Chopa ya CHAUMMA yaanza kufanya ziara Tanga

Chopa ya CHAUMMA yaanza kufanya ziara Tanga

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,919
Reaction score
6,529
Leo Jumamosi Julai12, 2025 Chama Cha ukombozi wa umma CHAUMMA kimeanza ziara zake mkoani Tanga kwa kutumia usafiri wa Helkopta maarufu kama 'Chopa', wakianzia Wilayani Korogwe na Jioni hii wakitarajiwa kuwa na Mikutano yake Tanga Mjini. Katika ziara hiyo Viongozi mbalimbali wa Kitaifa wanashiriki.

snapins-ai_3675137626597912277.jpeg
snapins-ai_3675137626597992183.jpeg
 
Back
Top Bottom