cuba

Cuba ( (listen) KEW-bə, Spanish: [ˈkuβa] (listen)), officially the Republic of Cuba (Spanish: República de Cuba [reˈpuβlika ðe ˈkuβa] (listen)), is a country comprising the island of Cuba, as well as Isla de la Juventud and several minor archipelagos. Cuba is located in the northern Caribbean where the Caribbean Sea, Gulf of Mexico and Atlantic Ocean meet. It is east of the Yucatán Peninsula (Mexico), south of both the U.S. state of Florida and the Bahamas, west of Hispaniola, and north of both Jamaica and the Cayman Islands. Havana is the largest city and capital; other major cities include Santiago de Cuba and Camagüey. The official area of the Republic of Cuba is 109,884 km2 (42,426 sq mi) (without the territorial waters). The main island of Cuba is the largest island in Cuba and in the Caribbean, with an area of 104,556 km2 (40,369 sq mi). Cuba is the second-most populous country in the Caribbean after Haiti, with over 11 million inhabitants.The territory that is now Cuba was inhabited by the Ciboney Taíno people from the 4th millennium BC until Spanish colonization in the 15th century. From the 15th century, it was a colony of Spain until the Spanish–American War of 1898, when Cuba was occupied by the United States and gained nominal independence as a de factocode: lat promoted to code: la United States protectorate in 1902. As a fragile republic, in 1940 Cuba attempted to strengthen its democratic system, but mounting political radicalization and social strife culminated in a coup and subsequent dictatorship under Fulgencio Batista in 1952. Open corruption and oppression under Batista's rule led to his ousting in January 1959 by the 26th of July Movement, which afterwards established communist rule under the leadership of Fidel Castro. Since 1965, the state has been governed by the Communist Party of Cuba. The country was a point of contention during the Cold War between the Soviet Union and the United States, and a nuclear war nearly broke out during the Cuban Missile Crisis of 1962. Cuba is one of a few extant Marxist–Leninist socialist states, where the role of the vanguard Communist Party is enshrined in the Constitution.
Under Castro, Cuba was involved in a broad range of military and humanitarian activities throughout both Africa and Asia..
Culturally, Cuba is considered part of Latin America. It is a multiethnic country whose people, culture and customs derive from diverse origins, including the Taíno Ciboney peoples, the long period of Spanish colonialism, the introduction of enslaved Africans and a close relationship with the Soviet Union in the Cold War.
Cuba is a founding member of the United Nations, the G77, the Non-Aligned Movement, the Organisation of African, Caribbean and Pacific States, ALBA and the Organization of American States. It has currently one of the world's only planned economies, and its economy is dominated by the tourism industry and the exports of skilled labor, sugar, tobacco, and coffee. According to the Human Development Index, Cuba has high human development and is ranked the eighth highest in North America, though 72nd in the world in 2019. It also ranks highly in some metrics of national performance, including health care and education. It is the only country in the world to meet the conditions of sustainable development put forth by the WWF. Cuban government policies have largely eradicated hunger and poverty according to the World Food Programme and Cuba boasts the lowest malnutrition death rate in Latin America as a result.International non-governmental organizations and experts consider Cuba as an authoritarian regime, without free and fair multi-party competitive elections and have accused Cuban government of numerous human rights abuses, including short-term arbitrary imprisonment and jailing of political opponents, purges and curtailed press freedom.

View More On Wikipedia.org
  1. meningitis

    Kinyongo cha PolePole na ziara ya Samia Cuba iliyohairishwa ina maana gani?

