chaumma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) azima uvumi wa kuhamia CHAUMMA: Hakuna Mbowe wala Lissu, sisi ni Watu wa CHADEMA

    Baada ya Taarifa za Kada wa CHADEMA kuhusishwa na kuhamia CHAUMMA kwasabu ya kuwa mfuasi wa Mbowe, mwenye afunguka. "Sio kweli kwasababu unaniona hapa, sio kweli aliyehama ni mtu wa Mbowe. Mimi naamini mambo hayo yalishakwisha, Uchaguzi ulishakwisha, sasa hivi hakuna mtu wa Mbowe wala hakuna...
  2. DR Mambo Jambo

    JamiiForums Tanzania Kuna Mkakati wa Kijasusi wa CHADEMA mkakati wa siri Uliowekwa kati ya CHADEMA na CHAUMMA na CCM Inafanya Makosa Kutokujua Hilo, Japo Wanaambiwa..

    Katika miezi na siku za karibuni, uwanja wa kisiasa nchini Tanzania umeendelea kubadilika kwa kasi, huku vyama vya upinzani vikionyesha mabadiliko ya kimkakati ambayo yanaweza kubeba athari kubwa kwa mustakabali wa demokrasia nchini. Mojawapo ya mwenendo unaoibua maswali mengi ni Uhamaji wa Kasi...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHAUMMA kitapata wabunge wengi Bara kuliko vyama vingine vya upinzani

    Nani yuko nyuma ya CHAUMMA kwa muda mfupi hivi? Kwa Kasi na udhamini huu Lazima CHAUMMA itapata wabunge wengi utakeusitake. Nawaasa watakaopata ubunge kupitia CHAUMMA wasiende kuunga juhudi kwa njia za waziwazi kama walivyofanya akina tumbili.
  4. chiembe

    JamiiForums Tanzania Tishio la CHAUMMA ndio limefanya Chadema waitishe kikao cha kamati kuu kwa dharura leo?

    Chadema wameitisha kikao cha dharura cha kamati kuu ya chama hicho. Moja ya malalamiko ya G55 ilikuwa kwamba viongozi wanafanya ziara za kukusanya posho na hawaitishi kikao cha kamati kuu kujadili kesi ya Lissu. Naona baada ya Chama Kikuu cha upinzani-Chaumma kupata kwa umaarufu, kikao...
  5. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rungwe asema hahofii kuporwa chama na kundi jipya lilohamia CHAUMMA, na ikitokea hivyo anaweza kuhamia chama kingine

    Rungwe amefanyiwa mahojiano na Maktaba media na alipoulizwa kuhusu tetesi za huenda kundi alilolipokea kutoka CHADEMA linaweza kumpora chama cha CHAUMMA amejibu; "Inawezekana kama lengo lao ndiyo hilo. Na mimi nipo tayari, .... mbona tunatetemeka, tunatetemeka nini? kupoteza, kupoteza nini? ni...
  6. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Shibuda alinunua chama cha Siasa cha Oscer Kambona kisha akakiuza Unguja kwa Wapemba, kwenye Siasa lolote linawezekana Mbowe siyo wa kwanza!

    Kama ni kweli Mh Freeman A Mbowe amenunua Chaumma basi hatakuwa mtu wa kwanza kununua chama cha Siasa John Shibuda mbunge wa Chadema mstaafu alishawahi kununua chama cha Siasa kisha akakiuza Mlale unono 😁 Kwako Retired Majibu ya John Shibuda ~ John Shibuda ajibu madai ya kuwa alinunua chama...
  7. chiembe

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kishindo cha Hashim Rungwe: Aendelea kutamba anga za siasa za Tanzania, asema CHAUMMA iko tayari kumpokea Mbowe awe Mwenyekiti

    Kiongozi wa Chama Kikuu cha upinzani Tanzania kaongea tena. Ni mwaka wa bilionea Hashim Rungwe, atamba na kusema yuko tayari kumuachia Mbowe uenyekiti wa chama. Piga picha mabilionea wawili wakae mahala pamoja! Watu waliooukwaa ubilionea tangu senti hamsini iko kwenye mzunguko wa fedha Tanzania...
  8. Kekule Wa Benzene Ring

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mbowe kuondoka na covid-19 kumi kwenda nao CHAUMMA

    Zile Helicopter zilizoandaliwa Kwajili ya Mission C4C ya CHAUMMA zitaanza kuonekana Rasmi punde na Mbowe Yuko mbioni kujiunga na Chama hicho Pamoja na WABUNGE 10 wa KUNDI LA COVID-19. akiwemo Halima mdee!. Mwezi julai Tarehe 5 Mwamba kutimka Rasmi Kwenda CHAUMMA Kwajili ya kugombea Urais.
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 PICHA: Halima Mdee ashindwa kuchagua upande, aonyesha alama ya CHADEMA na CHAUMMA kwa pamoja Bungeni

    Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee akionyesha alama zinazotumiwa na vyama vya vya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) alipokuwa ndani ya ukumbi alipohuduria kikao cha 30 cha mkutano wa 19 wa Bunge la Bajeti, jijini Dodoma leo Mei 22, 2025. Kulia...
  10. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM Arusha yapinga madai ya kuifadhili CHAUMMA, Yasema kama ni kuiua CHADEMA ingewekeza nguvu kwa Zitto Kabwe

