china

  1. JamiiForums Tanzania Msaada wa kusafirisha vifurushi kutoka China

    Ndugu zangu habari yenu, Ninahitaji msaada wa kampuni isiyo na longo longo ya kusafirisha parcels kutoka China, Lengo ni kununua bidhaa toka Pinduoduo. Nahitaji inayo kubali kusafirisha parcel ndogo ndogo.
  2. JamiiForums Tanzania Vikwazo dhidi ya teknolojia ya AI ya China vyapingwa na mashirika ya Marekani

    Baadhi ya wanasiasa wa Marekani hivi karibuni walidai kuwekea vikwazo dhidi ya teknolojia ya Akili Bandia (AI) ya China, lakini wamekumbana na upinzani mkali kwanza kutoka kwa makampuni mapya karibu 200 ya Silicon Valley nchini humo, yakishirikiana na makampuni makubwa yakiwemo Meta, Nvidia, na...
  3. JamiiForums Tanzania Masoko ya Magharibi v/s soko la China

    Hivi ni lazima wafanyabiashara wote wakawa wanakimbilia china kufata mizigo yao? Kwanini wengi hawakimbilii usa au europe kufata bidhaa na kuzileta nchini ilihali jeans saivi ya china dukani unaipata kwa 30k. Na jeans kama levi unaipata kwa kuanzia 40k kuendelea? Tshirt pia nyingi unazipata...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Rocket ya China yalipuka muda mfupi baada ya kurushwa angani

    Tazama jinsi roketi ya China ilivyolipuka muda mfupi baada ya kurushwa angani Roketi ya China, Long March 7A, ilishindwa kuendelea na kulipuka wakati wa kurushwa kwake Agosti 10 huko Wenchang, Hainan, China. Vyombo vya habari vya serikali viliripoti kuwa hitilafu hiyo ilitokana na "tatizo lisilo...
  5. X

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    "China is awesome. I strongly encourage people to visit." — Elon Musk Hii ndiyo kauli ya Elon Musk kwenye ukurasa wake wa X (Twitter), mtu ambaye si mtazamaji wa mbali bali ni mfanyabiashara mwenye uwekezaji mkubwa China kupitia Tesla Shanghai gigafactory Musk ameiona China kwa macho yake...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Shindano la uvumbuzi linaloungwa mkono na China lawapa vijana wa Afrika uwezo wa kukabiliana na changamoto za ndani

    Wakati alipopanda jukwaani kuonyesha ustadi wake wa matibabu ya jadi ya Kichina (TCM), Rebaone Monama, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Johannesburg nchini Afrika Kusini, aliibua shangwe kubwa kwa hadhira iliyokuwa imetulia kwa baridi ya jioni katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi. Monama alikuwa...
  7. JamiiForums Tanzania China imeonyesha ndege isiyo na rubani ya KVD002!!!

    China imeonyesha ndege isiyo na rubani ya KVD002 ya upelelezi na mapigano ikishambulia shabaha ya baharini inayosonga wakati wa mazoezi ya kijeshi ya hivi karibuni, ikiashiria maonyesho ya kwanza ya umma ya ndege isiyo na rubani ikishambulia shabaha ya uso inayozunguka baharini. KVD002 imeundwa...
  8. JamiiForums Tanzania Sababu za Marekani kukosa ushawishi dhidi ya China katika ushirikiano wa miundombinu na Afrika

    China na Angola hivi karibuni zimesaini makubaliano kuhusu mradi wa ujenzi wa bandari mpya huko Barra do Dande wenye thamani ya dola milioni 900 za Kimarekani. Angola ni moja ya nchi muhimu zaidi ambayo Marekani na China zinashindania ushawishi barani Afrika. Marekani imewekeza sana katika njia...
  9. JamiiForums Tanzania China tech on Tiktok

    TikTok - Make Your Day This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
  10. JamiiForums Tanzania Ukifika China uwezi kuona haya mapikipiki yao wanayouza Africa wanatumia kwao zaidi pikipiki za umeme

    Nilichoshangaa kwa wachina kwao hawatumii kabisa hizo wanazotengeneza wanatuletea sisi.Hata mtu wa derived uwezi kukuta anatumia. Najiuliza ni kwamba wameona hayana ubora kwenye miji yao mikubwa au uchafu.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Tunaenda kushuhudia Marekani inashindwa vita na Iran. Wachina na Warusi ni wahuni sana