    Conspiracy or Controversy?? Mwezi Novemba mwaka 2024 ilitaarifiwa kuwa Rais Samia angefika Havana cuba kwa ajili ya kongamano la kimataifa kuhusu lugha ya Kiswahili. Siku chache sana kabla ya ziara ikatangazwa kuwa Ziara hiyo imehairishwa na siku moja kabla kabla tamko la waziri wa mambo ya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Polepole: Tunaweza kuwa na mitungi ya 2,000 kama Cuba, lakini tuna viongozi wabaya hawaelewi maslahi mapana ya nchi yetu

    Polepole: Tunaweza kuwa na mitungi kwa bei ya 2000 kama Cuba, lakini tuna viongozi wabaya awaelewi maslai mapana ya nchi yetu.
  3. chiembe

    Ezekiel Kamwaga: Cuba mtungi wa gesi unaanzia laki moja na nusu mpaka laki tatu

    Haya sasa, kuna watu walidhani taarifa za Cuba hazipatikani. Uongo mkubwa umedhihiri. Tanzania ya sasa ni ya wasaka taarifa
  4. Getrude Mollel

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Jana Agosti 29, 2025, Humphrey Polepole kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii alidai kwamba mtungi wa gesi ya kilo 15 nchini Cuba unauzwa kwa shilingi 2,000 za Kitanzania. Kauli hii imeibua mjadala, lakini inapochunguzwa kwa makini kwa kutumia takwimu na taarifa rasmi, inabainika kwamba...
  5. T

    Polepople: Cuba mtungi wa gesi wa kilo 20 unauzwa TZS 2,000/=. Tanzania unauzwa 55,000/= TZS.

    JF Polepole anasema, Cuba mtungi wa gesi wa kilo 20/= unauzwa 2000/= TZS. Tanzania tunauziwa 55,000/= TZS. Aisee hii nchi kwishne..
  6. Ponjoro wa Kinondoni

    Rais Samia mteue Dr. Bashiru Ally Kakurwa akatuwakilishe kama balozi nchini Cuba

    Mh. Tafadhali mpeleke Dr Bashiru Cuba kabla hujatangaza kupumzika na kumwachia mwanachama mwingine kugombea urais mwaka huu. Asante kwa kuelewa, wasalimie sana hapo ikulu.
  7. GENTAMYCINE

    Nauliza tu hivi Polepole angeendelea kuwa Mwenezi CCM Taifa au Balozi wa Cuba haya anayoyafichua sasa Serikalini na CCM alipanga kutuambia lini labda?

    Tafadhali nawaomba mlio nae karibu na kumuunga mno mkono mniulizie hili Swali kisha ama Yeye au Nyie mje Kunijibu.
  8. Dr Akili

    Kumbe 2015 Warioba angelikuwa rais wa JMT na 2025 angalimwachia Polepole. JK atamtupa Burundi na SHS akamtupa dogo Cuba. Siri kaitoa mwenyewe dogo

    Jana Humphrey Polepole ameweka wazi kile anachokililia ambapo hapo mwanzo hakikueleweka na wengi tukadhani labda akili zimemfyatuka. Polepole ametoa siri ya mpango wa mtandao wao wa kuchukua kiti cha urais wa mwaka 2015 na 2025. Mtandao huo unahusisha vigogo kadhaa kwenye serikali ya JMT na...
  9. K

    Tanzania mfumo wa Kidikteta unashidwa CCM amkeni TZ sio China wala Cuba

    Tanzania mfumo wa Kidikteta unashidwa CCM amkeni TZ sio China wala Cuba. Utamaduni wa Tanzania tunapenda uhuru na hatufananini kwenye imani, elimu, makabila huwezi kufanikiwa kwenye mfumo kama wa CCM wanaoutaka wa Cuba na China. Lakini kingine hata viongozi wa CCM wanapenda maisha ya kifahari...
  10. Ponjoro wa Kinondoni

    Rais Samia alikosea sana kumpeleka Cuba ndugu Humphrey Polepole

    Kama umesomea Cuba na ukafanikiwa kupata angalau D 2, utafahamu kuwa mjamaa yeyote akifika Cuba (ardhi ya mwanamapinduzi mjamaa hayati Fidel Castro) lazima apate vibe la kimapinduzi na lazima atakuzingua tu kama unaendekeza ubepari. Ndio haswa kilicho tokea. Polepole amenipa sababu nyingine ya...
  11. Z

    Cuba na Urusi kuna nini, zama zilee za mwalimu, wasomi wetu walio enda kusoma nchi hizo walirudi wakiwa wamechanganyikiwa (data)

