chaumma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    PreGE2025 Rungwe asema hahofii kuporwa chama na kundi jipya lilohamia CHAUMMA, na ikitokea hivyo anaweza kuhamia chama kingine

    Rungwe amefanyiwa mahojiano na Maktaba media na alipoulizwa kuhusu tetesi za huenda kundi alilolipokea kutoka CHADEMA linaweza kumpora chama cha CHAUMMA amejibu; "Inawezekana kama lengo lao ndiyo hilo. Na mimi nipo tayari, .... mbona tunatetemeka, tunatetemeka nini? kupoteza, kupoteza nini? ni...
  2. J

    PreGE2025 John Shibuda alinunua chama cha Siasa cha Oscer Kambona kisha akakiuza Unguja kwa Wapemba, kwenye Siasa lolote linawezekana Mbowe siyo wa kwanza!

    Kama ni kweli Mh Freeman A Mbowe amenunua Chaumma basi hatakuwa mtu wa kwanza kununua chama cha Siasa John Shibuda mbunge wa Chadema mstaafu alishawahi kununua chama cha Siasa kisha akakiuza Mlale unono 😁 Kwako Retired Majibu ya John Shibuda ~ John Shibuda ajibu madai ya kuwa alinunua chama...
  3. chiembe

    PreGE2025 Kishindo cha Hashim Rungwe: Aendelea kutamba anga za siasa za Tanzania, asema CHAUMMA iko tayari kumpokea Mbowe awe Mwenyekiti

    Kiongozi wa Chama Kikuu cha upinzani Tanzania kaongea tena. Ni mwaka wa bilionea Hashim Rungwe, atamba na kusema yuko tayari kumuachia Mbowe uenyekiti wa chama. Piga picha mabilionea wawili wakae mahala pamoja! Watu waliooukwaa ubilionea tangu senti hamsini iko kwenye mzunguko wa fedha Tanzania...
  4. Kekule Wa Benzene Ring

    Tetesi: Mbowe kuondoka na covid-19 kumi kwenda nao CHAUMMA

    Zile Helicopter zilizoandaliwa Kwajili ya Mission C4C ya CHAUMMA zitaanza kuonekana Rasmi punde na Mbowe Yuko mbioni kujiunga na Chama hicho Pamoja na WABUNGE 10 wa KUNDI LA COVID-19. akiwemo Halima mdee!. Mwezi julai Tarehe 5 Mwamba kutimka Rasmi Kwenda CHAUMMA Kwajili ya kugombea Urais.
  5. Waufukweni

    PreGE2025 PICHA: Halima Mdee ashindwa kuchagua upande, aonyesha alama ya CHADEMA na CHAUMMA kwa pamoja Bungeni

    Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee akionyesha alama zinazotumiwa na vyama vya vya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) alipokuwa ndani ya ukumbi alipohuduria kikao cha 30 cha mkutano wa 19 wa Bunge la Bajeti, jijini Dodoma leo Mei 22, 2025. Kulia...
  6. W

    PreGE2025 CCM Arusha yapinga madai ya kuifadhili CHAUMMA, Yasema kama ni kuiua CHADEMA ingewekeza nguvu kwa Zitto Kabwe

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu Mwenezi wake wa Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey, kimepinga vikali madai yanayoenezwa mitandaoni kuwa kinakiwezesha Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), hususan kiuchumi. Baadhi ya watumiaji wa mitandao wamehoji chanzo cha fedha za CHAUMMA na kasi ya...
  7. W

    PreGE2025 Kigaila: Mkutano wa CHAUMMA umechangiwa na wadau

    Naibu katibu mkuu wa CHAUMMA Benson Kigaila amefafanua wanaohoji kuhusu ukubwa wa mkutano wa kuwakaribisha wanachama wapya wa CHAUMMA ambao umefanyika kwa ukubwa na wadau wengi wamepata wasiwasi chama hicho kimepata wapi fedha hizo. Kigaila anasema wadau waliokuwa wamewaamini wakiwa CHADEMA ndio...
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Waliosafirishwa kujaza Mkutano wa CHAUMMA walalamika kutopewa malipo waliyoahidiwa

    Wakuu! Inadaiwa CHAUMMA wamengia mitini na kushindwa kulipa watu waliowasafisha kwenda kwenye Mkutano Mkuu uliofanyika jana Mei 21 jijini Dar es Salaam, walalamikaji wanasema waliapewa ahadi ya pesa lakini hawakupewa pesa zao, walalamikaji wanasema fedha zao zimeliwa na waliosimamia mgao.
  9. Superbug

    Kuhamia CHAUMMA ni ujinga mwingine wa Watanzania soma hapa ujue kwanini!?

    CCM haiwezi kuruhusu CHAMA MAKINI kama CHADEMA kichukue nchi kirahisi kwahiyo CHAUMMA waliohamia huko wajue tu watatumika kama vikaragosi vya dola ila hawataachiwa wakue kufikia level ya CHADEMA hivyo wajue tu wameenda CHAUMMA kufanya usaliti na maigizo kwa taifa.
  10. J

    Utabiri: Kiongozi wa upinzani bungeni ajaye kutokea CHAUMMA

    Habari wanaukumbi wa jukwaa hili Bora kabisa barani Afrika, bila ya kupoteza muda maana mambo ni mengi sana kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Utabiri wangu ni kwamba KUB alimaarufu kama kiongozi wa upinzani bungeni atatoka katika chama Cha uongozi wa umma kwa ufupi CHAUMMA. Nini...
  11. endesha

    Natabiri hili kutokea kwenye mikutano ya CHAUMMA

    Nisipoteze muda niende kwenye mada moja kwa moja. Kwa wale ambao hawana taarifa ni kwamba CHAUMMA wametangaza kuanza mikutano yao karibuni kwa siku 16 na wamesema watarusha chopa. Kwanza ieleweke wazi kwamba hili swala lipo kimkakati kati ya kiongozi mmoja mkubwa mstaafu wa upinzani na...
  12. G Sam

    CHAUMMA ni mradi unaoratibiwa na maofisa ndani ya ofisi nyeti nchini

    Wakuu, CHAUMMA ni mradi unaoratibiwa na maofisa ndani ya ofisi nyeti. Hilo limethibitishwa. Lengo ni nini hasa? Lengo ni kusawazisha sintofahamu kubwa knayoendelea nchini kuhusu siasa. Mfano kwa leo pale Ubungo walijazwa wanawake wanaohudumu kwenye saluni za kiume na vijana wa boda boda...
  13. The Burning Spear

    Matukio ndani ya Chaumma na Njaa 55 ni kilelezo tosha cha ubinafsi na Roho Mbaya ya Mtu Mweusi

    GT. Katika hali ya kawaida ukiyatafakari Maisha ya watanzania chini ya utawala wa CCM halafu leo kundi kubwa la watu wajinga na wenye Njaa linawakana watanzania kwa ubinafsi na roho mbaya zao na kukubali kutumika na CCM ambayo imeua kila kitu hapa nchini ni jambo la kusikitisha sana. Hawa...
  14. W

    PreGE2025 Devotha Minja: Utulivu wa nafsi nimeupata ndani ya CHAUMMA

    Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) bara Devotha Minja ameeleza kuwa malengo makubwa ya chama hicho ndiyo yamemvutia kujiunga na chama hicho. Devotha ameeleza hayo akitanabaisha malengo hayo siku ya Jumatano Mei 21, 2025 wakati wa Mkutano mkubwa wa mapokezi ya...
  15. W

    PreGE2025 Kigaila: CHAUMMA kitakuwa chama kikubwa kuliko vyama vyote Tanzania

    Tambo za Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara CHAUMMA, Benson Kigaila, aisagia CHADEMA na kueleza kuwa chama chake itakuwa kikubwa kuliko vyama vyote Tanzania na kwamba adui mkubwa wa CHAUMMA ni CCM.
  16. Crocodiletooth

    PreGE2025 CHAUMMA, chama cha watanzania wote, wapenda haki na maendeleo kuanza shughuli 30/5

    Haya ndugu watanzania chama lenu, chama la nguvu, CHAUMMA, Kitazunguka nchi nzima kwa siku 16,kwa kutumia chopper maalumu, watanzania wote wakubwa na wadogo, wazee kwa vijana, wanawake kwa wanaume mnakaribishwa sana mukuje mupate sera, za chama chenu, kipenzi cha roho zenu, Sera zilizoandaliwa...
  17. Just Pray

    PreGE2025 G55 mkutano wa CHAUMMA: Tulimpambania Lema akawa mbunge miaka 10, leo anasema CHADEMA sio sehemu ya kutimiza ndoto za ubunge

    Wakuu Bado maumivu ya hawa G55 ni makali na yanawachoma sana, baada ya kuambiwa CHADEMA sio sehemu ya kutimiza ndoto za ubunge kwa watu binafsi bali ndoto za wananchi. Hawa majamaa wanajali matumbo yao wanasahau chama kama CHADEMA kinatakiwa kupambania maslahi ya wananchi. Watu wa aina hii ni...
  18. Just Pray

    Video: CHAUMMA waimba wimbo wa CHADEMA mkutanoni Ubungo Plaza 'CHADEMA nitakulinda mpaka kufa'

    Wakuu Hawa G55 ni kama bado wapo CHADEMA tu, kwenye mkutano wa CHAUMMA wanaimba wimbo wa CHADEMA 'Naapa naahidi CHADEMA nitakulinda mpaka kufa' wamebadilisha jina la chama tu.
  19. Small letter

    CHAUMMA hata ikipata viti viwili maalum vya Ubunge vitakuwa vya Mke wa Mwalimu na Kigaila akina mama wengine pambaneni Kwa tahadhari

    Yale ya COVID 19 kule CHADEMA ni ngumu kutokujirudia huko CHAUMMA, Wanawake mnakwenda CHAUMMA Kwa malengo ya viti maalum fanyeni hivyo Kwa tahadhari Sehemu sahihi ni CCM tu.
  20. R

    Uvumi, tetesi , fununu zilibashiri kuwa leo Mbowe ataonekana rasmi kwenye mkutano wa Chaumma, hali ikoje?

    Nyerere alisema DHANA HAIPATANI NA UKWELI. Tujiepushe na kubashiri mambo bila concrete reasoning and valuations
Back
Top Bottom