka kua Chozi la Samaki.
Mwaka 2020 , nilinyimwa HAKI ya kuchagua baada ya MTU Kupitishwa bila Kupingwa, iliniuma sana sana !!.
Mandhari ya kidini Nchini Tanzania inatawaliwa na Ukristo (takriban 55-63% ya idadi ya watu) na Uislamu (31-34%), huku vikundi vidogo vikifuata Dini za jadi za Kiafrika (1-11%), na dini nyingine kama Uhindu, Ubuddha, Usikh, na Baha’i (chini ya 1% kila moja). Zanzibar ni tofauti, ambapo 99% ya...
Viongozi wa Dini kutoka madhehebu mbalimbali mkoani Arusha leo wameungana katika ibada maalum ya Ijumaa Kuu kumuombea Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, kwa ajili ya uongozi wake na ustawi wa Mkoa wa Arusha.
Ibada hiyo ya Pasaka – Ijumaa Kuu imefanyika katika viwanja vya...
Mwanafalsafa wa Amerika na Profesa Noam Chomsky, akiwa na umri wa miaka 95 anagundus:-
Katika maisha ya Wafia dini wa Kiafrika zipo tafakari zenye nguvu ili kuachana na fikira za kiti cha enzi cha maneno dhana ambayo inatakiwa iwekwe wazi juu ya mifumo ya ulimwengu, ni pamoja na:-
"Hakuna nchi...
Kama dini ni muongozo wa haki na maadili katika jamii inakuajae nchi zenye kiwango kikubwa cha raia na viongozi washika dini ndizo zinazoongoza kwa uvinjifu wa haki za watu, rushwa na ufisadi !
Ni wazi pasi na shaka kwamba dini haichangii kwa namna yoyote kustaarabika au kustaarabisha jamii.
Uislamu ni dini ya haki na ya amani iliyoletwa na Mwenyezi Mungu kupitia Mtume Muhammad (SAW) kwa ajili ya wanadamu wote. Neno "Uislamu" linatokana na neno la Kiarabu "Islam", ambalo maana yake ni kujisalimu, kutii, na kuishi kwa amani kwa kumtii Mwenyezi Mungu.
Mambo ya Msingi katika Uislamu...
Sasa hivi watu wanamuacha Mungu, wanabishana kuhusu dini ya kweli.
Kuishi Mungu anavyotaka ni rahisi sana, fuata amri 10 alizotupatia Musa hapo utaishi vizuri kabisa.
Achana na hizi dini maana dini ni biashara za watu, ukifuata sana dini utamuacha Mungu.
Vitabu vipo tusome tuelewe na sio...
Sasa kama hawa alitoka ubavuni mwa adam kama jinsia ya kike je hizi jinsia za kike nyingine pia zilitoka ubavuni mwa jinsia ya kiume ya samaki,kuku,bata,nyoka,nk?
Kwanini wanawake i.e:hawa wasiendelee kutoka kwenye ubavu wa wanaume i.e:adam?
Wafia dini jiongezeni!!
Makala: Dini za Kigeni, Utumwa wa Kifikra, na Uhalisia wa Dini za Asili Afrika
Mwandishi: Elly Maduhu Nkonya
Utangulizi
Historia ya Afrika haiwezi kueleweka kwa undani bila kutazama nafasi ya dini katika harakati za ukoloni, biashara ya utumwa, na mabadiliko ya kijamii. Katika karne ya 15...
Ukristo ni dini ambayo imeshazoeleka kutaniwa na kufanyiwa mizaha ila ni ngumu kusikia kelele wakilalamika, nashangaa wakristo wa hapa bongo wakilalamika utani wa Mwijaku
Imeshazoeleka kushoot video za bongo flava makanisani, watu kucheza amapiano na bolingo kwenye gospel, mabinti kuingia...
Wadau hamjamboni nyote?
Tutazidi kupeana ilimu Ili tukae sawa
Hakuna shaka kwenye Uislamu mambo husika yametajwa kwenye sheria na Kanuni zake na yapo wazi kabisa chanzo kikiwa ni kurani
Ndugu zetu wakiristo hebu tuwekeeni sheria zenu na mtaje wapi mnazinuu
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
https://youtu.be/UIimWL8wEs8?si=tSuKOhQd5nvwbyc5
Nimemsikiliza dakika zote. Huyu msela ameshiba historia kwa kiwango cha kushangaza sana.
Kama huwa unajiuliza giniaz ni mtu wa namna gani,basi jifunze hapa. Huu ni mfano halisi wa giniazi.
Anaeleza historia kama vile alikuwepo. Hata kama ni...
Father Kitima na askofu Bagonza, mmekuwa waasi dhidi ya serikali, mkionyesha dhahiri mapenzi yenu kwa Chadema, hata kudiriki kufanya vikao vya usuluhishi baina ya Mbowe vs Lissu.
Hivi kweli chama mnachotaka kishike dola ndio hiki kweli?
Iko wapi demokrasia wanayohubiri hawa CHADEMA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.