    Nadhani Washauri wa Trump hawakufanya Tathmini ya kutosha kuingia vitani na Iran. Vita vilipochanganya na Marekani alipoanza kupoteza akaenda Kumuomba RAIS wa china asimuizie silaha Iran,Xi akamuhakikishia hata muuzia. Akamlaumu Putin kua aache kumsaidia Iran,Putin akasema hatomsaidia. Hivi...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Ushirikiano kati ya China na Visiwa vya Comoro umezaa matunda mengi

    Uhusiano na ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika umedumu kwa zaidi ya miaka 70, tangu wakati China ilipoanzisha uhusiano wa kidiplomasia na nchi hizo za Afrika. Katika kipindi hicho, China imedhihirisha lengo lake la kujenga jamii ya binadamu yenye mustakabali pamoja kati ya China na...
  13. JamiiForums Tanzania Gharama ya “kujitenga” na China ni kiasi gani? Dola trilioni 23.6 za Kimarekani!

    Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Gazeti la Financial Times la Marekani, imenukuu utafiti uliofanywa na kampuni ya ushauri wa kimkakati duniani Ernst & Young-Brexit, ikisema kama Marekani, Umoja wa Ulaya, na Uingereza zinataka kuondoa kwa kiasi kikubwa utegemezi wao kwa viwanda vya China na...
  14. JamiiForums Tanzania Changamoto ya Visa ya China Tanzania: Tatizo ni Madalali, Sio Ubalozi

    Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu ugumu wa kupata nafasi ya kuwasilisha maombi ya Visa ya China nchini Tanzania. Watu wengi huilaumu Ubalozi wa China, lakini kwa mtazamo wangu, tatizo kubwa si ubalozi wenyewe, bali ni mtandao wa madalali na watu wa kati ambao wamejijengea mfumo wa kujipatia...
  15. JamiiForums Tanzania Dkt. Rhimo Nyansaho: Miaka 99 ya Jeshi la China iwe chachu ya kuimarisha ushirikiano wa Ulinzi na Tanzania

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na China katika diplomasia ya ulinzi ili kuimarisha usalama, maendeleo na uchumi endelevu wa mataifa hayo. Dkt. Nyansaho amesema hayo tarehe 21 Julai, 2026...
  16. X

    JamiiForums Tanzania China imeachia bomu jingine kwenye ulimwengu wa AI — Kimi K3

    Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa kampuni changa ya Moonshot AI, Dkt. Yang Zhilin (miaka 34), ambaye ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Tsinghua, amezindua modeli mpya ya akili bandia (AI) iitwayo Kimi K3. Kimi K3 imekuwa miongoni mwa modeli za AI zilizozungumziwa zaidi mwaka 2026 kutokana na uwezo wake...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Madaktari wa China wanawasaidia wagonjwa kupata nafuu kupitia upasuaji wa uvamizi mdogo

    Kwa zaidi ya muongo mmoja, Khadija Ali Saleh aliishi na maumivu makali ambayo hatua kwa hatua yaliondoa furaha na ubora wa maisha yake. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 76, mkazi wa Zanzibar, Tanzania, alisumbuliwa mara kwa mara na vipindi vya kiungulia kikali na maumivu kifuani...
  18. L

    JamiiForums Tanzania Timu ya madaktari wa China yasaidia kuimarisha uwezo wa afya nchini Botswana

    Timu za madaktari wa China zimekuwa msaada mkubwa kwa afya ya jamii katika nchi nyingi zinazoendelea, zikiwemo za Afrika. Katika nchi nyingi za Afrika, licha ya changamoto za lugha, madaktari hao wamekuwa msaada mkubwa kwa kuungana na madaktari wazawa katika kutoa elimu ya afya, utambuzi wa...
  19. L

    JamiiForums Tanzania Watu wa Afrika waipendelea zaidi China, huku ushawishi wa Marekani ukipata pigo kubwa

    Kura ya maoni ya hivi karibuni ya Kituo cha Utafiti cha Pew inaonyesha kwamba taswira ya Marekani imeharibika vibaya barani Afrika wakati wa miaka miwili ya kwanza ya muhula wa pili wa rais Donald Trump. Watu waliohojiwa katika nchi za Ghana, Kenya, Nigeria, na Afrika Kusini, tatu kati ya hizi...
  20. JamiiForums Tanzania Kama una graphic Card ya computer kwa sasa China wanaweza kuongeza uwezo utakao

    Hapa naona Nvidia anazidi kuchanganyikiwa na hawa Wachina. Nvidia alijiona kuwa ndio mtu pekee uwezi kubadilisha vifaa vyake uwezo kwenye card. Sasa wachina walichofanya ni kwamba unaweza kununua graphic card ya 8Gb na ukaipeleka 48Gb na ikafanya kazi kama graphic mpya yenye uwezo kama mpya.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…