chaumma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wavuvi Lindi: Mama Samia hatuna cha kukulipa zaidi Octoba 29 tunatiki kwako tu!

    Naona wasanii wakiendelea kutumika kweli kweli na CCM, najiuliza muafaka wao ni upi baada ya uchaguzi huu? Lakini wananchi baadhi yao wameonyesha kumuunga mkono Samia na kusema amefanya mengi sana na wao hawana cha kumlipa zaidi ni kumpa kura za ndio Oktoba 29, 2025 ili aendeele kuwaletea...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salma Kikwete arahisishiwa Kazi Jimboni, Mgombea Ubunge CHAUMMA, Mchinga, Yusuph Tamba atimkia CCM

    Aliyekuwa mgombea ubunge kupitia tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Jimbo la Mchinga, mkoani Lindi, Yusuph Tamba, amejiunga rasmi leo, tarehe 25 Septemba 2025, na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama hicho, Samia Suluhu Hassan, mkoani...
  3. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Devotha Minja aahidi Chaumma kufufua zao la Kahawa Kilimanjaro

    Mgombea mwenza wa urais Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema chama hicho kikiingia madarakani kitafufua zao la kahawa Vunjo na Kilimanjaro kwa ujumla ili uchumi wa watu ukue. Aidha amelaumu changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana wa Kilimanjaro akisema imekuwa sababu...
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Sugu awaomba CHADEMA kuiunga mkono CHAUMMA kutafuta kura za urais

    Wakuu Ni kweli Sugu amesema CHADEMA iwaunge mkono CHAUMMA kutafuta kura za urais au ni uzushi? mwenye ukweli wa wa hizi taarifa naomba msaada.
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea ubunge CHAUMMA Amnadi diwani Act -Wazalendo Same

    Mgombea ubunge Same Magharibi Mkoa wa Kilimanjaro kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Gervas Mgonja, ametumia mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo Septemba 17,2025 katika uwanja wa Cooperative, kumnadi mgombea udiwani wa Mhezi jimboni humo kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Anthony...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Chaumma yaahidi Mfumo Wazi wa Usimamizi wa Miradi ya CSR Iwapo itaingia Madarakani

    Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeahidi kuweka mfumo wa uwazi na kudumu wa usimamizi wa miradi ya Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii (CSR) ikiwamo migodi, iwapo kitachaguliwa kuongoza nchi Oktoba 29, mwaka huu. Kampuni zinatakiwa kutumia sehemu ya mapato yao kupitia CSR kuwekeza katika...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Agnesta: WanaCCM wameniamba urais watampa Samia, Ubunge CHAUMMA

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA) Agnesta Lambert Kaiza amesema wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo hilo wamemwambia kuwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu kura ya Urais watampigia mgombea wa CCM Samia Suluhu Hassan, huku kura ya...
  8. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aliyekuwa kada wa CHADEMA adai alifanya usaliti kuhamia CHAUMMA

    Bw. Bismass Shillah aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na baadae kuhamia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ametangaza kurejea rasmi CHADEMA kwa kile alichodai kuwa amegundua alifanya usaliti kwa kuangalia tamaa yake ya ubunge. Ameyasema hayo leo Septemba 11, 2025...
  9. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHAUMMA: Tutakuja na mkakati wa kilimo cha umwagiliaji

    Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bibi. Devotha Minja, ameanza ziara yake mkoani Tabora ya kuomba kura za wananchi kukipa ridhaa chama hicho kuongoza Tanzania huku akikiahidi wakiingia madarakani kukibadili kilimo hapa nchini, kuwa cha umwagiliaji kuachana na...
  10. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Edward Kinabo wa CHAUMMA ataka mdahalo wa wazi na Anjellah Kairuki Jimbo la Kibamba

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Edward Kinabo, Septemba 8, 2025, ameendelea na kampeni zake za mtaa kwa mtaa katika Kata ya Goba, mtaa wa Matosa, akihamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura. Kinabo amemuita mgombea Ubunge wa CCM...
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea ubunge CHAUMMA amnadi Samia jukwaani akipiga kampeni

