Zima gari lako haraka kama ikiwaka taa hii kwenye dashboard

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
May 4, 2020
3,327
9,326
images (30).jpeg
Kama unaendesha gari lako ghafla taa hii nyekundu ikawaka ni vema ukatafuta mahali ambako pako salama ukapaki gari yako na ukaizima kwanza.

Rangi nyekundu iliyoko kwenye hiyo alama inatosha kukuambia kwamba hilo ni tatizo ambalo linahitaji kutatuliwa haraka sana kabla halijaleta madhara makubwa.

Kwa kifupi taa hiyo humaanisha ya kwamba Presha ya oil katika engine ni ndogo.Hivyo kuipuuza kwako inaweza kupelekea engine yako kuharikibika ndani sekunde chache tu kutoka muda ilipowaka (kuzungusha engine).

Endapo taa hiyo itawaka, zima gari yako haraka sana. Kitu cha kwanza angalia kama level ya Oil iko sawa (japo kama taa hii itawaka sababu ya Oil kuwa chini basi jua Oil inakaribia kuisha kwenye engine maana kuna gari zinaweza kutembea na Oil lita moja au mbili bila kuwasha hii taa).

Kama ukikuta oil imepungua basi ongeza oil na washa gari yako, kama taa iliwaka sababu ya Oil kupungua sana basi kwa kuongeza Oil lazima itazima. Kama level ya Oil iko sawa na taa bado inawaka basi ni vema ukatafuta mtu akuvute kwenda garage ambapo unaweza ukapata msaada wa gari yako kuangaliwa, kwa maana gharama ya kuvutwa itakuwa ni ndogo kuliko gharama ya kununua engine nyingine.

Je ni nini kimepelekea taa hiyo kuwaka?

Zipo sababu zingine zinazoweza kupelekea taa hiyo kuwaka ukiachana na taa kuwaka kwa sababu ya level ndogo ya Oil. Sababu hizo ni Pampu mbovu ya Oil, Uchafu kwenye strainer/filter/Kutumia Oil filter ya bei rahisi, Oil pressure sensor kuharibika/nyaya zake kukatika n.k.

Hayo yote hutoyajua moja kwa moja mpaka gari yako ikapimwe kwenye mashine ndio unaweza kujua tatizo ni nini. Mostly kwenye mashine itainesha code kuanzia p0520 mpaka p0524. Na kama haileti code yotote basi inawezekana kujua shida kwa kuangalia Oil pressure kwenye Live Data.

NIPO MAGOMENI, MWEMBECHAI, DAR.
 
View attachment 1753290


Kama unaendesha gari lako ghafla taa hii nyekundu ikawaka ni vema ukatafuta mahali ambako pako salama ukapaki gari yako na ukaizima kwanza.

Rangi nyekundu iliyoko kwenye hiyo alama inatosha kukuambia kwamba hilo ni tatizo ambalo linahitaji kutatuliwa haraka sana kabla halijaleta madhara makubwa.

Kwa kifupi taa hiyo humaanisha ya kwamba Presha ya oil katika engine ni ndogo.Hivyo kuipuuza kwako inaweza kupelekea engine yako kuharikibika ndani sekunde chache tu kutoka muda ilipowaka (kuzungusha engine).

Endapo taa hiyo itawaka, zima gari yako haraka sana. Kitu cha kwanza angalia kama level ya Oil iko sawa (japo kama taa hii itawaka sababu ya Oil kuwa chini basi jua Oil inakaribia kuisha kwenye engine maana kuna gari zinaweza kutembea na Oil lita moja au mbili bila kuwasha hii taa).

Kama ukikuta oil imepungua basi ongeza oil na washa gari yako, kama taa iliwaka sababu ya Oil kupungua sana basi kwa kuongeza Oil lazima itazima. Kama level ya Oil iko sawa na taa bado inawaka basi ni vema ukatafuta mtu akuvute kwenda garage ambapo unaweza ukapata msaada wa gari yako kuangaliwa, kwa maana gharama ya kuvutwa itakuwa ni ndogo kuliko gharama ya kununua engine nyingine.

Je ni nini kimepelekea taa hiyo kuwaka?

Zipo sababu zingine zinazoweza kupelekea taa hiyo kuwaka ukiachana na taa kuwaka kwa sababu ya level ndogo ya Oil. Sababu hizo ni Pampu mbovu ya Oil, Uchafu kwenye strainer/filter/Kutumia Oil filter ya bei rahisi, Oil pressure sensor kuharibika/nyaya zake kukatika n.k.

Hayo yote hutoyajua moja kwa moja mpaka gari yako ikapimwe kwenye mashine ndio unaweza kujua tatizo ni nini. Mostly kwenye mashine itainesha code kuanzia p0520 mpaka p0524. Na kama haileti code yotote basi inawezekana kujua shida kwa kuangalia Oil pressure kwenye Live Data.

***********############***********


NITAKUWEPO MWANZA WEEK IJAYO KUANZIA TAREHE 23.


PIA KUNA MASHINE 2 ZA DIAGNOSIS AMBAZO NAZIUZA.

**********############*********

KWA WENYE MATATIZO MBALIMBALI YA MAGARI, TUNAFANYA:

1. FULL SYSTEMS DIAGNOSIS AND LIVE DATA ANALYSIS (GHARAMA NI TSH. 50,000/= TU KWA BRAND YOYOTE YA GARI. HII INAANGALIA MIFUMO YOTE YA GARI LAKO KAMA KUNA SHIDA PAMOJA NA UFANISI WA SENSORS NA VITU VINGINE MBALIMBALI.


2. ENGINE DIAGNOSIS AND LIVE DATA ANALYSIS KWA BRAND YOYOTE YA GARI. GHARAMA NI TSH. 30,000/=. HII INAANGALIA MIFUMO YOTE KATIKA ENGINE YA GARI LAKO KAMA KUNA SHIDA PAMOJA NA UFANISI WA SENSORS NA VITU VINGINE MBALIMBALI.

3. KUREKEBISHA MATATIZO KAMA GARI KUKOSA NGUVU, ENGINE KUMISI, KUWASHA TAA YA CHECK ENGINE, MATATIZO YA AUTOMATIC GEARBOX N.K.

*********##############***********

*********##############**********

SIMU: 0621 221 606


Whatsapp: Bonyeza 👉 HAPA


********################*********


NIPO MAGOMENI, MWEMBECHAI, DAR.
Hapo chai ghorofa la mzee kawambwa mtaa wa segerea ndo maskani,siku yake nitakucheck jibaba,mpe hi god na dula car wash 😀
 
Kuna siku niliwasha Ac ya joto (niliweka maximum sababu nilipo kuna baridi kali) baada ya dakika chache ikawaka iyo taa kwenye dashboard nikazima Ac na gari, nitakawasha haikutokea tena, ila nikabaki na swali shida ilikuwa ni Ac au nini!
 
View attachment 1753290


Kama unaendesha gari lako ghafla taa hii nyekundu ikawaka ni vema ukatafuta mahali ambako pako salama ukapaki gari yako na ukaizima kwanza.

Rangi nyekundu iliyoko kwenye hiyo alama inatosha kukuambia kwamba hilo ni tatizo ambalo linahitaji kutatuliwa haraka sana kabla halijaleta madhara makubwa.

Kwa kifupi taa hiyo humaanisha ya kwamba Presha ya oil katika engine ni ndogo.Hivyo kuipuuza kwako inaweza kupelekea engine yako kuharikibika ndani sekunde chache tu kutoka muda ilipowaka (kuzungusha engine).

Endapo taa hiyo itawaka, zima gari yako haraka sana. Kitu cha kwanza angalia kama level ya Oil iko sawa (japo kama taa hii itawaka sababu ya Oil kuwa chini basi jua Oil inakaribia kuisha kwenye engine maana kuna gari zinaweza kutembea na Oil lita moja au mbili bila kuwasha hii taa).

Kama ukikuta oil imepungua basi ongeza oil na washa gari yako, kama taa iliwaka sababu ya Oil kupungua sana basi kwa kuongeza Oil lazima itazima. Kama level ya Oil iko sawa na taa bado inawaka basi ni vema ukatafuta mtu akuvute kwenda garage ambapo unaweza ukapata msaada wa gari yako kuangaliwa, kwa maana gharama ya kuvutwa itakuwa ni ndogo kuliko gharama ya kununua engine nyingine.

Je ni nini kimepelekea taa hiyo kuwaka?

Zipo sababu zingine zinazoweza kupelekea taa hiyo kuwaka ukiachana na taa kuwaka kwa sababu ya level ndogo ya Oil. Sababu hizo ni Pampu mbovu ya Oil, Uchafu kwenye strainer/filter/Kutumia Oil filter ya bei rahisi, Oil pressure sensor kuharibika/nyaya zake kukatika n.k.

