December is the twelfth and the final month of the year in the Julian and Gregorian calendars. It is also the last of seven months to have a length of 31 days.
December got its name from the Latin word decem (meaning ten) because it was originally the tenth month of the year in the calendar of Romulus c. 750 BC which began in March. The winter days following December were not included as part of any month. Later, the months of January and February were created out of the monthless period and added to the beginning of the calendar, but December retained its name.In Ancient Rome, as one of the four Agonalia, this day in honour of Sol Indiges was held on December 11, as was Septimontium. Dies natalis (birthday) was held at the temple of Tellus on December 13, Consualia was held on December 15, Saturnalia was held December 17–23, Opiconsivia was held on December 19, Divalia was held on December 21, Larentalia was held on December 23, and the dies natalis of Sol Invictus was held on December 25. These dates do not correspond to the modern Gregorian calendar.
The Anglo-Saxons referred to December–January as Ġēolamonaþ (modern English: "Yule month"). The French Republican Calendar contained December within the months of Frimaire and Nivôse.
Leo December 1 2024 ni siku ya UKIMWI duniani.
Mpaka sasa kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) kuna zaidi ya watu milioni 39.9 duniani kote wanaoishi na virusi vya UKIMWI (VVU).
Ni muhimu kuelewa kwamba si kila mwenye VVU ana UKIMWI. UKIMWI hutokea katika hatua za mwisho za maambukizi...
Nimekuta hayo hapo chini mahali na mimi nimeamua kuunga mkono kukumbisha siku ya kupokea uhuru Lindi:
KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU WA TANGANYIKA TUJIKUMBUSHE HISTORIA YA BARABARA YA UHURU ILIYOPO KATIKA MANISPAA LINDI.
Msomaji wa makala za durusu durusu za historia mapema nimepita...
Rais wetu mpendwa na AMIRI jeshi mkuu alitutangazia kuwa ifikapo December watumishi wote ambao uhakiki wa madeni yao ulishakamilika wawe wamelipwa.
Umebaki mwezi mmoja.
Ingekuwa vema iwapo waziri husika angetoa hata progress ya utekelezaji wa agizo la Rais ili wale akina Thomaso wapate...
Rejea kichwa cha habari hapo juu
Mm mpakwa mafuta wa Bwana nimeona niwashauri ili roho zenu zisiende jehanamu
Mda huu mpka December mtubu kama unajua wewe n msanii
January mpka March kama n mwanamziki tubu sali sana upepo wa kisuli suli unakuja kwa waimbaji
Wasalaamu
Shalom,
Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa
Waislam huko Mecca na Madina
Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New dehri
Basi Israel iendelee na safisha safisha mpaka miji ile muhimu ambayo magaidi wanajitapa ipo...
Kwa utafiti wangu niliofanya nimegundua mwezi December ni mwezi wa ma-ex kupasha viporo
Ombi langu kwa jinsia ya kike mliobahatika kuolewa na wanaume wa mikoani na ukaishi huko mikoani chonde chonde achana basi na wapenzi wako wa zamani ,mnaebisha
December inakaribia unamuomba mmeo ruhusa ya...
Introduction: Why Blogging in 2024?
Starting a blog in 2024 offers incredible opportunities for personal expression and financial gain. With advancements in technology and digital marketing, blogging has become more accessible and rewarding. Whether you're aiming to share your passion, build a...
Ndugu Mtanganyika , usimkope ndugu yako hela kwa sababu kuna hatari ya kuharibu uhusiano wenu. Kukopa hela kwa ndugu kunaweza kusababisha migogoro na mvutano, hasa kama kuna tatizo la kulipa deni kwa wakati au kama kutakuwa na hali ya kutokuelewana juu ya masharti ya mkopo.
Ndugu huyo utakuwa...
Hospitali ya Malolo (Reginal level) Wafanyakazi hawajalipwa mishahara tokea December 2023(Majority) huku wachache hawajakamilishiwa mishahara ya mwezi November.
