china

  1. L

    Mradi wa usambazaji maji uliojengwa na China wanufaisha maisha katika mji mkuu wa Angola

    Katika eneo la ujenzi wa Mradi wa Usambazaji Maji wa Quilonga unaotekelezwa na Shirika la Ujenzi wa Nishati la China (PowerChina) mashariki mwa Luanda, mji mkuu wa Angola, wafanyakazi wanashughulika na kazi zao kwa utaratibu mzuri. Figueira Kalunga, fundi wa usimamizi wa usalama, anazunguka...
  2. L

    Madaktari wa China barani Afrika wapongezwa kwa kuleta matumaini kwa wagonjwa

    Nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikikabiliwa na changamoto kubwa za huduma za afya, ikiwa ni pamoja na uhaba mkubwa wa wataalamu na ukosefu wa miundombinu. Licha ya msaada mkubwa wa kimataifa, juhudi za Timu za Madaktari wa China katika kushughulikia masuala ya afya barani Afrika si jambo la...
  3. L

    Wanafunzi wa Kenya wapata ufadhili wa kusoma lugha ya Kichina nchini China

    Lugha ya Kichina imeendelea kupata umaarufu katika nchi mbalimbali duniani, na imekuwa ni chaguo kwa vijana wengi ambao wanaona faida yake katika soko la ajira. Shule nyingi duniani hasa za barani Afrika zimejumuisha lugha hii kwenye mitaala yao ya masomo, ikionyesha jinsi ambavyo lugha hii...
  4. Mi mi

    1927 Chama cha kikomunisti cha China kilianzisha jeshi lake

    Mwaka 1921 chama cha kikomunisti cha China CPC kilizaliwa rasmi. Kupitia uonezi uliokuwa ukitendwa na serikali ya Jamhuri ya China chini ya chama tawala Kuomitang KMT na ukoloni uliokuwepo China,chama cha kikomunisti cha China kilianzisha jeshi lake kuzuia hayo na kuikomboa China yote. 1927...
  5. Yoda

    China wajenga daraja kubwa kuliko yote duniani

    Wametumia miaka mitatu na nusu tu kujenga na kumaliza kabisa daraja lote, kwa mwendo huu ndio maana Wachina wameridhika na utawala wa uimla wa Wakomunisti maana ni kama wanawatendea raia wao miujiza katika maendeleo.
  6. Fbn

    Kuna jambo Serikali ya nchi fulani sasa inataka kuamua ni nchi gani iantaka kuishi nayo ya kuendelea. Naona wanaomba China na Urusi

    CODE DMZ: Kuna chama sasa kinaona kinaelekea kuwa msituni kuangalia upepo wao kuishi madarakani mpaka mayai yao na hiki chama? Kinachoelekea ni hatari sana.Siwezi kuwa muwazi kuna meri zitakuja na zengine zipo wakizani wanalindwa.
  7. Chizi Maarifa

    China yasema Dunia nzima hofu yake ni Marekani tu. Akina Russia si kitu

    Haya maneno mazito sana na ya kufikirisha. Ina maana Korea, Irani, Russia hawazioni kama ni Mataifa ya hatari kwao hawa Wachina? Huyu Benjamini ana jiamini nini mpaka kutaka tunishiana misuli na China? Ajue China siyo Iran au Syria au Yemen. Anyway. Nachomkubali Netanyau ni kujiamini kwake na...
  8. tonicimmobility

    Kwa wenzetu ukiskika na tuhuma za hongo tu unahukumiwa kifo ila bongo hata mwenye tuhuma za kulawiti anaweza tolewa siku hiyo hiyo aliyoshtakiwa

    Aliyekuwa waziri wa kilimo China ahukumiwa kifo kwa kashfa za hongo Waziri wa zamani wa Kilimo wa China, Tang Renjian, amehukumiwa adhabu ya kifo iliyositishwa kwa miaka miwili, baada ya kupatikana na hatia ya kupokea hongo ya takribani Yuan milioni 268 (sawa na Dola milioni 38 za Marekani)...
  9. W

    Kimbunga Ragasa chafika China baada ya kuua watu 17 Taiwan

    Kimbunga kikubwa Ragasa kimeingia nchini China na kusababisha taharuki kubwa, huku watu wapatao milioni mbili wakilazimika kuhamishwa. Huko Taiwan, takriban watu 17 wamefariki dunia baada ya bwawa la maji kuvunja kingo zake na kusababisha mafuriko makubwa mashariki mwa kisiwa hicho. Wataalamu...
  10. PROFOUND NOTION

    Karibia vi-nchi vyote vilivyodanganywa na Urusi na China kuhusu ujamaa vimebaki na umasikini wa kutupwa

    Cuba Vietnam Tz Zambia North korea Laos Cambodia Mozambique Albania Na wengine sana tu.. Vilichezewa foul bila kujijua kuwafaiddisha wao pekee. UKOMONISTI NI USHETANI
  11. L

