data

  1. L

    Kuna mwenye info zozote humu toka MDH kwa nafasi za Data Officer?

    Hawa jamaa walitufanyia usaili wa oral kwa nafasi ya Data Officer hapa Dar na walituhaidi kwamba ukiwa successful basi utapokea simu toka kwao baada ya wiki mbili Sasa yapata mwezi na kitu hakuna cha simu wala text, kibaya zaidi hata ukimuuliza mwenzako na mwenzako nae akamuuliza mwenzake...
  2. Jamii Opportunities

    Metallurgical Data Administrator at North Mara Gold Mine Limited

    North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit a Metallurgical Data Administrator to join North Mara team. The successful candidate for this position will provide support to North Mara Team to ensure that Metallurgical Data Management Objectives are met and are associated with the business...
  3. zitto junior

    Wapi nitapata Professional course In Statistical Analysis Software

    Wakuu ninatamani kuongeza ujuzi kwenye eneo la statistical software za kufanyia data analysis. Natamani kupata professional short-course Ili kujinoa zaidi kwenye Excel, SPSS, AMOS (Advanced Level) na pia natamani kujifunza R na Python n.k kwa ajili ya shughuli zangu za kitafiti. Wapi naweza...
  4. N

    Data Officer MDH

    Kwa wale ambao tulifanya usaili wa pili kwamaana ya "Oral Interview" kuna yeyote yumo humu ambae kashaitwa kazini ? Mana inabidi tuulizane ili kama kuna wenzetu wameshaitwa basi tuliokosa tupunguze matarajio. Kama kuna yeyote mwenye info za ndani tunaomba atujuze ili nijue ama tujue kama...
  5. Jamii Opportunities

    Senior Transport Specialist at World Bank

    Job #: req16704 Organization: World Bank Sector: Transportation Grade: GG Term Duration: 4 years 0 months Recruitment Type: International Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing Date: 4/8/2022 (MM/DD/YYYY) at...
  6. The Sheriff

    Waziri Nape: Muswada wa Sheria ya Ulinzi wa Data Binafsi upo katika hatua za mwisho

    Waziri wa Habari, Nape Nnauye, leo Jumatatu, amesema muswada wa Sheria ya Ulinzi Binafsi, uko katika hatua za mwisho “hii ni sheria muhimu sababu vinginevyo uwekezaji utakuwa mgumu. Sio kwa sababu kulikuwa na kurekodi rekodi watu, hapana lakini ni kwa sababu ya kutunza faragha.” Nape ametoa...
  7. Mbomozo

    Aptitude Test Interview Tanzania Commercial Bank (TCB) kwa nafasi ya Business Solution Officer: Big Data Analysis

    Hii Salute Ndg zangu. Kama mida ya saa 7 mchana Leo nimepokea SMS na Email ya invitation kuja Dar kwenye Aptitude test ya TCB kada tajwa hapo juu. But kutokana na kutingwa na majukum upande wangu sidhan kama nitahudhuria. Lengo la uzi huu ni kuwakutanisha waliopewa taarifa ya aptitude test...
  8. Tony254

    Kenya to host one of the two giant data hubs in Africa to be set up by ICANN

    Kenya to host one of Africa’s two giant data hubs Kenya will host one of the two mega data centres in Africa that will increase Internet speeds and make it harder for hackers to bring down websites. The new data centres, which will have multiple servers with a high bandwidth to deal with...
  9. Zero Competition

    Waliofanya usaili wa nafasi ya Data Officer MDH

    Heshima kwenu wakuu, Kwa tuliofanya interview ya Practical nafasi ya Data Officer MDH pale Kijitonyama kuna yeyote ambae kashapigiwa simu kwenda kwenye Oral Interview?
  10. Zero Competition

    Msaada kuhusu mshahara wa Data Officer MDH

    Heshima kwenu wadau Naomba kujuzwa MDH wanalipaje kwa nafasi ya Data Officer nikiwa na maana ya mshahara na pia kama kuna posho zozote wanazotoa mbali na mshahara Au yoyote mwenye idea ambae kashawahi kufanya nao kazi
  11. MK254

    Kifua mbele - Safaricom sets up first data centre in Ethiopia

    Safaricom has unveiled its first China-assembled data centre in Addis Ababa as it gears up to launch its commercial operations in Ethiopia. Built for $100 million, the facility was deployed less than a year after the consortium led by Safaricom, South Africa's Vodacom and Japan's Sumitomo was...
  12. Jamii Opportunities

