dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. Dalali wa kimataifa

    APARTMENT MPYA ZINAUZWA,ZIPO MBWENI MPIJI DAR🇹🇿,BEI NI MILIONI 850, 0758844717

    #sale APPERTMENT ZINAUZWA “”” ZIPO ZA VYUMBA VITATU “” ZIPO ZA VYUMBA VIWILI ZOTE ZINA WAPANGAJI VYUMBA VITATU NI LAK 700K VYUMBA VIWIL UWA ZINAPANGISHWA KWA LAKI 600K UKUBWA WA KIWANJA NI SQMT 1200”” KUNA HATI MILIKI OFFER MILLION 850 MAONGEZI YAPO LOCATION MBWEN MPIJI...
  2. A

    KERO Uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam umeshindwa kuliongoza jiji

    Katika jambo linalonishangaza ni kuwa mwaka huu 2025 mwezi wa nane Tanzania kama ilivyo Kenya na Uganda tunahost michuano ya CHAN na 2027 tunahost Afcon lakini jiji la Dar es Salaam kila kukicha linaendelea kuwa chafu, vibanda na biashara hole holela zinaongezeka kila kona. Bodaboda hawana...
  3. O

    Usafiri wa mwendokasi: Ukombozi uliogeuka mateso kwa wakazi wa Dar es Salaam

    Katika mji wa Dar es Salaam unaokua kwa kasi kubwa – kijamii na kiuchumi – changamoto ya usafiri wa umma imeendelea kuwa doa kubwa katika jitihada za kuimarisha maisha ya wakazi wake. Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), ambao ulizinduliwa kwa mbwembwe na matumaini makubwa ya kupunguza...
  4. J

    Horticulturist Job Vacancy, Dar es Salaam

    Job Title: Horticulturist Location: Dar es Salaam, Tanzania Job Summary: We are seeking a Horticulturist to help improve plant growth, yield, and quality. Horticulturist will manage gardening operations, care for various plants, and lead research efforts to optimize crop development. Key...
  5. JanguKamaJangu

    Askari Polisi ni wengi leo Mitaa ya Dar es Salaam, wanaimarisha ulinzi na wanaonekana wapo tayari kwa “kazi”

    Naona ulinzi umeimarishwa mitaa ya katikati ya Jiji la Dar es Salaam, maeneo mengi kuna askari ambao wanaonekana wapo tayari kwa kazi wakiwa na silaha, magari ya maji ya kuwasha, virungu na vingine vingi.
  6. M

    PreGE2025 Polisi watanda Dar es Salaam kuzuia CHADEMA kwenye kesi ya Lissu

    Nimepatwa na mshangao kwa kukuta kila sehemu ya makutano na taa katikati ya jiji la Dar es Salaam ikiwa na magari mawili hadi matatu ya Jeshi la Polisi ambayo yamewasha double hazard na askari wakiwa na silaha wamesimama pembeni ya gari hizo. Hii haina tafsiri zaidi ya hofu dhidi ya Chadema...
  7. O

    Udanganyifu wa Maendeleo (The Illusion of Progress): Jinsi Migogoro Iliyopangwa Inavyoathiri Jiji la Dar es Salaam

    Dar es Salaam, jiji la kibiashara la Tanzania, linakabiliwa na changamoto nyingi za mijini kama vile msongamano wa magari, mafuriko, na miundombinu duni. Ingawa serikali huonekana kuchukua hatua mara kwa mara, uchambuzi wa kina unaonyesha mtindo unaojirudia: matatizo huibuka au kudumu kutokana...
  8. Kitomai

    House4Rent Modern 2-BHK Apartment for Rent | Upanga, Dar es Salaam**

    Features: Bedrooms: 1 en-suite + 1 shared bathroom. Spaces: Open-plan kitchen, living & dining areas, private balcony. Utilities: Dawasa water supply & Bole reservoir access. 🔧 Amenities: - Elevator, standby generator, secure parking. 📞 Contact: WhatsApp 0755 312 233 for pricing...
  9. Kitomai

    House4Rent **Modern 3-Bedroom Apartment | Upanga, Dar es Salaam**

    🏠 Features: Master en-suite + 2 shared-bedrooms, open-plan living, balcony, ACs, ceiling fans, higher floor. 🏢 Amenities: Gym, elevators, standby generator, CCTV, secure parking. 💵 Price: TSh 2.7M/month (6-month advance payment). 📲 Contact: WhatsApp 0755 312 233 for viewing. #LuxuryLiving...
  10. Dalali mbeya jiji

    Kijana anatafuta nafasi ya kazi kwa mkoa wa Dar es salaam au Dodoma.