    Huo ndio ukweli, watu wa miaka ya zamani watakumbula kuwa, wasomi wetu walio somea Cuba au Urusi walikuwa wamechanganyikiwa! Kwa miaka ya hivi karibuni mtamkumbuka Dr. Shika sasa marehemu, ambaye pia alisomea huko Urusi alirudi akiwa amedata. Wapo wengi tunawajua wengime wametangulia mbele za...
  12. mwehu ndama

    Lilikuwa kosa la kimfumo kumpa Polepole ubalozi Cuba

    Nimemsikiliza professor wa shule ya uongozi , chuma cha mjerumani ndugu" slowslow ", kwa Kujiamini kwake na namna alivyojipanga kusukuma kete zake. Niwazi mtu huyu alipata zaidi ya uzoefu wa kisiasa alipokuwa katika utumishi wake pale Cuba, huyu sio yule Polepole mchelemchele. Huyu wa sasa ni...
  13. Fbn

    Kwa navyo wafahamu CCM na serikali wanaweza kuogopa kupeleka balozi Cuba sasa

    Kwa jinsi karata zilivyochezwa walijua huyu jamaa atakuwa kama jina lake pole pole kumbe kawa kasi kasi sasa na mbinu alizotumia. Usijeshangaa tanzania itagoma kupeleka balozi au hata mtu kwenda huko kukawa kikwazo wakijua ndio watu wanapata ujasiri na kuwa ubobevu ambao leo idara zilizotakiwa...
  14. GENTAMYCINE

    Naomba kujua Mafanikio yaliyopatikana kwa Tanzania kutoka nchini Cuba tangia Polepole awe Balozi au lolote la maana alilolifanya huko

    Nasubiria kuyasoma hapa hayo Mafanikio. Asanteni.
  15. Ojuolegbha

    Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia

    Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia kujiuzulu kwake hivi karibuni. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo Julai 16, 2025 , Kombo alieleza kushangazwa na kauli za Polepole...
  16. MSAGA SUMU

    Tetesi: Gambo kupelekwa Havanna Cuba

    Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi. Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote. JF kuwa wa...
  17. S

    Jambo nina uhakika nalo ni kwamba kuna team imeundwa iko busy kutafuta namna ya kumchafua Polepole, usishangae ukisikia kaiba fedha za ubalozi Cuba!

    Hawa CCM na serikali yao siku hizi wamekuwa predictable sana. Baada ya hii barua ya Polepole ya kujiuzulu na kuukosoa uongozi wa Raisi Samia hadharani, utakuta kuna team maalum imewekwa kutafuta namna ya kumchafua. Sasa hivi utaona statements zikianza kutolewa kuhusu maovu aliyofanya...
  18. W

    SI KWELI PreGE2025 Utendaji mbovu wa Humphrey Polepole ndiyo sababu ya kuenguliwa

    Wakuu nimekutana na hii Taarifa je ni ya kweli?
  19. Carlos The Jackal

    Vyombo vya Habari Kimataifa: Balozi wa Tanzania nchini Cuba kajiuzulu kuonyesha Kupingana na Uminywaji wa Haki na Demokrasia Nchini humo!

    Wakuu, Kama Kuna Jambo Polepole kalifanyia Taifa hili, na Atabakia kwenye Historia ya Watu Muhimu nchini, ni Hilo la yeye kujiuzulu. Sasa hapa ieleweke, Tatizo sio yeye kujiuzulu, NI TITLE YAKE 'BALOZI' ...yaan BALOZI alochaguliwa na Rais, kajiuzulu. Vyombo vya Habari Kimataifa, Mashirika ya...
  20. Busu la Kenge

    Polepole mjanja Tu anakimbia njia iliyoko Cuba.

    Mods watu wangu wa nguvu badilisheni hapo kwenye heading njaa badala ya njia. Jamaa mjanja mjanja tu. Cuba sasa hivi Kuna njaa Kali. Mgao wa Kila kitu kwaanzia chakula, maji na umeme. Mwana kaona atoroke Kwa njia ya kujiuzulu. Na afunguliwe Tu kesi ya uhujumu uchumi. Kwasababu alipiga Sana...
Back
Top Bottom