    Data Manager at Ministry Of Health (MOH)

    POST: DATA MANAGER – 1 POST POST CATEGORY(S): IT AND TELECOMS EMPLOYER: Ministry Of Health (MOH) APPLICATION TIMELINE: 2022-02-20 2022-03-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES To ensure accurate and consistent inputting of data received from partners into database To perform data...
  13. Kasomi

    Fahamu nchi yenye bei kubwa na yenye bei ndogo kwa uuzaji wa Data

    Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei ndogo zaidi ya data. Israel ndio nchi ambayo kifurushi cha internet huuzwa kwa Bei ndogo kuzidi nchi zote, Nchini Israel 1GB huuzwa kwa shilingi za kitanzania 150/= au chini ya 150 Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei kubwa ya data. Guinea Equitorial ndio...
  14. beth

    Ulinzi wa Data: Sheria zinalenga kuwapa watu binafsi uwezo wa kujua jinsi Taarifa zao zinavyotumiwa

    Faragha ya Data/Taarifa limekuwa suala muhimu siku zote, lakini kadri Taarifa zetu zinavyozidi kuwekwa kidigitali na kutolewa zaidi Mitandaoni, umuhimu wake umezidi kuongezeka Kampuni moja inaweza kuwa na Mamilioni ya taarifa za wateja ambazo inapaswa kuzilinda. Sheria za Kulinda Taarifa...
  15. britanicca

    Msaada wa data na gharama za Kujenga Healthy centre Bukoba Tanzania

    Wataalamu nimepata kamtaji fulani nataka Kujenga kituo Cha afya BUKOBA VIJIJINI TANZANIA Matazamio yangu Kituo kitakuwa na vifuatavyo First Phase ni Kujenga Msingi/foundation ya kituo ambacho kitakuwa na Size: 28'x60' Square Feet: 1,680 Private Offices: 1 Restrooms: 2 Breakroom 1 Exam...
  16. beth

    Ulinzi wa Data: Wakusanya taarifa wengi hawana namna nzuri ya kuzitunza

    Wakati mwingine Taarifa hukusanywa kwa nia njema, lakini Changamoto ni kwamba wengi hawana namna ya kuzitunza Kwa mfano, mara nyingi unatakiwa kusaini kabla ya kuingia Ofisi mbalimbali. Je, taarifa zako zinahifadhiwa wapi? Kuwepo Sheria ya Ulinzi Wa Data kutasaidia kufahamu taarifa...
  17. Tony254

    Safaricom Ethiopia inajenga data center ya $100 million huko Ethiopia

    by providing a policy framework, that can help a lot. Why do young people especially those who grew up in rural areas not attracted to pick up agriculture from their parents and advance it? Most of our farmers are small scale farmers that are ageing, not conversant with technology or...
  18. Jamii Opportunities

    Scholarship opportunities for participating in micro master program on Data Economics and Development Policy

    SCHOLARSHIP OPPORTUNITY FOR PARTICIPATING IN MICRO MASTERS PROGRAM ON DATA ECONOMICS AND DEVELOPMENT POLICY OFFERED BY MASSACHUSETS INSTITUTE OF TECHNOLOGY (MIT) The Economic and Social Research Foundation (ESRF) - a policy research think tank in Tanzania, undertakes, and articulates research...
  19. sky soldier

    Sio kwamba muziki wetu uko juu bali gharama nafuu za data zilitubeba, Afrika Kusini ndiye mrithi mpya wa nafasi ya Tanzania kushindana na Nigeria

    Kwa sasa amapiano inapewa sana promo hapa Bongo na mbaya zaidi hata hao wanaimba amapiano hawaitwi Afrika Kusini ama kutrend vilivyo huko bondeni. Hapo zamani mpinzani mkuu wa Nigeria alikuwa Tanzania lakini hii ilikuwa kwajili ya silaha yetu ya bei rahisi ya data, kwa sasa mambo yamebadilika...
  20. Jamii Opportunities

    Tanzania Data Collectors at Compassion

    Compassion International Tanzania is seeking qualified data collectors to administer surveys to children, youth, and adults. The expected data collection window and time commitment for this position is January through March. Duties and Responsibilities: Maintain a personal relationship with...
Back
Top Bottom