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu Mwenezi wake wa Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey, kimepinga vikali madai yanayoenezwa mitandaoni kuwa kinakiwezesha Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), hususan kiuchumi. Baadhi ya watumiaji wa mitandao wamehoji chanzo cha fedha za CHAUMMA na kasi ya...
  11. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kigaila: Mkutano wa CHAUMMA umechangiwa na wadau

    Naibu katibu mkuu wa CHAUMMA Benson Kigaila amefafanua wanaohoji kuhusu ukubwa wa mkutano wa kuwakaribisha wanachama wapya wa CHAUMMA ambao umefanyika kwa ukubwa na wadau wengi wamepata wasiwasi chama hicho kimepata wapi fedha hizo. Kigaila anasema wadau waliokuwa wamewaamini wakiwa CHADEMA ndio...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Waliosafirishwa kujaza Mkutano wa CHAUMMA walalamika kutopewa malipo waliyoahidiwa

    Wakuu! Inadaiwa CHAUMMA wamengia mitini na kushindwa kulipa watu waliowasafisha kwenda kwenye Mkutano Mkuu uliofanyika jana Mei 21 jijini Dar es Salaam, walalamikaji wanasema waliapewa ahadi ya pesa lakini hawakupewa pesa zao, walalamikaji wanasema fedha zao zimeliwa na waliosimamia mgao.
  13. Superbug

    JamiiForums Tanzania Kuhamia CHAUMMA ni ujinga mwingine wa Watanzania soma hapa ujue kwanini!?

    CCM haiwezi kuruhusu CHAMA MAKINI kama CHADEMA kichukue nchi kirahisi kwahiyo CHAUMMA waliohamia huko wajue tu watatumika kama vikaragosi vya dola ila hawataachiwa wakue kufikia level ya CHADEMA hivyo wajue tu wameenda CHAUMMA kufanya usaliti na maigizo kwa taifa.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Kiongozi wa upinzani bungeni ajaye kutokea CHAUMMA

    Habari wanaukumbi wa jukwaa hili Bora kabisa barani Afrika, bila ya kupoteza muda maana mambo ni mengi sana kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Utabiri wangu ni kwamba KUB alimaarufu kama kiongozi wa upinzani bungeni atatoka katika chama Cha uongozi wa umma kwa ufupi CHAUMMA. Nini...
  15. endesha

    JamiiForums Tanzania Natabiri hili kutokea kwenye mikutano ya CHAUMMA

    Nisipoteze muda niende kwenye mada moja kwa moja. Kwa wale ambao hawana taarifa ni kwamba CHAUMMA wametangaza kuanza mikutano yao karibuni kwa siku 16 na wamesema watarusha chopa. Kwanza ieleweke wazi kwamba hili swala lipo kimkakati kati ya kiongozi mmoja mkubwa mstaafu wa upinzani na...
  16. G Sam

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA ni mradi unaoratibiwa na maofisa ndani ya ofisi nyeti nchini

    Wakuu, CHAUMMA ni mradi unaoratibiwa na maofisa ndani ya ofisi nyeti. Hilo limethibitishwa. Lengo ni nini hasa? Lengo ni kusawazisha sintofahamu kubwa knayoendelea nchini kuhusu siasa. Mfano kwa leo pale Ubungo walijazwa wanawake wanaohudumu kwenye saluni za kiume na vijana wa boda boda...
  17. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Matukio ndani ya Chaumma na Njaa 55 ni kilelezo tosha cha ubinafsi na Roho Mbaya ya Mtu Mweusi

    GT. Katika hali ya kawaida ukiyatafakari Maisha ya watanzania chini ya utawala wa CCM halafu leo kundi kubwa la watu wajinga na wenye Njaa linawakana watanzania kwa ubinafsi na roho mbaya zao na kukubali kutumika na CCM ambayo imeua kila kitu hapa nchini ni jambo la kusikitisha sana. Hawa...
  18. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Devotha Minja: Utulivu wa nafsi nimeupata ndani ya CHAUMMA

    Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) bara Devotha Minja ameeleza kuwa malengo makubwa ya chama hicho ndiyo yamemvutia kujiunga na chama hicho. Devotha ameeleza hayo akitanabaisha malengo hayo siku ya Jumatano Mei 21, 2025 wakati wa Mkutano mkubwa wa mapokezi ya...
  19. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kigaila: CHAUMMA kitakuwa chama kikubwa kuliko vyama vyote Tanzania

    Tambo za Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara CHAUMMA, Benson Kigaila, aisagia CHADEMA na kueleza kuwa chama chake itakuwa kikubwa kuliko vyama vyote Tanzania na kwamba adui mkubwa wa CHAUMMA ni CCM.
  20. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHAUMMA, chama cha watanzania wote, wapenda haki na maendeleo kuanza shughuli 30/5

    Haya ndugu watanzania chama lenu, chama la nguvu, CHAUMMA, Kitazunguka nchi nzima kwa siku 16,kwa kutumia chopper maalumu, watanzania wote wakubwa na wadogo, wazee kwa vijana, wanawake kwa wanaume mnakaribishwa sana mukuje mupate sera, za chama chenu, kipenzi cha roho zenu, Sera zilizoandaliwa...
Back
Top Bottom