Hayo yote hutoyajua moja kwa moja mpaka gari yako ikapimwe kwenye mashine ndio unaweza kujua tatizo ni nini. Mostly kwenye mashine itainesha code kuanzia p0520 mpaka p0524. Na kama haileti code yotote basi inawezekana kujua shida kwa kuangalia Oil pressure kwenye Live Data.

***********############***********


NITAKUWEPO MWANZA WEEK IJAYO KUANZIA TAREHE 23.


PIA KUNA MASHINE 2 ZA DIAGNOSIS AMBAZO NAZIUZA.

**********############*********

KWA WENYE MATATIZO MBALIMBALI YA MAGARI, TUNAFANYA:

1. FULL SYSTEMS DIAGNOSIS AND LIVE DATA ANALYSIS (GHARAMA NI TSH. 50,000/= TU KWA BRAND YOYOTE YA GARI. HII INAANGALIA MIFUMO YOTE YA GARI LAKO KAMA KUNA SHIDA PAMOJA NA UFANISI WA SENSORS NA VITU VINGINE MBALIMBALI.


2. ENGINE DIAGNOSIS AND LIVE DATA ANALYSIS KWA BRAND YOYOTE YA GARI. GHARAMA NI TSH. 30,000/=. HII INAANGALIA MIFUMO YOTE KATIKA ENGINE YA GARI LAKO KAMA KUNA SHIDA PAMOJA NA UFANISI WA SENSORS NA VITU VINGINE MBALIMBALI.

3. KUREKEBISHA MATATIZO KAMA GARI KUKOSA NGUVU, ENGINE KUMISI, KUWASHA TAA YA CHECK ENGINE, MATATIZO YA AUTOMATIC GEARBOX N.K.

*********##############***********

*********##############**********

SIMU: 0621 221 606


Whatsapp: Bonyeza HAPA


********################*********


NIPO MAGOMENI, MWEMBECHAI, DAR.
Natamani ningesoma huu uzi kabla ya September mwaka jana.

Nilikua na 1hz, hard top. Hapo ni kama siku 3 imetoka service, naenda zangu field. Baada ya km27 ikaniwashia hii taa, nikasema ngoja niikokote nimalize hili korongo niegeshe. Masikini weee....

Gari ilizima wakati napandisha lile korongo, na baada ya dk1 ndani kulikua kuna nuka ile harufu ile (kama limewahi kukukuta then unaijua ile harufu ya kuungua).

Ile kufungua bonet, ni imetapakaa oil tupuu, uvungu wa gari wote umejaa oil, nyuma kwenye spare tyre na vioo ni oil tupu.

Kumbe jamaa walifunga filter vibaya, ile rubber nyeusi ilikua imetwist, haikukaa sawasawa kwenye reli yake, upande flani imeweka seal, upande flan iko wazi. Kwahiyo pressure ya oil ilivyozidi, ikafumua palipo weak, yote ikaishia pale.

Ilibidi niwaangushie jumba lao bovu, tulisumbuana ila mwisho wa siku walifix kila kitu kwa gharama zao, maana ulikua uzembe wao kwenye kufunga filter. Na uzuri incharge alikubali kua alimpa kijana afanye ile service.

Japo kazi ilikua pevu, vikombe, craink shaft, hatari sanaa..

Nilijilaumu saaanaaa, kwanini sikuizima pale pale nilipoona taa, kwanini nilijiaminisha ningefika mwisho wa korongo. But it was too late.
 
View attachment 1753290


Kama unaendesha gari lako ghafla taa hii nyekundu ikawaka ni vema ukatafuta mahali ambako pako salama ukapaki gari yako na ukaizima kwanza.

Rangi nyekundu iliyoko kwenye hiyo alama inatosha kukuambia kwamba hilo ni tatizo ambalo linahitaji kutatuliwa haraka sana kabla halijaleta madhara makubwa.

Kwa kifupi taa hiyo humaanisha ya kwamba Presha ya oil katika engine ni ndogo.Hivyo kuipuuza kwako inaweza kupelekea engine yako kuharikibika ndani sekunde chache tu kutoka muda ilipowaka (kuzungusha engine).

Endapo taa hiyo itawaka, zima gari yako haraka sana. Kitu cha kwanza angalia kama level ya Oil iko sawa (japo kama taa hii itawaka sababu ya Oil kuwa chini basi jua Oil inakaribia kuisha kwenye engine maana kuna gari zinaweza kutembea na Oil lita moja au mbili bila kuwasha hii taa).

