covid19

COVID-19 testing can identify the SARS-CoV-2 virus and includes methods that detect the presence of virus itself (RT-PCR and isothermal nucleic acid amplification) and those that detect antibodies produced in response to infection. Detection of antibodies (serology) can be used both for diagnosis and population surveillance. Antibody tests show how many people have had the disease, including those whose symptoms were minor or who were asymptomatic. An accurate mortality rate of the disease and the level of herd immunity in the population can be determined from the results of this test.
Due to limited testing, as of March 2020 no countries had reliable data on the prevalence of the virus in their population. As of 18 April, the countries that made public their testing data have on average performed an amount of tests equal to only 1.1% of their population, and no country has tested samples equal to more than 12% of its population. There are variations in how much testing has been done across countries. This variability is also likely to be affecting reported case fatality rates, which have probably been overestimated in many countries, due to sampling bias.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    Iraq: 82 wafariki baada ya mitungi ya oksijeni kulipuka katika hospitali inayohudumia wagonjwa wa covid-19

    Watu 82 wamefariki wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa baada ya mitungi ya oksijeni kulipuka katika hospitali ya Ibn Khatibu ambay ina wagnjwa wa COVID19, Jumamosi Usiku. Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al-Kadhimi amemsimamisha kazi Waziri wa Afya ili kupisha uchunguzi wa tukio hilo. === At least...
  2. Analogia Malenga

    Uganda: Madaktari wataka chanjo ya Covid19 iwe ya hiari

    Umoja wa Madaktari nchini Uganda (UMA) wamepinga suala la kulazimisha watumishi wa Afya na raia kupatiwa chanjo ya COVID19 kilazima. Wametahadharisha kuwa yatakapotokea matokeo yoyote serikali itawajibika. Uganda imepata upinzani hata kwa wahudumu wa Afya ambao hawajawa tayari kuchoma chanjo...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mchungaji Lucy Natasha amechanjwa COVID19 achana na tatoo yake

    Together with my Pastoral team, I took the COVID - 19 AstraZeneca Vaccine at RFH Health Care in adherence to Government and Medical recommendations for clergy and frontline workers as we combine our efforts in overcoming this global pandemic. This too will pass and people will get back to...
  4. Analogia Malenga

    Wakenya wanazidi kunyooshwa na covid19

    Wizara ya Afya ya Kenya imetangaza maambukizi 1030 mapya ya corona zilizothibitishwa saa 24 zilizopita. Hii inafanya maambukizi kufikia 145,184. Kasi ya maambukiziimefika 12.4% Watu 1,616 wamelazwa katika vituo vya afya, wengine 4,243 wakiwa wanaangaliziwa nyumbani wakiwa wamejitenga. Katika...
  5. Analogia Malenga

    Kenya: Watu 279 wamedhurika baada ya chanjo ya covid19, mmoja afariki

    Watu 279 wamepata madhara baada ya kuchoma chanjo ya COVID19 ya Astrazeneca huku watu 7 wakiwa na dalili za hatari na mmoja akiripotiwa kufariki. Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya Kenya imeanza uchunguzi wa kifo kilichoripotiwa na majibu yatatoka Ijumaa, Aprili 9, 2021. Kaimu Mkurugenzi wa PPB...
  6. Analogia Malenga

    Kenya: 20 wafariki na wengine 460 wakutwa na maambukizi ya COVID-19 ndani ya saa 24

    Watu 20 zaidi wamefariki kutokana na kupata Virusi vya Corona na kufanya idadi ya watu waliofariki kwa Corona nchini Kenya kufikia 2,244 Aidha watu 460 wameripotiwa kupata maambukizi ya virusi kwa saa 24 zilizopita idadi inayofanya walioambukizwa kufikia 139,448 Wizara ya Afya imetangaza watu...
  7. mjingamimi

    Wakenya washinikiza kuondolewa kwa masharti ya kuzuia corona

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Sisi Huku kanuni yetu NI ile ile. Ukifa unazikwa tunaendelea na maisha
  8. Analogia Malenga

    Facebook yafungia akaunti ya Rais wa Venezuela kwa kupotosha kuhusu covid19

    Mtandao wa kijamii wa Facebook umeifunga akaunti ya Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro kwa kutoa taarifa za kupotosha kuhusu Virusi vya Corona Rais Madura alichapisha kwenye ukurasa wake video ambayo ilionesha aina fulani ya dawa ya asili inaweza kutibu Virusi vya Corona Imedaiwa kuaw hii si...
  9. R

    Angalia jinsi COVID19 inavyoathri internal vital body organs

    In severe cases organs zote zinakuwa "mfu". halafu mtu anasema Corona iamue kukaa kwa adabu au itupishe! by Polepole
  10. Analogia Malenga

    Rwanda: Masharti kupambana na Covid19 yalegezwa

    Rwanda imetangaza kulegeza masharti ya kupambana na kusambaa kwa maambukizi ya Virusi vya Korona. Zikiwa zimepita siku nne baada ya Rais Paul Kagame na Mkewe kupata chanjo Agizo litatekelezwa kuanzia Machi 16, 2021. Watu hawatatakiwa kutembea kuanzia saa tatu usiku hadi saa kumi alfajiri na...
  11. Mzee Mwanakijiji

    Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

    Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini? Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango. Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais...
  12. Analogia Malenga

    Raila Odinga akutwa na COVID-19

    Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amekutwa na maambukizi ya #COVID19 lakini anaendelea vizuri katika hospitali ya Nairobi ambako amelazwa Odinga alilazwa tangu March 9 baada ya kuwa na uchovu mwingi na maumivu. Ambapo nduguze walisema hakuwa na dalili za shida za mapafu lakini...
  13. Analogia Malenga

    Raila Odinga alazwa Nairobi Hospital

    Kiongozi wa Chama cha ODM nchini Kenya amelazwa Hospitali ya Nairobi kutokana na kuwa na mchoko sana na mwili wake kuwa unamuuma Kaka wa Odinga, Oburu Odinga amesema ndugu yake haijaonesha dalili za magonjwa ya mfumo wa hewa, lakini hadi wameondoka hospitali majibu ya #COVID19 yalikuwa bado...
  14. Analogia Malenga

    Kenya: COVID19 yaonyesha dalili mpya

    Kenya inahofia kuwa inakumbwa na wimbi la tatu la CoronaVirus baada ya madaktari kugundua dalili mpya kwa wagonjwa wa COVID19. Dalili zilizooneka kwa wagonjwa ni pamoja na kifua kuuma, kuharisha, vidole kubadilika rangi na kuvimba macho. Madaktari wanadhani ya kwamba kirusi kinajibadilisha...
  15. Miss Zomboko

    UNICEF: Athari za COVID19 kuongeza ndoa za Watoto zaidi ya Milioni 10 ndani ya muongo

    Athari kubwa za janga la Covid-19 kwa wanawake katika baadhi ya mataifa huenda zikasababisha ndoa milioni 10 zaidi za watoto katika muongo huu, kwa mujibu wa tathmini iliyotolewa na UNICEF Jumatatu. "Kufungwa kwa shule, msongo wa kiuchumi, kuvurugwa kwa huduma na vifo vya wazazi kutokana na...
  16. M-mbabe

    Serikali ya Saudia yasema "Mwaka huu ni wale Waislamu waliopata chanjo ya COVID-19 pekee ndiyo wataruhusiwa kuhiji Makka/Madina"

    Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Zitto Kabwe. Ameichagiza BAKWATA kuishikiniza serekali ya awamu ya 5 iruhusu chanjo kwa Watanzania ili waweze kutekeleza hii nguzo muhimu sana kwa Waislamu. Hili ni la kwako mzee wetu Mufti Zuberi.....kabiliana na swahiba wako asiyetaka chanjo ili Mungu aendelee...
  17. Jidu La Mabambasi

    Tuache utani, tunataka chanjo ya COVID-19!

    Wanasayansi wana wajibu mkubwa katika kulinda Afya ya Jamii. Wajibu mkubwa zaidi ni madaktari walio wizara ya Afya. Kujifukiza ni hatua moja tu katika kupambana na gonjwa hili baya la covid19. Sasa ni wakati wa kuacha utani, wananchi tunataka chanjo! Kenya wamepata Uganda wameoata Rwanda...
  18. Analogia Malenga

    EACSOF yashauri kuwe na hatua za kikanda za kukabiliana na COVID19 ikiwemo kuwa na chanjo itakayotengenezwa chini ya Africa-CDC

    EACSOF ilikaa Februari 26 kujadili muelekeo wa COVID19 na kushauri njia za pamoja za kukabilina na janga hilo Haya ni Mapendekezo ya EACSOF kwa Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki siku moja kabla ya Marais hao kukutana 1. Wameshauri kuwa na hatua za kikanda dhidi ya gonjwa hili, hasa kuwa na...
  19. Analogia Malenga

    Benki ya dunia yaipa Ghana fedha zaidi ili kununua chanjo za covid19

    Rais wa Benki ya Dunia(WB) David Malpass amesema wamefurahishwa na namna Ghana inavyojizatiti kutoa dozi za chanjo kwa wananchi wake WB ipo katika hatua za mwisho kuipa Ghana dola Milioni 100 sawa na takriban Tsh. Bilioni 232 ili kununua dozi zaidi za kuwatibu wananchi wake Awali WB ilijiatiti...
  20. matunduizi

    Suala la Covid19, nimegundua Wachina, Wazungu wana roho mbaya

    Covid 29 na HIV aids vyote ni virus. Siku zote HIV aka Ngoma inakwanyua Waafrika hakuna pupa wala uharaka wa kutafuta chanjo. Hapa kamdudu kamewagusa na wao basi wako bize kutafuta chanjo wanaumiza vicha hadi wanapata vipara. Hii inaonyesha Covid ingekuwa afrika tungeachwa tupambane tujifie...
Back
Top Bottom