Uongozi wanasema NHIF hawajalipa claims since December maana zaidi ya 95% ya wagonjwa ni wanachama wa NHIF, hivyo hamna hela.
Kadi...
Anonymous
Thread
december
hawajalipwa
hospital
hospitali
mishahara
mwezi
tabora
wachache
wafanyakazi
Kufanya maongezi marefu yafupike. Nilipokea mshahara wangu wa December 900,000. Baada ya hapo kampuni imekuwa ikipitia changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na mkurugenzi kuumwa.
Maradhi ya mkurugenzi yanasababisha hela karibu yote iende kwenye matibabu.
Mshahara wa January sijapewa na wa huu...
Merry Christmas wakristo wote.
Ni furaha iliyoje kwa wa-ukraine kusherekea sikukuu ya krismas tofauti na utaratibu wa awali waliokuwa wanatumia kutoka kanisa la Orthodox huko Russia yaani tarehe 07/01 kila mwaka.
Many Ukrainian Orthodox Christians are celebrating Christmas on 25 December for...
Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 25 Disemba na ndio maana baadhi ya makundi ya Wakristo yanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 6 Januari.
Wakristo wa Orthodox kama vile wa nchini Ethiopia wao wanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 7...
Mkutano wa Iringa ulipitisha katiba ya jumuiya mpya ya Waislam, katiba ambayo ilikuwa sawasawa na katiba ya TANU.
Hivi ndivyo BAKWATA ilivyoundwa.
BAKWATA ikamchagua Saleh Masasi, Muislam tajiri na ambae alikuwa kama mwenyekiti wa mkutano ule kuwa Mwenyekiti wa Taifa na Adam Nasibu akawa...
Hadi kufikia juma la kwanza la mwezi wa Desemba, mikoa mitatu kati ya kumi na saba ilikuwa tayari imeshajitenga kutoka EAMWS.
Kile kikundi cha Adam Nasibu kikaunda kamati kwa ushirikiano na Kamati ya Maulidi ya Dar es Salaam, Adam Nasib akiwa Katibu.
Kamati hii ikaitisha mkutano Ukumbi wa...
Hata hivyo, tarehe 14 Novemba, 1968, Baraza la EAMWS la Tanzania liliitisha mkutano wajumbe kutoa mikoa yote ya Tanzania kujadili ‘’mgogoro.’’
Pamoja na waliohudhuria ni wajumbe kutoka mikoa ambayo tayari ilikuwa imekwishajitenga na EAMWS.
Mkutano huu ulifanyika katika shule ya Kiislam ya...
TUJIKUMBUSHE HISTORIA YA BAKWATA OCTOBER HADI DECEMBER 1968 SEHEMU YA KWANZA
"... ikadhihirika kuwa serikali ilikuwa imepania kuivunja EAMWS kwa kuwatumia Waislam wachache walioteuliwa kwa kazi hiyo.
Lengo likiwa ni kuanzisha taasisi mpya ambayo serikali itaweza kuiamuru.
Ieleweke hapa kuwa...
Position: Regional General Manager, Tanzania (Based In Dar Es Salaam)
Reporting to: the Managing Director
The successful candidates will manage, plan and control regional train operations.
Duties:
The main duties for the Regional General Manager include:
Developing and implementing marketing...
Position: Clinical Research Coordinator (CRC)
Location: Based in Dar es Salaam, Tanzania.
Contract: A 12-month, renewable.
Reporting to: Principal Investigator, MUHAS-ORCI-UCSF Cancer Collaboration
This is an opportunity to build experience in implementation science through working with a...
Position: Safety Health & Environment Manager
Reports to: the Risk & Security Executive Officer
Core Job Description:
To oversee the organization’s comprehensive safety and environmental management system, assessing and identifying risks, formulating and implementing policies in managing the...