    Mijadala ya sera kati ya Tanzania na China kuinufaisha Tanzania katika utekelezaji wake wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

    Wakati China ikielekea kuainisha mipango yake ya maendeleo ya taifa kwa miaka mitano ijayo (2026 hadi 2031) baada ya kumalizika kwa Mpango wa 14 wa Miaka Mitano wa China (2021-2025), hivi karibuni Tanzania imezindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kufikia lengo kuu la kujenga Taifa jumuishi...
  12. L

    Jumba la Utamaduni lachanganya sanaa, maendeleo ya mafuta na urafiki wa China na Uganda

    Mchoro wa ukutani wenye urefu wa mita 80 unaoonyesha ndege wa taifa wa Uganda, korongo, pamoja na dragon wa China anayeashiria maelewano, ulisimama kama kitovu cha tamasha la jadi lililofanyika hivi majuzi katika Kijiji cha Kasinyi, jamii iliyopo mbali katika Wilaya ya Buliisa magharibi mwa...
  13. L

    Wataalamu wa Afrika wapongeza nafasi ya China katika kuendeleza haki ya maendeleo ya Afrika

    Wataalamu wa Afrika wamepongeza nafasi ya China katika kuendeleza haki ya maendeleo katika bara zima la Afrika, wakisisitiza namna inavyoheshimu njia ya kipekee ya maendeleo ya kila nchi. Hayo yameejiri wakati Semina ya Kwanza ya Haki za Binadamu kati ya China na Afrika ilifanyika Ijumaa huko...
  14. ELI COHEN

    Vijana wa itikadi kali wako obsessed sana with USA na Israel hadi wanasahau kile china inachowafanyia wenzao wa Uyghurs

    NO JEWS , NO NEWS NO US, NO CASE.
  15. Richard

    Ifahamu Wizara ya Usalama wa taifa ya China na majukumu yake kwa nchi hiyo kubwa Duniani

    https://www.youtube.com/watch?v=j1UH7Yn6gSg Hii ni makala ya pili inozungumzia nchi ambazo zina wizara kamili inoshughulikia Usalama wa taifa. Wiki ilopita nilizungumzia umuhimu wa raisi ajae kufikiria kuanzisha wizara ya Usalama wa taifa ambayo itashughulikia usalama wa nchi na mipaka yake na...
  16. Damaso

    Ukosefu wa Usawa katika Mikopo ya Kibiashara

    Ni jambo la kushangaza na lenye kuibua maswali makubwa kuhusu usawa katika mazingira ya biashara kati ya Tanzania na China. Mfanyabiashara wa China anapokopa katika benki za kibiashara nchini kwao hulipa riba ya takribani asilimia 3 pekee. Lakini mfanyabiashara wa kitanzania anapokopa katika...
  17. Traxtion

    China imejenga daraja refu zaidi duniani linaloshikiliwa kwa nyaya (cable-stayed bridge)

    China imezindua Changtai Yangtze River Bridge huko Jiangsu, daraja jipya linaloshikiliwa kwa nyaya lenye span kuu ya mita 1,208, na kuweka rekodi kama the longest of its kind. Daraja hili limefunguliwa Septemba 2025 na ni la kipekee kwa kuwa linachanganya expressway, barabara ya kawaida na reli...
  18. Yoyo Zhou

    China na Afrika zaimarisha ushirikiano wa kunufaishana wa kibiashara

    Takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Idara Kuu ya Forodha ya China zinaonesha kuwa, katika miezi minane ya kwanza ya mwaka 2025, thamani ya jumla ya biashara ya nje ya China ilifikia yuan trilioni 29.57, ambalo ni ongezeko la asilimia 3.5 ikilinganishwa na mwaka jana kipindi kama hicho. Mauzo...
  19. N

    Kampuni ya CATL ya China imezindua betri za gari linalotumia umeme (EV) za kizazi kipya mjini Munich

    Kampuni ya CATL ya China, kampuni kubwa zaidi ya kutengeneza betri duniani, jana Jumapili imezindua betri za gari linalotumia umeme (EV) za kizazi kipya mjini Munich, Ujerumani, kwa ajili ya soko la Ulaya, ikionyesha ushawishi wake na dhamira yake inayoongezeka katika kanda hiyo. Uzinduzi huo...
  20. Mi mi

    Kwanini Marekani haivamii China kisa changamoto ya madawa ya kulevya kama wanavyotaka kuivamia Venezuela?

    Nchi ya marekani kila siku imekuwa ikihituhumu China kuhusu changamoto ya fentanly na matumizi yake ndani ya nchi ya marekani. Marekani mara kadhaa inasema China ina zalisha kwa wingi na kupenyeza fentanly ndani ya marekani ili watu wake waathirike na waharibikiwe. Sasa kupitia malalamiko hayo...
Back
Top Bottom