    Habari humu ndani kijana anafuta nafasi ya kazi. Amemaliza CBE DODOMA 2021. Ana Diploma Bissness Administration. Ni kijana mwaminifu na muadilifu sana. Mawasiliano. +255761972755,+255612246050. Tumsaidie apate ajira ndugu zanguni
  11. Komeo Lachuma

    Mgawanyo wa Kiimani maeneo mbalimbali Dar Es Salaam

    Haya maeneo yana ndugu wa Imani ya Kiislamu wengi na ni maeneo tulivu mazuri kuishi. Buguruni kwa mnyamani Tandale yote Manzese yote Ilala Magomeni Kinondoni Mwananyamala Temeke Mburahati Tandika Mbagala Mabibo Vingunguti Kigogo Boko Buza Tabata 50 Chanika 50 Na Haya maeneo yana ndugu wa...
  12. Yusufu Mjasili

    Tunatengeneza furniture za maofisini na majumbani kwa gharama nafuu. Tupo Mabibo jijini dar es salaam karibu na chuo cha usafirishaji NIT. 0715 494920

    Karibu sana..
  13. Pfizer

    RC Chalamila kuwalipia nauli wana Dar Es Salaam 200 kushiriki betika Mbeya Tulia Marathon

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo April 15,2025 akiongea na waandishi wa Habari Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam wakati akikabidhiwa Jezi maalum ya kushiriki Betika Mbeya Tulia Marathon ambayo mwaka huu inatarajiwa kufanyika Mei 9 - 10, 2025 Jijini Mbeya...
  14. Blaszczykowski

    Kiwanja kinauza nusu Heka - Dar es salaam - Bunju A

    Habari . Kiwanja kinauza takribani nusu heka kipo Dar es salaam -wilaya kinondoni -Bunju A karibu na Sarafia school. Price - 95m maongezi yapo -kutoka bagamoyo road mpaka site NI DK 10 Tu ( mtaa WA madoctor ) Full document zipo ukitaka kupaona anytime nipo apa Bunju WhatsApp / call 0715160365
  15. hon daniel killion

    Kufahamu vituo vya kazi katika taasisi mbalimbali kama vile NEMC, IAA, TBC,VITUO VYA USAILI: ARUSHA, DAR ES SALAAM, DODOMA, MBEYA, MWANZA NA ZANZIBAR

    Habari wanaJF, kama naomba kufahamu kwa upande wa dar ni wapi panafanyikia huo usahili wa MCHUJO(WRITTEN INTERVIEW) katika taasisi tofauttofaut zilizotolewa juzi kama vike AICC, TBC, IAA, ,TPSC, VETA, SUA. maana wao wameandika "VITUO VYA USAILI: ARUSHA, DAR ES SALAAM, DODOMA, MBEYA, MWANZA NA...
  16. Dalali wa kimataifa

    Nyumba mpya inauzwa, bahari beach Dar es salaam

    Gorofa la kumalizia linauzwa ni nzur sana”” Lina vyumba vitano master Ukumbwa wa kiwanja ni square mitter 1200” Price million 500” maongez yapooo Kuna hat miliki Locationbahar beach 🇹🇿call/whatsapp +255758844717
  17. M

    Naomba kufahamu maeneo kwa Dar es Salaam wanapofundisha mafunzo ya karate!

    Habarini wanaJamiiForums! Kwa Dar es Salaam, ni maeneo yapi yanatoa huduma za kulipia za mafunzo ya karate kwa ajili ya kujihami? Kijana wangu ana miaka 10 na ningependa apate japo abc's za kujilinda mwenyewe. Nitashukuru sana. Regards Amadi!
  18. Just Pray

    Makete: Vijana wachoma moto Jeneza la marehemu wakidai kutokea kwa vifo tata kwa vijana wanaoenda kufanya kazi Dar

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida baadhi ya vijana katika kijiji cha Kilanji kata ya Kipagalo wilayani Makete mkoani Njombe wamechoma moto jeneza lililokuwa limebeba mwili wa marehemu Kasinde Sanga (28) aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam alikokuwa akifanya kazi dukani kwa madai kwamba kifo...
  19. BUMIJA

    Battle:Nairobi university vs Dar es salaam university

    Wasalaam.Mimi kama mdau wa Elimu najiuliza na nina kiu kujua kwamba ni chuo kipi bora hapo. Najua vipo vyuo vikuu bora vingi katika nchi hizi na barani Africa Ila kwa leo tuangalie ubora wa Taaluma na wataalamu wanaopikwa katika vyuo hivi vya Nairobi na Dar es Salaam. Pia tutaangalia...
Back
Top Bottom