Kama ukikuta oil imepungua basi ongeza oil na washa gari yako, kama taa iliwaka sababu ya Oil kupungua sana basi kwa kuongeza Oil lazima itazima. Kama level ya Oil iko sawa na taa bado inawaka basi ni vema ukatafuta mtu akuvute kwenda garage ambapo unaweza ukapata msaada wa gari yako kuangaliwa, kwa maana gharama ya kuvutwa itakuwa ni ndogo kuliko gharama ya kununua engine nyingine.

Je ni nini kimepelekea taa hiyo kuwaka?

Zipo sababu zingine zinazoweza kupelekea taa hiyo kuwaka ukiachana na taa kuwaka kwa sababu ya level ndogo ya Oil. Sababu hizo ni Pampu mbovu ya Oil, Uchafu kwenye strainer/filter/Kutumia Oil filter ya bei rahisi, Oil pressure sensor kuharibika/nyaya zake kukatika n.k.

Hayo yote hutoyajua moja kwa moja mpaka gari yako ikapimwe kwenye mashine ndio unaweza kujua tatizo ni nini. Mostly kwenye mashine itainesha code kuanzia p0520 mpaka p0524. Na kama haileti code yotote basi inawezekana kujua shida kwa kuangalia Oil pressure kwenye Live Data.

***********############***********


NITAKUWEPO MWANZA WEEK IJAYO KUANZIA TAREHE 23.


PIA KUNA MASHINE 2 ZA DIAGNOSIS AMBAZO NAZIUZA.

**********############*********

KWA WENYE MATATIZO MBALIMBALI YA MAGARI, TUNAFANYA:

1. FULL SYSTEMS DIAGNOSIS AND LIVE DATA ANALYSIS (GHARAMA NI TSH. 50,000/= TU KWA BRAND YOYOTE YA GARI. HII INAANGALIA MIFUMO YOTE YA GARI LAKO KAMA KUNA SHIDA PAMOJA NA UFANISI WA SENSORS NA VITU VINGINE MBALIMBALI.


2. ENGINE DIAGNOSIS AND LIVE DATA ANALYSIS KWA BRAND YOYOTE YA GARI. GHARAMA NI TSH. 30,000/=. HII INAANGALIA MIFUMO YOTE KATIKA ENGINE YA GARI LAKO KAMA KUNA SHIDA PAMOJA NA UFANISI WA SENSORS NA VITU VINGINE MBALIMBALI.

3. KUREKEBISHA MATATIZO KAMA GARI KUKOSA NGUVU, ENGINE KUMISI, KUWASHA TAA YA CHECK ENGINE, MATATIZO YA AUTOMATIC GEARBOX N.K.

*********##############***********

*********##############**********

SIMU: 0621 221 606


Whatsapp: Bonyeza 👉 HAPA


********################*********


NIPO MAGOMENI, MWEMBECHAI, DAR.
Bukoba unakuja lini mkuu?
 
Natamani ningesoma huu uzi kabla ya September mwaka jana.

Nilikua na 1hz, hard top. Hapo ni kama siku 3 imetoka service, naenda zangu field. Baada ya km27 ikaniwashia hii taa, nikasema ngoja niikokote nimalize hili korongo niegeshe. Masikini weee....

Gari ilizima wakati napandisha lile korongo, na baada ya dk1 ndani kulikua kuna nuka ile harufu ile (kama limewahi kukukuta then unaijua ile harufu ya kuungua).

Ile kufungua bonet, ni imetapakaa oil tupuu, uvungu wa gari wote umejaa oil, nyuma kwenye spare tyre na vioo ni oil tupu.

Kumbe jamaa walifunga filter vibaya, ile rubber nyeusi ilikua imetwist, haikukaa sawasawa kwenye reli yake, upande flani imeweka seal, upande flan iko wazi. Kwahiyo pressure ya oil ilivyozidi, ikafumua palipo weak, yote ikaishia pale.

Ilibidi niwaangushie jumba lao bovu, tulisumbuana ila mwisho wa siku walifix kila kitu kwa gharama zao, maana ulikua uzembe wao kwenye kufunga filter. Na uzuri incharge alikubali kua alimpa kijana afanye ile service.

Japo kazi ilikua pevu, vikombe, craink shaft, hatari sanaa..

Nilijilaumu saaanaaa, kwanini sikuizima pale pale nilipoona taa, kwanini nilijiaminisha ningefika mwisho wa korongo. But it was too late.
Poleee aiseeee
 
Back
Top Bottom