Rais Samia China Kilele cha FOCAC

Rais Samia China Kilele cha FOCAC

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
636
Reaction score
570
LEO KATIKA KUMBUKUMBU

03 Septemba 2024 — Ziara ya China na ushiriki FOCAC

Tarehe 03 Septemba 2024, Rais Dr.Samia Suluhu Hassan aliwasili Beijing, China, kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa FOCAC (China–Africa Cooperation).

▪︎ Hili ni tukio muhimu kwa kumbukumbu ya diplomasia na ushirikiano wa Tanzania na China.
IMG-20260903-WA0259.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom