dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. Mohamed Said

    Usiku wa Ngugi Dar es Salaam

    https://www.youtube.com/watch?v=kAmm4ucvBDM
  2. jangoma

    Graduate wa Technical field kama IT au Engineer unamlipaje mshahara wa laki nne na 50 kwenye jiji kubwa kama Dar es salaam

    Watu wa private sector kuweni serious na profession za watu.
  3. radhiya

    Invest in SKY ROYAL Apartment at Mikocheni Ursino street Dar es Salaam

    Commercial and residential units for sale. Experience a luxury Seaview city living in our stylish and modern project located at Mikocheni Ursino st. Our prime location offers easy access to restaurants, shops and entertainment venues. Prices starting from 1 bedroom: USD 84,169. 2 bedrooms: USD...
  4. S

    Unahitaji programu gani ya kompyuta nikupe?

    Unahitaji programu gani ya kompyuta nikupe (Windows OS peke yake) Napatikana mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145 Kwa mahitaji ya kuweka Windows 10 OS Genuine gharama yake ni 20,000 Tsh
  5. M

    Msaada Garage na Fundi mzuri wa Volkswagen Dar es Salaam

    Wanajamvi Msaada kwenye tuta Nahitaji fundi mzuri kwa ajili ya gari aina ya VW(Volkswagen) Napokea recommendation nitashukuru nikipata namba ya simu na location ya garage Natanguliza shukrani.
  6. GENTAMYCINE

    Kumekucha: Wanaume wengi wa Dar hawana Nguvu za Kiume kwa kupenda kula Chips zenye Mafuta mengi hivyo waanze kula Chips zinazokaangwa na Maji

    Wala tusipotezeane sana muda nendeni manaratv mkamsikie wenyewe, ila Mimi nauliza tu Utakaanga vipi Chips na Maji? Sasa taratibu naanza kuamini kuwa huenda Tanzania ikawa na Madaktari Vihiyo (wa Mchongo) na ambao huenda wakawa wanavuta mno Bangi kuliko hata ambao wanazilima huko Tarime (Mara) na...
  7. R

    Sheikh: Mwanamke hapaswi kuwa na uongozi wa juu kabisa

    Sikiliza, kweli bado yuko hai? Anaesema mwanamke hapashwi kuwa Rais!
  8. B

    Uwekezaji kwenye Ubia wa BRT maarufu kama UDART kwa kushirikiana na Emirates utaleta mapinduzi na huduma bora kwa abiria wa Dar Es Salaam. Big Up!

    Mimi ni mhanga wa kupata shida na shurba za usafiri hapa Mjini Dar. Mradi wa usafiri wa umma wa UDART umekuwa kero kwa muda mrefu. Jana nimeona taarifa kuwa kutakuwa na uwekezaji kutoka kampuni ya Emirates ambayo ina lengo la kuboresha huduma za usafiri pamoja na kuongeza nyenzo kama Mabasi...
  9. evangelical

    University of Dar es Salaam Toeni Tamko Kuhusu Taarifa Za Mbunge wa Kinondoni Kusoma Degree ya Kwanza Na ya Pili Hapo UDSM

    Kumekuwapo na kawaida ya baadhi ya wanasiasa wasiokuwa waadilifu kutoa taarifa za uongo kuhusiana na elimu zao kwa sababu zao binafsi. Mbunge wa Kinondoni Taarifa ya Elimu yake kwenye website ya bunge ilionyesha amesoma shahada ya kwanza na ya Pili chuo kikuu cha dar es salaam. Baada ya watu...
  10. Dalali wa Mjini

    Fuso 6D17 inauzwa Location Dar Es Salaam

    Fuso ya body 6D 17 Milion 45 Engine & Gearbox ni Safi kabisa. Location Dar Es Salaam (Kinondoni) 📞0754693556
  11. M

    Dalali wa viwanja/nyumba - Dar es Salaam

    Unahitaji NYUMBA kwa Kupanga au kununua, Sehemu ya ofisi ama biashara, Kiwanja cha kununua Karibu tukufanyie kazi — 0716442950
  12. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Nasra: Dar es salaam sio lango la wanaharakati uchwara

    Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Dar es Salaam, Ndg. Nasra Mohammed amekemea baadhi ya Wanaharakati uchwara kutoka nchi za jirani kuingia jijini humo kuingilia masuala ya nchi ya Tanzania. Kauli hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kuwepo baadhi ya wanaharakati ambao waliwasili jijini Dar es Salaam...
  13. BARAKA N RANGE

    Tantech services

    Karibu Tantech ujipatie huduma mbalimbali kwa bei nafuu kama website,system,application design.,Digital marketing,social media boosting followers tiktok 1k=8000tzs instagram 1k=8000tzs likes tiktok 10k=12000tzs instagram 10k=12000tzs views tiktok 10k=10000tzs instagram 10k=10000tzs karibu...
  14. Mhaya

    Range Rover Iliyoibiwa UK Imeonekana Kwenye Mitaa Ya Jiji La Dar es Salaam, TZ

    Raia mmoja wa Uingereza amechapisha kwenye kundi la Facebook kuhusu gari lake aina ya Range Rover lilipotea miezi kadhaa iliyopita, ambalo sasa limeonekana likiwa Tanzania kupitia kifaa cha GPS alichokuwa amekificha ndani ya gari. Tafsiri kwa udhamini wa google Gari langu liliibiwa kutoka...
  15. K

    Eneo gani Dar kwa kijana anayejitafuta anaweza kujenga makazi?

    Kwa wataalamu wa mipango miji na wajuvi wa mambo, ni eneo gani hapa Dar kwa kijana anayejitafuta, mwenye kipato cha kati anaweza kununua Kiwanja kwa lengo la kujenga makazi ya familia ndani ya miaka 5 mpaka 7 ijayo. Eneo unaloweza kulea familia comfortably na bei za viwanja ni za kizalendo
  16. Barackachess

    INAUZWA Panasonic LUMIX GH5 4K Digital Camera TSH 3.7MILLION | DAR ES SALAAM

    PANASONIC LUMIX GH5 – Kamera ya Kitaalamu kwa Picha na Video za 4K INAUZWA 3,700,000/= Ikiwa wewe ni mpiga picha au mtengenezaji wa video unayetafuta ubora wa juu, basi Panasonic Lumix GH5 ni kamera ya ndoto yako. Kamera hii ni ya daraja la kitaalamu, na imeundwa mahsusi kwa ajili ya kazi za...
  17. radhiya

    Invest in Prime areas in Dar es Salaam

    Hello. Don't miss out this rare opportunity to secure prime real estate in Dar es Salaam. These plots, houses and apartments are available. Plots for Sale; •Kigamboni Dege (10plots in one area): Amani Gomvu st, 800m from main rd, SQM 800, TZS 25,000 per sqm, Title Deed. •Kigamboni Kisarawe 2...
  18. Roving Journalist

    PreGE2025 Mkurugenzi Kailima awaita Wananchi wa Dar kujitokeza kuhakiki, kuboresha taarifa zao Daftari la Mpiga Kura

    Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima amewataka wananchi wenye sifa za kupiga kura hapa nchini kujitokeza kwenda kuhakiki na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Awali la Mpiga Kura lililowekwa kwenye kila Kata kwa ajili ya wananchi kuhakiki taarifa zao kwa usahihi...
  19. Joshua Mbezi

    Mlioko Dar es Salaam, vipi mmepata huu mwaliko?

    Ccm wanaendelea kufurahia Mema ya nchi huku shuleni kukiwa hakuna walimu na wanafunzi wanakaa chini bila ya madawati🤔🤔🤔
  20. Gordon Technology

    Fundi wa gps track in Dar es salaam

    Piga 0746373222.....Je, unamiliki gari,pikipiki au bajaji(chombo cha moto)? Je,unataka kukilinda na kukifatilia chombo chako popote kinapokwenda? Je,Umechoka kupewa taarifa za uwongo na dereva wako kuhusu chombo chako cha moto? Tupigie ☎️0746373222 tukuambie namna ya Kutumia Gps tracker...
Back
Top Bottom