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma Agnesta Lambert Kaiza amemsifia Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha anatenga fedha za kutosha kwenye mikopo kwa ajili ya wanawake, vijana na wenye ulemavu. "Mama Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani akasema...
  12. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salumu Mwalimu: Nasikia sauti ya Mungu, Siukimbilii urais kwa sababu nautamani kwa masilahi yangu

    "Siukimbilii urais kwa sababu nautamani kwa masilahi yangu, ila naisikia sauti ya Mungu, ikiniambia nenda kawasaidie watanzania wenzako na hiyo ndio inanipa ujasiri." "Nchi hii imejaliwa kila aina ya neema, madini kila kona, bahari, mito na ardhi takatifu, nchi imejaliwa vivutio vya kila aina...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Ubunge CHAUMMA Segerea ampongeza Rais Samia kwa Mikopo ya Vijana na Wanawake Bila Riba

    Mgombea Ubunge Jimbo la Segerea Dar es Salaam kupitia CHAUMMA Ndugu Agnesta Kaiza amsifia Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Mamilioni kwa ajili ya kuwakopesha Wanawake na Vijana wote Nchini bila riba.
  14. G Sam

    JamiiForums Tanzania Picha: Mkurugenzi wa Uenezi CHAUMMA bwana John Mrema akisalimiana na James Mbowe kwenye kampeni Jimbo la Hai

    Mkurugenzi wa Uenenzi na Mawasiliano CHAUMMA ndugu John Mrema (Pichani) akisalimiana na mgombea Ubunge kupitia chama hicho Jimbo la Hai ndugu James Mbowe kwenye muendelezo 2a kampeni za uchaguzi mkuu.
  15. mtotofisi

    JamiiForums Tanzania Mke wa Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CHAUMMA katika kata ya Songambele kasema CCM oye

    Katika Hali ya kushangaza Mke wa Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CHAUMA katika kata ya Songambele aliposimamishwa kumuombea Kura mumewe badala ya kusema CHAUMA OYE badala yake akasema CCM OYEEEE!!!! Ilikuwa ni úzinduzi wa kampení ya mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa...
  16. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 KIGWEA: Tulipewa TSH. 20,000 ili tuonekane tumejivua CHAUMMA kutoka CHADEMA

    Baadhi wanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (#CHAUMMA) kutoka Jimbo la Segerea wakielezea jinsi walivyorubuniwa na mmoja wa viongozi wa Chama hicho ili waonekane kama wamejiondoa kwenye chama chao na kujiunga na CHADEMA. Soma pia: Ofisi ya CHADEMA Same Magharibi yabadilishwa kuwa ya CHAUMMA
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHAUMMA: Yaahidi kuwashughulikia walioua viwanda, kuondoa kodi kwenye dawa

    Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devota Minja ameahidi kwamba Serikali ya chama hicho ikichaguliwa itaanza kwa kuondoa kodi zote zinazotozwa kwenye dawa ili wananchi wapate huduma za afya kwa gharama nafuu huku ikisema itawashughulikia waliouwa...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea ubunge wa CHAUMMA aahidi uji, ubwabwa na "wifi" ya bure

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Lindi mjini, kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) katika Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani Lindi, Bw. Homoratus Daud, amezindua katika kampeni ya Ubunge pamoja na Madiwani huku wakiahidi wakifanikiwa kuchaguliwa katika nafasi hizo watahakikisha wanajenga...
  19. A

    JamiiForums Tanzania Alex msama aorodheshwa kugombea ubunge jimbo la ukonga kwa tiketi ya chaumma, mwenyewe akanusha vikali

    Wakati wa mchakato wa kutia nia kwa wana CCM kuomba kugombea ubunge kwa majimbo mbalimbali ya Tanzania, mwana-CCM Alex Msama Mwita alikuwepo akilitaka Jimbo la Ukonga ambalo lipo jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, Msama aliachwa kwenye majina yalirudi jimboni kwa ajili ya kura za maoni ambapo...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hashim Rungwe: Sisi CHAUMMA kuna watu wanatupa hela kufanya yote haya, kuna siku nitawataja

    Mzee Hashim Rungwe hana kabaa au kifua kama sifa za wanaume. Ameweka wazi kuwasema wote wanawapa nguvu kwenye harakati zao za siasa ========== Mzee Hashim Rungwe anasema hivi karibuni atasema Chaumma wanapopata fedha!
Back
Top Bottom