dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Makazi ya Wananchi 500 Ubungo - Kisiwani (Dar) yapo hatarini, tunaomba Serikali itujengee mifereji ya kusafirisha maji ya mvua kutoka Barabara Kuu

    Hapa Ubungo, Kisiwani, Wananchi tupo katika hali ngumu sana, maisha yamebadilika kisa Mto Gide, ambao kwa miaka mingi umekuwa ni chanzo cha wasiwasi mkubwa na umekuwa tishio kwa makazi yetu. Nyumba nyingi zimebomoka na kila mvua inaponyesha, hali inazidi kuwa mbaya. Hadi sasa zaidi ya Wananchi...
  2. Kasri Homes Tz

    INAUZWA Ilala: 2 Storeys Warehouse for Sale - Dar

    • Direction: Shariff Shamba • Plot/Floor Area: 367 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 550 million • Viewing charge: TZS 30,000 . ✓ jengo ni la ghorofa 1 ✓ ghala lipo chini na juu ✓ ofisi zipo ✓ kiwanja kimejaa ✓ gari inaingia ndani ya ghala ✓ umeme 3 phase ✓ lipo kwenye barabara ya lami ...
  3. Kasri Homes Tz

    House4Sale Kariakoo: 4th Floor 3 Bdrm Apartment For Sale - Dar

    • Direction: Kibambawe Street • Facilities: 3 bedrooms, 2 washrooms • Document: Sub Title • Price: TZS 130 million . ✓ inauzwa bila samani (unfurnished) ✓ Ghorofa ya 4 (hakuna lift) ✓ vyumba master 1 na kawaida 2; jiko lenye makabati; balkoni zenye grill ✓ malumalu; madirisha ya aluminium; feni...
  4. mdukuzi

    Wakoloni walitaka jiji la Dar es Salaam lijengeke kuelekea Pugu,ghafla likaelekea Bagamoyo na Morogoro

    Master plan ya wakoloni ilitaka mji au jiji la Dar es Salaam lijengeke kuelekea Pugu.majengo yaliyopo mtaa wa Nkrumah ,viwanda Pugu Road,na uwekezaji mwingine kwa njia hiyo ni ushahidi tosha. Baada ya Uhuru mji ukaelekea Bagamoyo Road na Morogoro Road. Kumbuka Pugu Road ina uwezo wa kufika...
  5. O

    Mtaalamu bingwa wa nyonga na magoti wa Uingereza atua Dar

    Mtaakam bingwa wa upasuaji wa nyonga na magoti kutoka hospitali ya Qeen Elizabeth ya Uingereza Profesa Mamoun AbdelGadir, amewasili jijini Dar es Salaam kwaajili ya kambi ya matibabu ya siku tano kwa watanzania. Daktari huyo kwa kushirikiana na wataalamu wa ndani atafanya upasuaji huo kwenye...
  6. Kasri Homes Tz

    House4Sale Kariakoo: 200+ Sqm New 3 Bdrm Apartments For Sale - Dar

    • Direction: Ungoni Street • Price: USD 120,000 • Terms: 50% Upfront; the rest within 3 years • VAT & Transfer not inclusive in price • Monthly Service charge: TZS 180,000 . ✓ new built (not used before) ✓ lift & power backup generator ✓ unfurnished ✓ 200+ sqm ✓ 1 master & 2 common bedrooms...
  7. Mzee makoti

    Sgr Dar to Moro

    Wakuu nataka kwenda moro kwa Sgr, je utaratibu ukoje,ticket naweza kwenda katia palepale asubui au
  8. Kasri Homes Tz

    House4Sale Tegeta: New 4 Bedrooms House For Sale - Dar

    • Direction: Wazo Hill, 1 km off Madale Road • Facilities: 4 bedrooms, 3 washrooms • Plot Area: 1069 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 180 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ vyumba master 2 na kawaida 2; sebule kubwa; dining kubwa; jiko; stoo na public washroom ✓ ina malumalu, gypsum...
  9. Kasri Homes Tz

    House4Sale Bunju B: 3 Bedrooms House For Sale - Dar

    • Direction: Bunju B, 800 meters from Bunju B Daladala Stop (Bagamoyo Road) • Facilities: 3 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 500 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 120 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ vyumba master 1 na kawaida 2; sebule; dining; jiko; stoo na public washroom ✓...
  10. N

    Coca-cola na KFC watambulisha 'food pass'

    Kampuni ya Coca-Cola Tanzania imezindua kampeni maalum inayowalenga wateja wa migahawa ya KFC jijini Dar es Salaam, ambapo wanapata fursa ya kujipatia zawadi mbalimbali lakini pia kushiriki Tamasha la Chakula la Coca-Cola linalotarajiwa kufanyika Novemba. Kampeni hii, iitwayo ‘Food Pass’...
  11. Pfizer

    Mradi wa Tsh 678.6 bilioni wa TPA kuleta mapinduzi ya upakuaji mafuta katika bandari ya Dar es salaam

    Dar es Salaam. Tanzania, kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), inatekeleza mradi wa Sh678.6 bilioni ambao utaboresha utaratibu wa upakuaji mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam. Ujenzi wa Tanks Farm (Matanki ya Mafuta), ambao umefikia asilimia saba, unatarajiwa kuboresha...
  12. BigTall

    KERO Vyoo vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar vinahitaji maboresho, angalia hali ilivyo

    Licha ya kuwa Viongozi wengi wa Kiserikali wamekuwa mstari wa mbele katika kusisitiza usafi kwenye mazingira ya ofisini na hata kwenye makazi ya watu lakini upande mwingine wapo ambao huwa wanasahau kujitazama wao. Hivi ndivyo hali ilivyo katika Vyoo vilivyopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
  13. blessed_tee

    Beef Peramiho sausages sasa zinapatikana Dar

    Hello. Tunauza Peramiho beef Sausages. Nusu kilo packet 18,000 Kilo moja packet 35,000 Kilo moja na robo 40,000 Delivery ipo bei poa Call/whatsapp 0654465446
  14. Kasri Homes Tz

    INAUZWA Chang'ombe: 500 Sqm Workshop / Warehouse For Sale - Dar

    • Direction: Maduka Mawili/Keko Furniture, Toroli Road • Survey: Surveyed • Workshop/Plot Area: 500 sqm • Document: Residence License • Price: TSH 150 million . ✓ panafaa zaidi kwa biashara ya mbao kama kuhifadhi na kuuza au kusimika mashine za kuchana na kuranda pia uundaji samani (furniture) ✓...
  15. Just Pray

    Madereva Bolt Dar Waandamana Mpaka Ofisi za Bolt

    Madereva wa taksi za mtandaoni za kampuni ya Bolt wameandamana leo Oktoba 15,2024, mpaka yalipo makao makuu ya kampuni hiyo eneo la Morocco Kinondoni. Madereva hao wanapinga makato ambayo kampuni hiyo inawakata katika kila safari, ambapo wanaeleza ni asilimia 25, huku wakieleza kuwa agizo la...
  16. Mwanamke wa mithali 31

    Zile kazi zilitoka za uandikishaji daftar la kupiga kura ....Hapa Dar zilitoka kimya kimya au?

    Eti nyie ambao m,meitwa mliitwa kimyakimya au bado ??
  17. Kasri Homes Tz

    Plot4Rent Kurasini: Ocean Front 2.5 Acres Yard For Long Lease - Dar

    • Direction: Nyrerere Bridge Road • Yard Area: 10,500 sqm • Rent: USD 10,000/month (payment in TSH is accepted) • Terms: 5 to 10 years • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ yard imepimwa na ni salama kwa matumizi ya viwanda ✓ inatazamana na bahari upande mmoja na upande mwingine inatazamana na...
  18. Kasri Homes Tz

    House4Sale Kinyerezi: 2 Storeys 4 Bedrooms House For Sale - Dar

    • Direction: Kinyerezi • Facilities: 4 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 940 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 320 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ nyumba (ghorofa) ina vyumba master 2 na kawaida 2; sebule, dining, jiko, stoo, choo ya public na bindo ✓ ina malumalu, gypsum...
  19. C

    Dalali wa kuuza nyumba Dar anahitajika

    Aisee Kuna nyumba Iko dar imegoma kuuzika kama kama mwaka saa hii😀 Sasa kama Kuna dalali hodari anicheki Whatsapp au normal namba naacha hapo chini, nitakutumia picha na kila taarifa bei tutajadiliana ilimradi pauzike 0622905303
  20. radhiya

    Plots, Apartments for Sale

    Apartments for Sale Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa. Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool. Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini) Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
Back
Top Bottom